Kabisa,wale watu wanaotoka kusini,Maisha ni magumu kwao yaani wamevurugwa asee ile ndio califonia ya Bongo kila ufusika uko kule so mchezo, nikasema apa kinondoni ikasome ni vile tu biashara ya madawa haijawa kubwa sana huko.Sio sehemu za kwenda kichwa kichwa Kuna umafia mwingi..Kuna watu walishaga kufa zamani wamebaki na viwili wili..
Na TabataKwa hiyo kuna vitambaa vyeupe viwili kimoja kipo sinza kingine kipo mbagala?
Ni kawaida kule kukutana na binti mdogo ana smoke weed,sigara na zile pombekali za kwenye vichupa.Kabisa,wale watu wanaotoka kusini,Maisha ni magumu kwao yaani wamevurugwa asee ile ndio califonia ya Bongo kila ufusika uko kule so mchezo, nikasema apa kinondoni ikasome ni vile tu biashara ya madawa haijawa kubwa sana huko.
Serikali isituzuie kuandamana kupiga kelele dhidi ya haya mauaji ya raia.TAREHE 06.10.2024 SAA 10:00 (USIKU) MAENEO YA BAR INAYOJULIKANA KITAMBAA CHEUPE-NJIA PANDA NZASA,ASKARI NAMBA J.3297 PC.BARNABA ANDREA MHONYA,30 YRS,MGOGO,MKAZI WA CHAMAZI NA ASKARI WA JESHI LA POLISI TANZANIA ALIUWAWA NA MTU/WATU WASIOJULIKANA KWA KUMJERUHI NA SILAHA YENYE NCHA KALI KATI YA SHINGO NA BEGA LA KUSHOTO.**INAELEZWA KUWA MAJIRA YA SAA 10:00 (USIKU) MAREHEMU AKIWA MAENEO YA BAR YA KITAMBAA CHEUPE ALIVAMIWA NA MTU/WATU WASIOJULIKANA AMBAO WALIMCHOMA NA SILAHA YENYE NCHA KALI KATI YA SHINGO NA BEGA LA KUSHOTO NA KUPELEKEA KIFO CHAKE.**KIINI CHA TUKIO KINACHUNGUZWA.**MBINU NI KUMVIZIA MAREHEMU AKIWA UCHOCHORONI NA KUMCHOMA NA SILAHA YENYE NCHA KALI.**MAREHEMU AMEKUTWA NA MALI ZAKE ZOTE NA ANA JERAHA MOJA LILILOTOKANA NA SILAHA YENYE NCHA KALI LILILOPO KATI YA SHINGO NA BEGA LA KUSHOTO.MWILI WA MAREHEMU UMEHIFADHIWA HOSPITALI YA KILWA ROAD KWA UCHUNGUZI ZAIDI.WAFANYAKAZI WA BAR WATANO WAMEKAMATWA KWA MAHOJIANO NA UCHUNGUZI ZAIDI.
Source:Fortunatus Buyobe Twitter account
N.B:Kifo ni kifo tu ndugu zangu Wana JF,isije hiki ndio kiwe maarufu,pia tuwapongeze polisi wanafanya kazi nzuri sana,uharifu umepungua
Sawa kifo ni kifo tu,TAREHE 06.10.2024 SAA 10:00 (USIKU) MAENEO YA BAR INAYOJULIKANA KITAMBAA CHEUPE-NJIA PANDA NZASA,ASKARI NAMBA J.3297 PC.BARNABA ANDREA MHONYA,30 YRS,MGOGO,MKAZI WA CHAMAZI NA ASKARI WA JESHI LA POLISI TANZANIA ALIUWAWA NA MTU/WATU WASIOJULIKANA KWA KUMJERUHI NA SILAHA YENYE NCHA KALI KATI YA SHINGO NA BEGA LA KUSHOTO.**INAELEZWA KUWA MAJIRA YA SAA 10:00 (USIKU) MAREHEMU AKIWA MAENEO YA BAR YA KITAMBAA CHEUPE ALIVAMIWA NA MTU/WATU WASIOJULIKANA AMBAO WALIMCHOMA NA SILAHA YENYE NCHA KALI KATI YA SHINGO NA BEGA LA KUSHOTO NA KUPELEKEA KIFO CHAKE.**KIINI CHA TUKIO KINACHUNGUZWA.**MBINU NI KUMVIZIA MAREHEMU AKIWA UCHOCHORONI NA KUMCHOMA NA SILAHA YENYE NCHA KALI.**MAREHEMU AMEKUTWA NA MALI ZAKE ZOTE NA ANA JERAHA MOJA LILILOTOKANA NA SILAHA YENYE NCHA KALI LILILOPO KATI YA SHINGO NA BEGA LA KUSHOTO.MWILI WA MAREHEMU UMEHIFADHIWA HOSPITALI YA KILWA ROAD KWA UCHUNGUZI ZAIDI.WAFANYAKAZI WA BAR WATANO WAMEKAMATWA KWA MAHOJIANO NA UCHUNGUZI ZAIDI.
Source:Fortunatus Buyobe Twitter account
N.B:Kifo ni kifo tu ndugu zangu Wana JF,isije hiki ndio kiwe maarufu,pia tuwapongeze polisi wanafanya kazi nzuri sana,uharifu umepungua
Watapatikana tuuTAREHE 06.10.2024 SAA 10:00 (USIKU) MAENEO YA BAR INAYOJULIKANA KITAMBAA CHEUPE-NJIA PANDA NZASA,ASKARI NAMBA J.3297 PC.BARNABA ANDREA MHONYA,30 YRS,MGOGO,MKAZI WA CHAMAZI NA ASKARI WA JESHI LA POLISI TANZANIA ALIUWAWA NA MTU/WATU WASIOJULIKANA KWA KUMJERUHI NA SILAHA YENYE NCHA KALI KATI YA SHINGO NA BEGA LA KUSHOTO.**INAELEZWA KUWA MAJIRA YA SAA 10:00 (USIKU) MAREHEMU AKIWA MAENEO YA BAR YA KITAMBAA CHEUPE ALIVAMIWA NA MTU/WATU WASIOJULIKANA AMBAO WALIMCHOMA NA SILAHA YENYE NCHA KALI KATI YA SHINGO NA BEGA LA KUSHOTO NA KUPELEKEA KIFO CHAKE.**KIINI CHA TUKIO KINACHUNGUZWA.**MBINU NI KUMVIZIA MAREHEMU AKIWA UCHOCHORONI NA KUMCHOMA NA SILAHA YENYE NCHA KALI.**MAREHEMU AMEKUTWA NA MALI ZAKE ZOTE NA ANA JERAHA MOJA LILILOTOKANA NA SILAHA YENYE NCHA KALI LILILOPO KATI YA SHINGO NA BEGA LA KUSHOTO.MWILI WA MAREHEMU UMEHIFADHIWA HOSPITALI YA KILWA ROAD KWA UCHUNGUZI ZAIDI.WAFANYAKAZI WA BAR WATANO WAMEKAMATWA KWA MAHOJIANO NA UCHUNGUZI ZAIDI.
Source:Fortunatus Buyobe Twitter account
N.B:Kifo ni kifo tu ndugu zangu Wana JF,isije hiki ndio kiwe maarufu,pia tuwapongeze polisi wanafanya kazi nzuri sana,uharifu umepungua
Wakipatikana waliomchukua Ben Saanane kwanza nadhani itapendeza Mkuu! Hata hivyo Kifo ni Kifo tu!Watapatikana tuu
TAREHE 06.10.2024 SAA 10:00 (USIKU) MAENEO YA BAR INAYOJULIKANA KITAMBAA CHEUPE-NJIA PANDA NZASA,ASKARI NAMBA J.3297 PC.BARNABA ANDREA MHONYA,30 YRS,MGOGO,MKAZI WA CHAMAZI NA ASKARI WA JESHI LA POLISI TANZANIA ALIUWAWA NA MTU/WATU WASIOJULIKANA KWA KUMJERUHI NA SILAHA YENYE NCHA KALI KATI YA SHINGO NA BEGA LA KUSHOTO.**INAELEZWA KUWA MAJIRA YA SAA 10:00 (USIKU) MAREHEMU AKIWA MAENEO YA BAR YA KITAMBAA CHEUPE ALIVAMIWA NA MTU/WATU WASIOJULIKANA AMBAO WALIMCHOMA NA SILAHA YENYE NCHA KALI KATI YA SHINGO NA BEGA LA KUSHOTO NA KUPELEKEA KIFO CHAKE.**KIINI CHA TUKIO KINACHUNGUZWA.**MBINU NI KUMVIZIA MAREHEMU AKIWA UCHOCHORONI NA KUMCHOMA NA SILAHA YENYE NCHA KALI.**MAREHEMU AMEKUTWA NA MALI ZAKE ZOTE NA ANA JERAHA MOJA LILILOTOKANA NA SILAHA YENYE NCHA KALI LILILOPO KATI YA SHINGO NA BEGA LA KUSHOTO.MWILI WA MAREHEMU UMEHIFADHIWA HOSPITALI YA KILWA ROAD KWA UCHUNGUZI ZAIDI.WAFANYAKAZI WA BAR WATANO WAMEKAMATWA KWA MAHOJIANO NA UCHUNGUZI ZAIDI.
Source:Fortunatus Buyobe Twitter account
N.B:Kifo ni kifo tu ndugu zangu Wana JF,isije hiki ndio kiwe maarufu,pia tuwapongeze polisi wanafanya kazi nzuri sana,uharifu umepungua
UmetishaMbagala sio sehemu salama sana kwenda kwenye ma bar usiku kuna sehemu niliwahi fika panaitwa kuzimu asee nyie mbagala pasikie tu kuna kila uchafu apo police wanafata rushwa kila week, kuna kila dhambi apo apafai kabisa nakumbuka alikuja shoga kunitaka kimapenzi nikamwambia kunywa bia nikalipa nikaondoka.