#COVID19 Dar: Askofu Ruwai’chi aagiza mapadri wote kupata chanjo dhidi ya UVIKO-19

Kwanini unafikiri napinga chanjo? Wewe kachanje, mimi ni kama waberoya ...kama huwajui nenda kafatilie walipokeaje imani! Sifati ulimwengu kiboya.
Sasa ndo uanataka mapadre wafate uboya wako ambao hauko guided na wisdom?
 
huyo wa mabatini ana PHD ww apo ni LY ..

ma askofu wanaongoza kuwa ingilia watoto wadogo na kuficha watoto....Sioni askofu alosoma apo , anaongea utumbo na ww unaongea mavi
PhD ya uzinifu na utapeli labda!! Usimfananishe Ruwai'chi na vitu vya kijinga
 
Kwani Papa akisema inabidi nifate? Kasome vizuri katekisimu ili ujue Papa akisema nini unapaswa kufata, sembuse Askofu!
Nimemzungumzia Pope kwa sababu wewe ulikuwa unamwingiza kwenye argument zako za kijinga,argument yoyote ambayo ni unfounded ni ya kijinga.
 

Amekula maharage ya wapi huyu?

Chanjo ni hiari ya mtu na hana mamlaka ya kuwalazimisha ila kuwasihi waone umuhimu wa kuchanjwa kama sehemu ya kuwalinda wengine.
 
Mtu akigoma kuchanja atafukuzwa kazi lakini si kufungiwa sakramenti! Kwahiyo hizo hadithi haziwezi kunifanya niamini Vatican ndio utakatifu wenyewe. Tunalijua Kanisa ndio maana pamoja na makandokando yake tumebakia imara.

Sasa wewe si unashabikia Vatican kusema chanjo lazima kwa wafanyakazi wake? Vipi ukipata dossiers za uchafu wa kutisha pale? Utaambatana na huo uchafu? Upo mstari kati ya mafundisho ya Kanisa na maamuzi ya kibinadamu. Nimepewa akili, swala la chanjo nimeamua kuwa kama Waberoya, hao hawakugomea imani bali waliikubali baada ya kuchunguza maandiko.
 
Kwanini unafikiri napinga chanjo? Wewe kachanje, mimi ni kama waberoya ...kama huwajui nenda kafatilie walipokeaje imani! Sifati ulimwengu kiboya.
Naona watu wanakushambulia na matusi juu!
Lakini kwa uzito wa hoja umewatupa mbali, hii inaonyesha tofauti ya uelewa ukichangiwa na ushabiki ndani yake.
 
Kabisa
 
PhD ya uzinifu na utapeli labda!! Usimfananishe Ruwai'chi na vitu vya kijinga
Tanzania imejaa ujinga tu, watu wanashindwa kung'amua mambo na kuwa na uelewa wa dunia inapoelekea-CORONA imeanza kuchukuliwa kama pandemic na hvyo haitaisha leo wala kesho,na hvyo nchi nyingi zimeshaanza kuifanya chanjo kama lazima na si hiyari-Hata china na ukomunisti wao-Nchini mwao huingii bila chanjo.Vatican yenyewe imepitisha decree inayowataka wafanyakazi wake wachanjwe-mtu asipochanjwa hana kazi.
 
Naunga mkono hoja
Kuna wakatoliki uchwara humu ndani wanakuja na kumuhusisha pope Francis ili kutetea ujinga,Kiufupi hata Pope francis kapitisha decree-kila mfanyakazi Vatican lazima achanje-usipochanja kazi hakuna.wanasema hakuna hiyari ya mtu kwenye kuambukiza wengine
 
Nimemzungumzia Pope kwa sababu wewe ulikuwa unamwingiza kwenye argument zako za kijinga,argument yoyote ambayo ni unfounded ni ya kijinga.
Hujaelewa ndugu, hilo ni agizo kwa wafanyakazi wa Vatican haina mahusiano na imani ndio maana hakuna agizo la kiulimwengu.

Ndio maana nimesema hotuba za Papa ni ushauri kwa waamini na macleri sio agizo. Tambua nafasi za papa akiwa Vatican.
 
Nani aliyekuambia kwamba mtu akichanja hawezi kuambukiza wengine?...
 
Hujaelewa ndugu, hilo ni agizo kwa wafanyakazi wa Vatican haina mahusiano na imani ndio maana hakuna agizo la kiulimwengu.

Ndio maana nimesema hotuba za Papa ni ushauri kwa waamini na macleri sio agizo. Tambua nafasi za papa akiwa Vatican.
Kwa akili yako Mapadre,Makleri siyo watumishi wa kanisa?
 
Nani aliyekuambia kwamba mtu akichanja hawezi kuambukiza wengine?...
Science inasema mtu akiwa vaccinated anaweza ambukiza wengine-lakini ili kupunguza risks kwa jamii kiujimla na kuweza ku-contain huu ugonjwa-Ni lazima kuwe na international efforts za kuhakikisha watu wote wanakuwa vaccinated.Science inasema ni lazima tuchanje na pia tuvae barakoa for the mean time ambapo wengine wengi bado hawajachanja hasa wazee.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…