Niache bwana hana passport huyo ananionyesha vibubu
Wakiume huyo ohoh.Sawa mama la mama
kwahiyo masaki wanapokaa kina Mo kuna magorofa meng sana ? mkuu shule umesoma irambo nini? ile shule alooiimba jay mo kwenye "maisha ya boarding "Tajiri mwenye akili lazima ajenge ghorofa mjini maana ni matumizi bora ya ardhi. Kwani uchumi wewe ulisomea nchi gani, mkuu?
Si Dari slum Tu , TANZANIA nzima kwa kiasi kikubwa ni horrible slumHii picha imepigwa kutoka PSSSF tower floor ya 33. Angalia vijumba zaidi ya 99% viko chini! Hii inao nyesha kiwango cha chini cha umasikini na ustawi wa jiji la Dae es Salaam! Tunataka tuwe megacity yenye skyscrapers kama New York!View attachment 3168527
Ok jambo la khery... Kama uko poa! MadamPoaa
Sasa mbona anajiita mama?Wakiume huyo ohoh.
Acha ujinga basi! Inatosha π
Kidume mwenzako huyo πβ¦ sema tu kakata kamba πOk jambo la khery... Kama uko poa! Madam
Naona wamemalizana na mbeya wameamia mjini darMmemalizana na mbeya kwani?
Huyu jamaa anachekesha sana,ana fananisha London na jiji chafu la kimasikini kama dar,halafu anasema London haina skyscrapers π€£π€£hapo ndio nimemuona mpuuzi fulani mshamba ππNenda utayaona Sina mda wa kukuelezea
Nashangaa wewe mwanangu wa kambo unaniuliza baba yako hivyo..!! Huna adabu. Laana ya hawara wa mama yako ni hatari ikikupata.Wewe jamaa ni mwanaume au mama au vyote Kwa pamoja?
ππ Ni kweli mkuu sijui New York city tuiite nini sasa kama dardampo nalo ni jiji!!??π€£π€£πππDar ni mji uliochochangamka, yaani kuliita jiji ni kuyakosea majiji heshima.
Shoga tu mwanaume unajiitaje mama?Nashangaa wewe mwanangu wa kambo unaniuliza baba yako hivyo..!! Huna adabu. Laana ya hawara wa mama yako ni hatari ikikupata.
π€£π€£π€£ Hawa watu wanamazito aiseeNaona wamemalizana na mbeya wameamia mjini dar
Hahah mambo ya milioni 10.Niache bwana hana passport huyo ananionyesha vibubu
Mbn ana sound mdada.. ..... au maybe anavopenda kutetea jinsia zote.....Kidume mwenzako huyo πβ¦ sema tu kakata kamba π