Dar es Salaam: Askari 300 waongezwa kudhibiti panya road

Dar es Salaam: Askari 300 waongezwa kudhibiti panya road

Mikoa mingine mbona hawa vijana wanadhibitiwa?

========

Dar es Salaam. Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam (RC), Amos Makalla amesema mkoa huo umeongeza askari 300 kwa ajili ya msako wa kuwakamata wahalifu maarufu 'panya road'.

Makalla ameyasema hayo leo Alhamisi Septemba 15, 2022 alipokuwa akizugumza na wananchi wa Kata ya Zingiziwa mara baada ya kutembelea ujenzi wa barabara ya Chanika -Homboza.

Amesema msako wa wahalifu huo umeanza tangu jana Alhamisi na kuwaambia wazazi ambao watapotelewa na vijana wao kuanzia leo Alhamisi wakawafuate vituo vya polisi au hospitali za wilaya.

"Hawa panya road wamezaliwa na wazazi, ni watoto wetu, na kwa kuwa baadhi mmeshidwa kuongea nao sisi tutashughulika nao na tayari tumemwaga askari 300,” amesema

"Hivyo kuanzia leo naomba mzazi au mlezi ambaye hatamuona kijana wake afike vituo vya pilisi na hospitali kubwa za wilaya ikiwemo Amana Mwananyamala, Muhimbili wodi ya Mwaisela na Temeke," amesema Mwenyekiti huyo wa kamati ya ulinzi na usalama

Hata hivyo, Makalla amesema inasikitisha ķatika matukio mawili yaliyotokea siku mbili hizo katika maeneo ya Kawe na Tabata, waliokamatwa kuhusika wengi na vijana waliotoka kutumikia vifungo vya miezi sita hadi mwaka mmoja jela.

Mwananchi
Bwana Makala, unahitaji ushauri kutoka nje ya kamati yako ya ulinzi na usalama ili ufanikiwe kudhibiti uhalifu huu wa panyaroad na mwingine, nikukumbushe kuwa miezi ya mwanzoni mwaka huu ulikuja na slogan hiihii ya kupambana na mapanyaroad na kisha ukatoka kututangazia kuwa Dar sasa shwari panyaroad wamedhibitiwa! Did you notice kwamba waliokamatwa hawakuwa panyaroad? Ukiendelea kutegemea hao wasiathiriwa na uwepo wa hao panya na wanufaika wa uhalifu mkoani hapa utaharibikiwa ndugu.
 
Mikoa mingine mbona hawa vijana wanadhibitiwa?

========

Dar es Salaam. Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam (RC), Amos Makalla amesema mkoa huo umeongeza askari 300 kwa ajili ya msako wa kuwakamata wahalifu maarufu 'panya road'.

Makalla ameyasema hayo leo Alhamisi Septemba 15, 2022 alipokuwa akizugumza na wananchi wa Kata ya Zingiziwa mara baada ya kutembelea ujenzi wa barabara ya Chanika -Homboza.

Amesema msako wa wahalifu huo umeanza tangu jana Alhamisi na kuwaambia wazazi ambao watapotelewa na vijana wao kuanzia leo Alhamisi wakawafuate vituo vya polisi au hospitali za wilaya.

"Hawa panya road wamezaliwa na wazazi, ni watoto wetu, na kwa kuwa baadhi mmeshidwa kuongea nao sisi tutashughulika nao na tayari tumemwaga askari 300,” amesema

"Hivyo kuanzia leo naomba mzazi au mlezi ambaye hatamuona kijana wake afike vituo vya pilisi na hospitali kubwa za wilaya ikiwemo Amana Mwananyamala, Muhimbili wodi ya Mwaisela na Temeke," amesema Mwenyekiti huyo wa kamati ya ulinzi na usalama

Hata hivyo, Makalla amesema inasikitisha ķatika matukio mawili yaliyotokea siku mbili hizo katika maeneo ya Kawe na Tabata, waliokamatwa kuhusika wengi na vijana waliotoka kutumikia vifungo vya miezi sita hadi mwaka mmoja jela.

Mwananchi
Wakati wa Magufuli upumbavu kam huu haukuwepo, ndo matokeo ya kuufungua uchumi haya. Panya Road na wao wanatumia mwanya wa kuufungua uchumi
 
Polisi wakianza kaz yao utawasikia haki za binadamu, sasa hivi haonhaki za binadamu huwasikii hata kukemea hivyo vitendo, polisi niko pamoja na nyie hivi vitoto vinashusha hadhi yenu kabisa, halafu utashangaa hivyo vipanya vinasumbua maeneo yaliyo katibu kabisa na vitio vya polisi, unajikuta unashangaa, Kuna mwaka hivyo vipanya vilisumbua ukonga, Mombasa na maeneo jirani, unajiuliza hizo Kambi za jeshi, sijui FFU na magereza kazi zao za ulinzi ni ndani ya mageti tuu??
 
Makala anaongea ongea tu hamnalolote, mkuu wa mkoa anapiga domo tu hamna vitendo!!!
 
Naona Makalla anawaruhusu polisi kuendelea kuwapiga watuhumiwa wakiwa mikononi mwao, tujiandae kupokea taarifa zaidi za mahabusu kufia vituo vya polisi.

Hawa jamaa wanatatua tatizo moja kwa kutengeneza tatizo lingine, huu ni mfano halisi wa mamlaka iliyochoka akili inayostahili kupumzika kuwaongoza watanzania.
Kwahiyo polisi wanapapasa wakimshika mtuhumiwa...?
 
Naona Makalla anawaruhusu polisi kuendelea kuwapiga watuhumiwa wakiwa mikononi mwao, tujiandae kupokea taarifa zaidi za mahabusu kufia vituo vya polisi.

Hawa jamaa wanatatua tatizo moja kwa kutengeneza tatizo lingine, huu ni mfano halisi wa mamlaka iliyochoka akili inayostahili kupumzika kuwaongoza watanzania.
We wataka wafanyeje ili wamanchi wawe salama na mali zao?
 
Naona Makalla anawaruhusu polisi kuendelea kuwapiga watuhumiwa wakiwa mikononi mwao, tujiandae kupokea taarifa zaidi za mahabusu kufia vituo vya polisi.

Hawa jamaa wanatatua tatizo moja kwa kutengeneza tatizo lingine, huu ni mfano halisi wa mamlaka iliyochoka akili inayostahili kupumzika kuwaongoza watanzania.
Wafe tu Kwa kweli
 
Naona Makalla anawaruhusu polisi kuendelea kuwapiga watuhumiwa wakiwa mikononi mwao, tujiandae kupokea taarifa zaidi za mahabusu kufia vituo vya polisi.

Hawa jamaa wanatatua tatizo moja kwa kutengeneza tatizo lingine, huu ni mfano halisi wa mamlaka iliyochoka akili inayostahili kupumzika kuwaongoza watanzania.
Mambo mengine lazima yawe na positive na negative
Ukisema mfatilie haki za binadam sjui sheria mtazidi kuumizwa na kuuwawa

Ova
 
Polisi wakianza kaz yao utawasikia haki za binadamu, sasa hivi haonhaki za binadamu huwasikii hata kukemea hivyo vitendo, polisi niko pamoja na nyie hivi vitoto vinashusha hadhi yenu kabisa, halafu utashangaa hivyo vipanya vinasumbua maeneo yaliyo katibu kabisa na vitio vya polisi, unajikuta unashangaa, Kuna mwaka hivyo vipanya vilisumbua ukonga, Mombasa na maeneo jirani, unajiuliza hizo Kambi za jeshi, sijui FFU na magereza kazi zao za ulinzi ni ndani ya mageti tuu??
Hakuna kuwasikia hao watu za haki za binadam,kuna watu wengine dawa yao ni kuondoshwa tu

Ova
 
Mikoa mingine mbona hawa vijana wanadhibitiwa?

========

Dar es Salaam. Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam (RC), Amos Makalla amesema mkoa huo umeongeza askari 300 kwa ajili ya msako wa kuwakamata wahalifu maarufu 'panya road'.

Makalla ameyasema hayo leo Alhamisi Septemba 15, 2022 alipokuwa akizugumza na wananchi wa Kata ya Zingiziwa mara baada ya kutembelea ujenzi wa barabara ya Chanika -Homboza.

Amesema msako wa wahalifu huo umeanza tangu jana Alhamisi na kuwaambia wazazi ambao watapotelewa na vijana wao kuanzia leo Alhamisi wakawafuate vituo vya polisi au hospitali za wilaya.

"Hawa panya road wamezaliwa na wazazi, ni watoto wetu, na kwa kuwa baadhi mmeshidwa kuongea nao sisi tutashughulika nao na tayari tumemwaga askari 300,” amesema

"Hivyo kuanzia leo naomba mzazi au mlezi ambaye hatamuona kijana wake afike vituo vya pilisi na hospitali kubwa za wilaya ikiwemo Amana Mwananyamala, Muhimbili wodi ya Mwaisela na Temeke," amesema Mwenyekiti huyo wa kamati ya ulinzi na usalama

Hata hivyo, Makalla amesema inasikitisha ķatika matukio mawili yaliyotokea siku mbili hizo katika maeneo ya Kawe na Tabata, waliokamatwa kuhusika wengi na vijana waliotoka kutumikia vifungo vya miezi sita hadi mwaka mmoja jela.

Mwananchi
Mimi naendelea kusisitiza ni muhimu kutafuta suluhisho la muda mrefu lakini wakati hilo likiendelea suluhisho la kuanzia ni kuwafukia haraka hawa vijana then tuendelee....
Mambo kama haya hayatajirudia
 
Hakuna kuwasikia hao watu za haki za binadam,kuna watu wengine dawa yao ni kuondoshwa tu

Ova
Anayekamata sio Makala, Kuna miezi ya katikati hapo ilipita operation hata ukikutwa midomo myeusi sijui unamesokota Rasta na kunyoa kiduku karandinga ilikuhusu, Kuna dog jiran na ninapoishi anavuta bangi alipotea siku tatu ndugu zake kufuatilia alikutwa central huko
 
Operation ya kirufiji labda ingesaidia!
Nilishasema humu,ilala kuna kundi
Walikuwa wanajiita chaukucha
Walikuwa wanasumbua ilala hadi buguruni mpk mto kigogo huko
Iliundwa task force maalum,baraka
Zote zlitoka juu tena
Mbona waliwafyeka ilikuwacni kuua tu

Ova
 
Dawa ya panya ni kuua tu, full stop.
Ulizaa, ukashindwa malezi, unashauri MAUAJI Ili kuondoa tatizo!!!!!

Kwako ni sawa MZAZI amzike mtoto Badala ya MTOTO amzike mzazi!!!!!

Movie za VITA na mapigano ulimletea mwenyewe aangalie Ili asikupigie kelele na kuuliza maswali uliyoyaita ya kijinga.

Picha za ngono uliangalia ww na ulipozisahau alizotumia hizo hizo kujifunzia Umalaya.

Hukumfundisha mtoto njia impasayo Ili akue ktk hiyo, hukumpeleka Kanisani, Leo unataka auwawe?

Panya road ni watoto uliowazaa Ukiwa kijana ukawatelekeza wakalelewa na wamama pekeao Leo unashauri wauwawe???? Really??

Unarudi nyumbani umelewa, hujui watakula nn, Leo unashauri panya road wauwawe.

Wazazi wachukue hatua madhubuti KUSIMAMIA malezi ya watoto wao,

Samahani, naongea na wazazi kupitia post Yako.

Ameeeeeen.
 
Back
Top Bottom