Unatetea
UpumbuvuIli Uishi vizuri kwenye haya Maisha haitakiwi kuwa Kompliketa! Wote wanaosababisha hizo ambazo Kwako ni kero ni watu wenye Akili timamu na wanachofanya ndio kichocheo cha kuwapatia Riziki.
Hata Miaka ya zamani Sehemu za mikusanyiko ya watu kama masokoni au Sehemu za kupata usafiri ( maeneo ya stand) hua kuna kelele yani kabla ya hivi vispika unavyosema.
Kama Hapa Dar baadhi ya maeneo kulivyo Busy na Biashara nyingi, Nadhani ikiwa unahitaji utulivu inabidi ubadili ZONE... Labda ukafanye Mishe zako maeneo ya Pembezoni Huko ambapo bado hakuna population kubwa au kwenda baadhi ya Mikoa ambayo ndio kwanza inajitafuta ila kwa Hapa Dar! Ukishuka Mbezi tu UBUSY na kelele zinakuchangamsha ili ujue Uko wapi sasa.