dah tuna watu ajabu sana , hujui kuwa mama ni kiongoz mkuu w serikalini ? wizara ya ulinzi ipo chini yake ambapo ndan kuna jeshi la polisi ndani kuna usalams barabarani , inamaana huon sasa hv trafiki barabaran wanataka buku 2 tu vitu vingine hawafuatilii ebu uwe unatembelea ata bbc swahili kuna "africa eye " pale utaona na kujifunza mdhara ya rushwa barabaran , Gari nying za abiria hazikaguliwi kabisa unaguta bus break inasumbua ila inaingizwa road , kipind cha hayatt kila taaasisi mambo yalikuwa kweny mstar labda kama ww ni mchoma mahindi ndio huon tofaut ya "past and now " au huend na wewe ni vyeti feki unataka kurudi kulamba asali