DAR: Barabara 9 kufungwa kwa siku sita kupisha mkutano wa madini chini ya Viongozi kadhaa wa Afrika

Njia badala zipo nyingi wangefunga behewa za kutosha kwenye treni kwa kipindi hiki, njia ambazo hazitumiki mara kwa mara zikisawazishwa wasio zijua watazijua
 
Kwa lugha nyingine wangesema tu CBD imefungwa maana kwa barabara walizozitaja ni kama kuingia mjini na magari itakuwa haiwezekani ikichukulia kuna njia nyingine za kuingia mjini zimeshafungwa sababu ya ujenzi wa BRT...

Nashauri tu mtu kama una ndinga na unataka kufika mjini, tafuta parking maeneo ya jirani kama Upanga, Lumumba then uingie town kwa ama mwendokasi au kutembea...
 
 

Attachments

  • 20250107_214111.jpg
    139 KB · Views: 1
Nchi masikini ni masikini tu, hivi wamefikiria adha tutakayoipata wananchi? Barabara kuu zifungwe kwa siku 9? Sitaki kuamini ninachokisoma.
Kuna mtu humu ndani aliwahi kusema kwenye zile evolution of man, Mtanzania alikomea kwenye hatua moja kabla ya kuwa binadamu kamili.

Ni maneno makali ila ukiyatafakari na yanayoendelea hapa nchi unaweza ukakubaliana nae.
 
Na huyu Dogo atakuwepo?
 

Attachments

  • Burkina-Faso-apres-avoir-suspendu-Air-France-Ibrahim-Traore-frappe-fort-et-fait-une-annonce-re...jpg
    62.3 KB · Views: 2
Kifupi shuka kariakoo tembea kwenda ofcn kwko,,kumbuka kubeba kitambulisho Cha kazi na Cha NIDA
Mpaka unafika kariakoo utakuwa umetumia usafiri gani? Maana foleni ya kuingia kariakoo Kwa hizo barabara Ambazo zitafungwa zipo karibu yake...
Kwa Sisi wabangaizaji tutaingia kariakoo SAA 5 na tutaondoka usiku Sana kuanzia SAA 3, poleni nyie wa maofisini
 
We utajua utumie usafiri Gani kufika ofcn kwako
 
Na kitu wanachoenda ongelea eti waTanzania 8.5M, JPM aliwezesha watu kupata umeme uko vijijini na hakuna kukatika, ukikatika Manager husika na wewe unakatika, bila mkutano wa wakuu wa nchi umeme ulienea, naweza kusema kijijini Kwetu tulikuwa wanufaika wa mpango huu.

Kutoka Airport Kwa Sasa kuna njia ya Mwendo kasi iliyo kamilika Kwa karibu 95% Kwa nini wasitumie hiyo na waweke vizuizi kuhakikisha hakuna gari binafsi linapita huko hasa hizi zenye namba PT, STK, SU, RAC, DFP, JW, STN, na wale waajiriwa kutoka hizo ofisi, maana ndio magwiji wa kuvunja Sheria za barabarani Kwa kisingizio Cha maagizo ya boss.

Naamini kwanza viongozi wote wa juu magari yao yanausalama wa hariali ya juu kabisa. Wewe ukiwa na gobore lako utapiteq mapema tu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…