Dar es salaam limegeuka jiji la makelele, Serikali imelala?

Unatetea
Upumbuvu
 
Ukweli mtupu.
 
Mkuu hujakaa karibu na ile misikiti ya "swalaa, swalaa, kitanda chako ndiyo kaburi, shuka ndiyo sanda yako, swalaa swalaaa" wanakupigia makelele saa nzima sala ya alfajiri, bila kujali una imani gani?

Hizo sauti za swalaa swalaa za Alfajiri nazo inabidi zifanyiwe kazi. Kwanza hazimo katika mafunzo ya Uislamu aliyoacha mtume. Hili ni rahisi tu kwa waislamu kulirekebisha.
 
Wewe nae hapa watu wanaongelea non stop noice pollution,
Wewe umekazania kwenye chuki ya udini tu,hiyo kunadi salaa hua haichukui hata dakika 2 au 3

Mapimbi kama nyie kwenye kila mada hua mnalazimisha muingize issue za udini.
 
Wasio amini ni asilimia ngapi?? 0.002 ni wewe Kiranga, Yericko Nyerere na Marehem Kingunge ambaye alimkiri Yesu kabla ya kuzikwa.

Hivyo basi Kwa vile wengi ni waamimi wa Yesu au Mtume let them pray the way they wish, that is the only way for them to heal from their problems.

Watanzania wanamatatizo mengi saana, wanaamini maombi ndio suluhisho
 
This logical fallacy is called argument from popularity.

Argumentum ad populum.

 
Rudi kwenu Kasulu kwani lazima ukae Dar
 
Tanzania Ni Kubwa Sana, hamia mikoa yenye utulivu. Waache waliozoea makelele waendelee na biashara zao.
 
Sasa ukutane na daladala zile aina ya Eicher zina honi kali sana ambayo inaweza ikamuua mwenye ugonjwa wa moyo !
Wenyewe hata habari hawana !
Labda nayo hii inaingia kwenye vitu vinavyo husiana na Demokrasia 😳 !
😳😱 !
Hahaaa. Ndiyo ubaya wa demokrasia huo mkuu. Ukitaka kuwagusa machinga unaogopa sababu watakunyima kura. Ukitaka kusema msijenge hapa, bodaboda ziwe na utaratibu huu, bajaji ziwe hivi nk nk huwezi sababu ya kuogopa kunyimwa kura. Ndiyo maana miji ya India haieleweki hata kidogo. Miji yetu nayo inafuata huko.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…