DAR: Barabara 9 kufungwa kwa siku sita kupisha mkutano wa madini chini ya Viongozi kadhaa wa Afrika

Bora zote za hukohuko Posta
 
Tanzania inabidi waupange vizuri mji wa dodoma ufae kwa ajili ya mikutano ya kimataifa. Pawe na barabara nyingi zinazofaa kwa ajili ya mikutano. Pawe na airport kubwa, viwanja vipimwe vizuri na viuzwe kwa bei ndogo. Pawe na maeneo ya mahoteli na pawe na maeneo ya kumbi kama 5 au 10 za mikutano ya kimataifa



Dar ni mji mdogo na haujapangwa kwa ajili ya wageni wa kimataifa. Ndio maana barabara zinafungwa tu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…