Dar es salaam limegeuka jiji la makelele, Serikali imelala?

Kila mtu akiamua kufanya chochote anachojisikia in the name of kutafuta ridhiki, Mzee hapatakalika.
 
I think wageni kutoka nchi zilizoendelea wakija nchini mwetu wakatuona tunavyoishi na kufanya mambo yetu kama watu wasi na akili wanatushangaa sana.

Kuna story kwamba MJ alipotua Dar aliziba pua muda wote, sina hakika kama ni kweli ila Dar inanuka kweli sio utani. Ukifika tu pale airport unasikia harufu moja ya ajabu.
 
Nikikuta sehemu ya kula kuna kispika huwa napita kando. Sijazoea kabisa kula na makelele.
 
Tukisema tuwe wakweli, Dar imejengeka sehemu chache sana ambazo unaweza ukasimama with confidence ukasema yes hili ni jiji. Sehemu nyingi mpangilio ni wa hovyo wanazidiwa hadi na maskani kwetu Lizaboni.

Miaka sio mingi hili jiji halitakua jiji tena bali pango la walanguzi.
 
Miji yote yenye makanisa na miskiti mingi ni chaka la makelele. Huwa sielewi. Eti wanaitana kwenda kuswali. Mbona kwenye kwenda kazini na kufanya na mambo mengine hawaitani?
 
Niliwapongeza wathibiti ubora wa viwango vya kelele walipoingia kazini na iile sheria yao mpya.Niliioma Tanzania ya ustaarabu,ila kwa kuwa wanasii hasa ndio mamiliki wa sehemu hizi za makelele wakawapiga nyundo na waowakaona isiwe shida.Matokeo yake ndio haya tunashuhudia hivi sasa.
 
Kwa dar hata huko mbweni ni suala la muda tu kelele zitafika. zamani kuna maeneo yalikuwa ya kishua siku hizi vurugu match kama kawaida.
 
Tatizo lipo hapa Tunakuwa na Siasa za kuwahadaa Wananchi, Mamlaka zisema zisimamie haya mambo kwa utaratibu Wanaibuka Wazee wa Siasa kutetea
Tanzania siasa za vyama vingi tumeshindwa kusimamia. waliomadarakani wanaogopa kusimamia mambo yanayotungiwa sheria na kanuni kuogopa kupoteza mvuto, wenyewe wanasema tusiwaudhi wapiga kura. Dar ina kama watu milion 6 lkn jiji limekuwa la hovyo kwa kelele na uchafu kwa kisingizio cha watu wengi. Je hao wenzenu wenye miji yenye idadi ya watu zaidi ya milion 10 na imetulia na niyakistaarabu wanawezaje!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…