Roving Journalist
JF Roving Journalist
- Apr 18, 2017
- 3,984
- 13,760
Hali hii itaendelea mpaka lini?..
R.I.P...na poleni sana majeruhi...
Narudia kiongozi mkuu wa Nchi asipokuwa ngangari suala hili halitaisha...
Sitakaa nimsahau JPM...Nev
Hiyo Itakuwa ni ya Kenya leo. MigoriNaskia kuna bodaboda kama kumi wamekata moto hapo hapo. Ilikua ni kituo cha dereva boda ama vipi? R.I.P to them [emoji120]
Hio ni kenyaNaskia kuna bodaboda kama kumi wamekata moto hapo hapo. Ilikua ni kituo cha dereva boda ama vipi? R.I.P to them [emoji120]
Mbna unaliinganisha vtu visivyorelate , watu wanachoma mafuta we ulitaka azuie yasiwake, mwendo kasi unaweza udhibiti kwa kusimamia sheria vikali full stopJPM wako alishindwaje kuzuia ajali ya lori la mafuta lililogharimu mamia ya roho za watu Morogoro?!
Wapumzike Kwa Amani. Mwendokasi ni tatizo Kwa sasaHali hii itaendelea mpaka lini?..
R.I.P...na poleni sana majeruhi...
Narudia kiongozi mkuu wa Nchi asipokuwa ngangari suala hili halitaisha...
Sitakaa nimsahau JPM...Never!
Lilikuwa na abiría hilo lori,?JPM wako alishindwaje kuzuia ajali ya lori la mafuta lililogharimu mamia ya roho za watu Morogoro?!
Huo msitari wa mwisho ungeufuta tuuu maana ni none senseHali hii itaendelea mpaka lini?..
R.I.P...na poleni sana majeruhi...
Narudia kiongozi mkuu wa Nchi asipokuwa ngangari suala hili halitaisha...
Sitakaa nimsahau JPM...Never!
Umeliona swali lake vizuri?Lilikuwa na abiría hilo lori,?
Subiri yakupaye Ndo akili itakaa Sawa saivi mabus ya mkoani yanakambia saana Hata zile alarm za speed wameng'oa kabisa ziliwekwa kipindi cha JPM.
Watu kadhaa wanasadikiwa kupoteza maisha huku wengine wakijeruhiwa, kufuatia ajali iliyotokea maeneo ya Mbezi Luguluni, ikihusisha Basi la kampuni ya Burudani, lililokuwa likitokeaa mkoani Tanga kuelekea Dar es Salaam, ambapo basi hilo linadaiwa kuwa lilikuwa kwenye mwendokasi, hivyo wakati likijaribu kulikwepa gari dogo lililokuwa linaingia barabarani, likapoteza mwelekeo na kuhamia upande wa pili wa barabara na kugonga daladala na bodaboda.
View attachment 2580842View attachment 2580843
Ni kampuni hii ila sijui kama ni hili. Inawezekana ni lenyeweKaka usalama upo?
Tulipanda hii gari bila shaka maramojatu