Dar es Salaam: Askari 300 waongezwa kudhibiti panya road

Dar es Salaam: Askari 300 waongezwa kudhibiti panya road

Hao sio panya road bali ni majambazi mbona mnawapaka mafuta.
 
Ulizaa, ukashindwa malezi, unashauri MAUAJI Ili kuondoa tatizo!!!!!

Kwako ni sawa MZAZI amzike mtoto Badala ya MTOTO amzike mzazi!!!!!

Movie za VITA na mapigano ulimletea mwenyewe aangalie Ili asikupigie kelele na kuuliza maswali uliyoyaita ya kijinga.

Picha za ngono ukiangalia ww na ulipozisahau alizotumia hizo hizo kujifunzia Umalaya.

Panya road ni watoto uliowazaa Ukiwa kijana ukawatelekeza wakalelewa na wamama pekeao Leo unashauri wauwawe???? Really??

Unarudi nyumbani umelewa, hujui watakula nn, Leo unashauri panya road wauwawe.

Wazazi wachukue hatua madhubuti KUSIMAMIA malezi ya watoto wao,

Samahani, naongea na wazazi kupitia post Yako.

Ameeeeeen.
Umesema ukweli. Hata wakiua tatizo halitaondoka. Sana sana watauawa watu wengi wasio na hatia. Panya road ni tatizo la uongozi wa nchi. Raia (wazazi) nao ni victim wa uongozi mbovu. Kumbukeni haya mambo yameenza kujijenga siku nyingi, polepole. Panya road wa leo wamezaliwa na wazazi ambao nao walikosa mwelekeo, hivyo wakakua bila uangalizi.
 
We wataka wafanyeje ili wamanchi wawe salama na mali zao?
Polisi waimarishe doria, nimeona mahala wanasema wataongeza magari, hii ni hatua nzuri, lakini nimeshaona mara nyingi, pale operation kama hii zikianza, polisi huwa wanasomba kila wanayekutana nae, hawajali muhalifu au vinginevyo.

Sasa kama hawa watakaosombwa kiholela ndio Makalla anawaambia wazazi wao wakawatafute mahospitalini hii maana yake nini? hata mtuhumiwa ana haki zake, lazima ziheshimiwe, watuhumiwa hospitali wanaenda kufanya nini?

Sitashangaa kama ikitokea baadhi ya wanaounga mkono hiyo kauli ya Makalla, wakawa wa kwanza kulia machozi pale ambapo ndugu au marafiki zao watasombwa huko barabarani wakidhaniwa panya rodi, nashangaa kwanini Makalla ameingilia kazi ya mahakama, huku wajinga wakimshangilia.
 
Naona Makalla anawaruhusu polisi kuendelea kuwapiga watuhumiwa wakiwa mikononi mwao, tujiandae kupokea taarifa zaidi za mahabusu kufia vituo vya polisi.

Hawa jamaa wanatatua tatizo moja kwa kutengeneza tatizo lingine, huu ni mfano halisi wa mamlaka iliyochoka akili inayostahili kupumzika kuwaongoza watanzania.
Jinga wewe,

Askari atajaevunja sheria afikishwe mahakamani na yeye Ila hao panya road wauawe tu
 
Umesema ukweli. Hata wakiua tatizo halitaondoka. Sana sana watauawa watu wengi wasio na hatia. Panya road ni tatizo la uongozi wa nchi. Raia (wazazi) nao ni victim wa uongozi mbovu. Kumbukeni haya mambo yameenza kujijenga siku nyingi, polepole. Panya road wa leo wamezaliwa na wazazi ambao nao walikosa mwelekeo, hivyo wakakua bila uangalizi.
Endelea kujidanganya Tu hawa panya road ni shaba
 
Umesema ukweli. Hata wakiua tatizo halitaondoka. Sana sana watauawa watu wengi wasio na hatia. Panya road ni tatizo la uongozi wa nchi. Raia (wazazi) nao ni victim wa uongozi mbovu. Kumbukeni haya mambo yameenza kujijenga siku nyingi, polepole. Panya road wa leo wamezaliwa na wazazi ambao nao walikosa mwelekeo, hivyo wakakua bila uangalizi.
JAMII irudishe MOTO Kwa VIONGOZI juu waliohujumu mifumo ya ELIMU na kuruhusu Maadili kuporomoka ktk JAMII.

ELIMU ilikuwa Bure Mashuleni, watoto walienda shule wakanunuliwa na Serikali sare kalamu daftari nk,

Watoto walifundishwa URAIA na UZALENDO Mashuleni,

Watoto walipewa Chakula Bure Mashuleni, Leo mtoto alielala njaa, anaambiwa aende shule bila kula na ashinde Hadi jioni paso kula, ataelewa nn darasani? Ndo maana hawafiki shule wanaenda kukaba mitaani.

Walimu walidhibiti watoto kwenda kuangalia movie chafu kwenye mananda ya video .

Mnataka kuwauwa PANYA road mliowazaa wenyewe, je Wanaowatoza KODI kandamizi na KUWAIBIA pesa zenu kwenye account mmewafanya nn😃😃😃😃
 
Dar es Salaam. Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam (RC), Amos Makalla amesema mkoa huo umeongeza askari 300 kwa ajili ya msako wa kuwakamata wahalifu maarufu 'panya road'.

Makalla ameyasema hayo leo Alhamisi Septemba 15, 2022 alipokuwa akizugumza na wananchi wa Kata ya Zingiziwa mara baada ya kutembelea ujenzi wa barabara ya Chanika -Homboza.
Yaleyaleeeee!! Akili zetu weusi, unatafuta wahalifu halafu unnawaambia tunnakuja kuwasaka
 
Naona Makalla anawaruhusu polisi kuendelea kuwapiga watuhumiwa wakiwa mikononi mwao, tujiandae kupokea taarifa zaidi za mahabusu kufia vituo vya polisi.

Hawa jamaa wanatatua tatizo moja kwa kutengeneza tatizo lingine, huu ni mfano halisi wa mamlaka iliyochoka akili inayostahili kupumzika kuwaongoza watanzania.
Kuna ubaya wakifia ndani panyaroad?

Ushakutana na dhahamaya vijana hawa?
 
Yote haya yanatokana na tozo za hovyo zilizoanzishwa na hii serikali ambayo haijachaguliwa na wananchi.Tozo zimesababisha maisha kuwa magumu na kuzalisha makundi ya kihalifu kama haya ya panya road.serikali zitoeni hizi tozo za kisengelenyuma
Panya road ni watoto na vijana wadogo ambao bado hawajaanza hata kujitegemea.
Tozo zinahusika vipi hapo?

Nasema ua hao mbwa.
 
PANYAROAD walizaliwa kama wewe, UOVU wamefundishwa na wazazi na JAMII walizokulia Kwa kushindwa kuwalea ipasavyo .


Panya road wanatufunza tulipokosea kama Nchi tuwajibike kuleta watoto wetu.
Ushawahi kupigwa panga la shingo ukaponea kufa?
 
Jinga wewe,

Askari atajaevunja sheria afikishwe mahakamani na yeye Ila hao panya road wauawe tu
Sijui umeandika pumba gani hizi.

Unataka sheria ifuatwe kwa kundi fulani ila kwa wengine isifuatwe..

Nonsense.!!
 
nchi yoyote inayochekea wahalifu na kuwafunga mikono polisi huishia pabaya sana.
 
Naona Makalla anawaruhusu polisi kuendelea kuwapiga watuhumiwa wakiwa mikononi mwao, tujiandae kupokea taarifa zaidi za mahabusu kufia vituo vya polisi.

Hawa jamaa wanatatua tatizo moja kwa kutengeneza tatizo lingine, huu ni mfano halisi wa mamlaka iliyochoka akili inayostahili kupumzika kuwaongoza watanzania.
Mamlaka ipumzike alafu nani ashikilie nchi? panya road?
Hebu acheni siasa kwenye maisha ya watu, kuna binti mdogo kabisa ameuliwa na hawa wapumbavu.
Angekuwa binti yako ungeandika hivi?

Hawa mbwa wakikamatwa ni kupiga mpaka kifo.
 
Ushawahi kupigwa panga la shingo ukaponea kufa?
Matendo mabaya ya panya road ni matokeo ya JAMII kushindwa malezi .

Naichukia matendo Yao bt sikubali wapokee KIFO kama adhabu.

Ukiua panya road na wale Waliompiga LISSU risasi mna tofauti Gani??

Serikali Ina wajibu wa kuhakikisha haya Yanadhibitiwa wakati huo huo Sheria inafuatwa.
 
Community ya Dar ?
Mmmeshindwa kujioganaiz mtaa kwa mtaa nyumba kwa nyumba.....
Huu ndio wajibu wa polisi na ndio maana tunalipa kodi ili walipwe kwa kazi hii.
Kama ni "Kujioganaizi" nyumba kwa nyumba mtaa kwa mtaa ni optional na sio lazima au basi wananchi waache kulipa kodi tufanye kazi wenyewe.

Jeshi ni trained kwa ajili ya kazi kama hizi na sio wananchi wapoteze maisha kizembe.
 
Back
Top Bottom