BabaDesi
JF-Expert Member
- Jun 30, 2007
- 6,122
- 4,060
...Unachanganya na yalitokea Jirani Kenya Jana ! [emoji848] ....Naskia kuna bodaboda kama kumi wamekata moto hapo hapo. Ilikua ni kituo cha dereva boda ama vipi? R.I.P to them [emoji120]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
...Unachanganya na yalitokea Jirani Kenya Jana ! [emoji848] ....Naskia kuna bodaboda kama kumi wamekata moto hapo hapo. Ilikua ni kituo cha dereva boda ama vipi? R.I.P to them [emoji120]
Usiwe jinga!JPM wako alishindwaje kuzuia ajali ya lori la mafuta lililogharimu mamia ya roho za watu Morogoro?!
kwamba angewaambia watu msichote mafuta ? tumi akili muda mwingineJPM wako alishindwaje kuzuia ajali ya lori la mafuta lililogharimu mamia ya roho za watu Morogoro?!
* Nitakuwa wa mwisho kuamini kama Rais Samia ataendelea na Urais baada ya 2025*Watu kadhaa wanasadikiwa kupoteza maisha huku wengine wakijeruhiwa, kufuatia ajali iliyotokea maeneo ya Mbezi Luguluni, ikihusisha Basi la kampuni ya Burudani, lililokuwa likitokeaa mkoani Tanga kuelekea Dar es Salaam, ambapo basi hilo linadaiwa kuwa lilikuwa kwenye mwendokasi, hivyo wakati likijaribu kulikwepa gari dogo lililokuwa linaingia barabarani, likapoteza mwelekeo na kuhamia upande wa pili wa barabara na kugonga daladala na bodaboda.
View attachment 2580842View attachment 2580843
Huwezi kutumia kitu ambacho hauna. Yani unataka mtu atumie akili, kama hana je?kwamba angewaambia watu msichote mafuta ? tumi akili muda mwingine
ndio maana mnaitwa nyanyyy huko nchi za watu , chuki mbele kuliko uhalisia , ndio maana mnafurahi kuona mirad ya mzee inachezewa ili mseme alileta mirad isiyo na tija ila mirad hiyo sio ya familia yake wala ukoo wake ni ya watz wote mnaiferisha sababu ya uzinjanthropus mnaoulazimisha vichwan mwenu , HAPO HOJA NI KUWA SIKU HZ MABASI YA WASIASA AU WA KARIBU NA WANASIASA AU VIONGOZ HAYAJALI TENA TARATIBU ZA BARABARANI KISA HAKUNA WA KUWAFANYA LOLOTE TRAFIKI HAWAPO HURU SASA HV INABIDI NA WAO WALE NA KIPOFU TU , KWA KIZAZI KAMA CHAKO/CHENU HATUTANA TAIFA KWA MIAKA YA BAADAEHuo msitari wa mwisho ungeufuta tuuu maana ni none sense
Nitakuwa wa mwisho kuamini kama Rais Samia ataendelea na Urais baada ya 2025ndio maana mnaitwa nyanyyy huko nchi za watu , chuki mbele kuliko uhalisia , ndio maana mnafurahi kuona mirad ya mzee inachezewa ili mseme alileta mirad isiyo na tija ila mirad hiyo sio ya familia yake wala ukoo wake ni ya watz wote mnaiferisha sababu ya uzinjanthropus mnaoulazimisha vichwan mwenu , HAPO HOJA NI KUWA SIKU HZ MABASI YA WASIASA AU WA KARIBU NA WANASIASA AU VIONGOZ HAYAJALI TENA TARATIBU ZA BARABARANI KISA HAKUNA WA KUWAFANYA LOLOTE TRAFIKI HAWAPO HURU SASA HV INABIDI NA WAO WALE NA KIPOFU TU , KWA KIZAZI KAMA CHAKO/CHENU HATUTANA TAIFA KWA MIAKA YA BAADAE
Kwamba wakati ule hapakuwa na ajali?Hali hii itaendelea mpaka lini?..
R.I.P...na poleni sana majeruhi...
Narudia kiongozi mkuu wa Nchi asipokuwa ngangari suala hili halitaisha...
Sitakaa nimsahau JPM...Never!
Mama naye angemwambia dereva wa bus asiende kasi?Angemuona wapi akienda kasi.Tumia akili.kwamba angewaambia watu msichote mafuta ? tumi akili muda mwingine
Tumia akili,mama angemuona wapi dereva,amwambie usiende mwendo wa kasi.Hilo gari la mafuta lilipata ajali kwanza,ndio wakaja kuchota mafuta.kwamba angewaambia watu msichote mafuta ? tumi akili muda mwingine
Ataendelea kama kawaida,kwani yeye alimwambia dereva aendeshe mwendo kasi?Tumia akili.* Nitakuwa wa mwisho kuamini kama Rais Samia ataendelea na Urais baada ya 2025*
comment ya kipumbavu kabisaHali hii itaendelea mpaka lini?..
R.I.P...na poleni sana majeruhi...
Narudia kiongozi mkuu wa Nchi asipokuwa ngangari suala hili halitaisha...
Sitakaa nimsahau JPM...Never!
Hata kipindi cha JPM kulikuwa na ajali sana piaHali hii itaendelea mpaka lini?..
R.I.P...na poleni sana majeruhi...
Narudia kiongozi mkuu wa Nchi asipokuwa ngangari suala hili halitaisha...
Sitakaa nimsahau JPM...Never!
dah tuna watu ajabu sana , hujui kuwa mama ni kiongoz mkuu w serikalini ? wizara ya ulinzi ipo chini yake ambapo ndan kuna jeshi la polisi ndani kuna usalams barabarani , inamaana huon sasa hv trafiki barabaran wanataka buku 2 tu vitu vingine hawafuatilii ebu uwe unatembelea ata bbc swahili kuna "africa eye " pale utaona na kujifunza mdhara ya rushwa barabaran , Gari nying za abiria hazikaguliwi kabisa unaguta bus break inasumbua ila inaingizwa road , kipind cha hayatt kila taaasisi mambo yalikuwa kweny mstar labda kama ww ni mchoma mahindi ndio huon tofaut ya "past and now " au huend na wewe ni vyeti feki unataka kurudi kulamba asaliMama naye angemwambia dereva wa bus asiende kasi?Angemuona wapi akienda kasi.Tumia akili.