mdukuzi
JF-Expert Member
- Jan 4, 2014
- 20,925
- 51,688
- Thread starter
- #141
Kwa style hii utapiamlo hautaishaHao wote hamna kitu.Waje hapa ninapoishi wapate tuisheni.Unga kilo kadhaa unapikwa ugali halafu unakatwa kidogo ndiyo unakuwa mboga.Yaani tunakula ugali mkubwa kwa kutoeza kwenye ugali mdogo kama mboga.