Dr am 4 real PhD
JF-Expert Member
- Jun 30, 2016
- 11,640
- 24,066
Yaan,Rip alikuwa anaelekea kuwa na future nzuri Sana .
Mkuu Kama hujaacha mbegu yako DUNIA inawezaje kua bad mindset why? How?Bad mindset
Mimi sijawahi kuuwa hata sisimiziHuyu ndiye Askari J.3297 PC.BARNABA ANDREA MHONYA View attachment 3117301mkazi wa Chamazi aliyeuwawa kwa shabulio la kisu maeneo ya bar ya Kitaa Cheupe Mbagala.
Advance kasoma Umbwe boys na alifaulu kwa Div 1,
Chuo Kikuu kasoma Ardhi University Bachelor of Science in Accounting and Finance hadi mauti yanamkuta, alikua anasoma Masters.
Mwaka 2022 akajiunga na jeshi la Polisi na baada ya mafunzo alikuwa akihidumu kama mhasibu wa polisi kanda maalumu ya kipolisi Temeke.
Marehemu hakuwa ameoa wala kupata mtoto enzi za uhai wake.
Kwa kuwa washambuliaji/mshambuliaji hakuchukua chochote kutoka kwake, inaleta hisia kuwa tukio hili lilikuwa ni la kulipiza kisasi.
Natuma salamu za pole kwa uongozi wa jeshi la polisi kwa kumpoteza askari msomi.
Credit: Fortunatus Buyobe
Haya maneno yanapatikana huko hukoukitea tea
Yaan,
Hapa ndipo Ile maana ya kua hakuna aijuaye kesho.
Huko kitambaa cheupe ilikua Ni kikazi au alikua ana enjoy weekend au walikua wanagombea Malaya maana huko mbagala na viunga vyake bangi inavutwa huku wanakunywa pombekali za kupima.
NB.
Mwenyezi Mungu atuepushe na STAREHE NA MITIANI YA UJANA.
Ni kweli.Sijajua - mkuu kazi yao imejaa kona kona nyingi.
Buyobe kama BuyobeHuyu ndiye Askari J.3297 PC.BARNABA ANDREA MHONYA View attachment 3117301mkazi wa Chamazi aliyeuwawa kwa shabulio la kisu maeneo ya bar ya Kitaa Cheupe Mbagala.
Advance kasoma Umbwe boys na alifaulu kwa Div 1,
Chuo Kikuu kasoma Ardhi University Bachelor of Science in Accounting and Finance hadi mauti yanamkuta, alikua anasoma Masters.
Mwaka 2022 akajiunga na jeshi la Polisi na baada ya mafunzo alikuwa akihidumu kama mhasibu wa polisi kanda maalumu ya kipolisi Temeke.
Marehemu hakuwa ameoa wala kupata mtoto enzi za uhai wake.
Kwa kuwa washambuliaji/mshambuliaji hakuchukua chochote kutoka kwake, inaleta hisia kuwa tukio hili lilikuwa ni la kulipiza kisasi.
Natuma salamu za pole kwa uongozi wa jeshi la polisi kwa kumpoteza askari msomi.
Credit: Fortunatus Buyobe
Nimeweza hivyo hivyo. Maana hii fedheha ya kina Muliro imekuwa too much ukilaza sasa
Hata hapo alikuwa anajitengenezea career nzuri sana, it was a right path. Bahati mbaya mbususu zimeharibu kila kitu.Zamani kwa elimu hiyo na muda huo asingekuwa PC.
Angekuwa na cheo Fulani.
Vipo vinne....na Mwananyamala karibu na ilipokuwa MKVipo vitatu, Tabata, Sinza na mpya hio ya Mbagala
Alafu kuna mjinga mmoja anakuja ropoka humu eti polisi wote form IV tena wale waliopata F, jeshi letu la polisi sasa hivi limejaa wasomi! Yaani kwa kifupi Tanzania sasa hivi wasomi ni wengi sana na wapo kila mahali hadi huko kitaani kwenye biashara za machinga!!Huyu ndiye Askari J.3297 PC.BARNABA ANDREA MHONYA View attachment 3117301mkazi wa Chamazi aliyeuwawa kwa shabulio la kisu maeneo ya bar ya Kitaa Cheupe Mbagala.
Advance kasoma Umbwe boys na alifaulu kwa Div 1,
Chuo Kikuu kasoma Ardhi University Bachelor of Science in Accounting and Finance hadi mauti yanamkuta, alikua anasoma Masters.
Mwaka 2022 akajiunga na jeshi la Polisi na baada ya mafunzo alikuwa akihidumu kama mhasibu wa polisi kanda maalumu ya kipolisi Temeke.
Marehemu hakuwa ameoa wala kupata mtoto enzi za uhai wake.
Kwa kuwa washambuliaji/mshambuliaji hakuchukua chochote kutoka kwake, inaleta hisia kuwa tukio hili lilikuwa ni la kulipiza kisasi.
Natuma salamu za pole kwa uongozi wa jeshi la polisi kwa kumpoteza askari msomi.
Credit: Fortunatus Buyobe
Kumbuka pia kua siyo polisi wote ni wabaya, wema wapo pia ndani ya jeshi la polisi!!Comment zaidi ya 200 hakuna aliyesema R.I.P
Ila mi nazani chanzo cha mauwaji si ukabaji,ni ugomvi!!Yaan,
Hapa ndipo Ile maana ya kua hakuna aijuaye kesho.
Huko kitambaa cheupe ilikua Ni kikazi au alikua ana enjoy weekend au walikua wanagombea Malaya maana huko mbagala na viunga vyake bangi inavutwa huku wanakunywa pombekali za kupima.
NB.
Mwenyezi Mungu atuepushe na STAREHE NA MITIANI YA UJANA.
Wasomi kulinda bank mlangoni na kufungua milango ya mabosi.Alafu kuna mjinga mmoja anakuja ropoka humu eti polisi wote form IV tena wale waliopata F, jeshi letu la polisi sasa hivi limejaa wasomi! Yaani kwa kifupi Tanzania sasa hivi wasomi ni wengi sana na wapo kila mahali hadi huko kitaani kwenye biashara za machinga!!
Hopefully itakua ivyo.Ila mi nazani chanzo cha mauwaji si ukabaji,ni ugomvi!!
Tusi hukumu mapema tusubiri uchunguzi kwanza!je kama alikua mpita njia tu madhira yakamkuta unajuwaje!!??Hata hapo alikuwa anajitengenezea career nzuri sana, it was a right path. Bahati mbaya mbususu zimeharibu kila kitu.
Ila wa F za form four wapo. Na uwepo wao haufutwi na degree wala masters za wengineAlafu kuna mjinga mmoja anakuja ropoka humu eti polisi wote form IV tena wale waliopata F, jeshi letu la polisi sasa hivi limejaa wasomi! Yaani kwa kifupi Tanzania sasa hivi wasomi ni wengi sana na wapo kila mahali hadi huko kitaani kwenye biashara za machinga!!
Kwa hiyo sasa wote unataka tuwe ma boss!!?? Nani atamfungulia mwenzie mlango kama wote tukiwa.ma boss!!???Wasomi kulinda bank mlangoni na kufungua milango ya mabosi.