Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hakuna cha mwili mzuri nenda hospitali ukapime afya yako, Dar hakuna Joto hata Machinga biashara ya vitambaa siyo dili kwa sasa hakuna mtu anayetoka jasho.una mwili mzuri basi
muwe mnaoga wakati wa kulala, we umetoka kubeti unaganzi mwili mzima unarudi hujaoga, saa ngapi utasikia baridi.Hii mikoa laana zimezidi za watu au shida ni nini? Ilipaswa kuwa baridi mwezi huu lakini joto kama lote tofauti na mikoa mingine. Hatujui lini winter(kipupwe) kitaanza 🤦🏾
Ina maana majira yamebadilika huku tu, mbona mikoa mingine sasa hivi kuna baridi?
Watu hawataki kupanda miti, kila mtu anaona ni jukumu la mwingine kupanda miti.Hii mikoa laana zimezidi za watu au shida ni nini? Ilipaswa kuwa baridi mwezi huu lakini joto kama lote tofauti na mikoa mingine. Hatujui lini winter(kipupwe) kitaanza 🤦🏾
Ina maana majira yamebadilika huku tu, mbona mikoa mingine sasa hivi kuna baridi?
tanzania kuna winter kumbe?Hii mikoa laana zimezidi za watu au shida ni nini? Ilipaswa kuwa baridi mwezi huu lakini joto kama lote tofauti na mikoa mingine. Hatujui lini winter(kipupwe) kitaanza 🤦🏾
Ina maana majira yamebadilika huku tu, mbona mikoa mingine sasa hivi kuna baridi?
Daaah jibu la kikatili sana hili[emoji1]Tafuta pesa
Winter - kipupwetanzania kuna winter kumbe?
Nipo goba. Joto kali nje na hata ndani bila feni hapafaiKama uko temeke huko bado joto litakuwa Kali
Ila watu waishio manispaa ya ubungo wako kwenye kipupwe
Ah huko kumezidi baridi yake unaweza kufa. Iwe ya wastani kama iringa sa hvNjooni huku UJUNI Makete mtainjoi.
dah mi naona joto kali nikiwa nje natoka jasho balaa..usiku feni nawasha fullHuenda ILA joto ni subjective
Naona hali ya hewa kawaida
kashesheWinter - kipupwe
Unabisha? Ww unachanganya winter na snow ndo maana unabisha. Southern hemisphere winter starts June to August. Na northern ndo kuanzia disemba. Usipagawe siku nyingine.kasheshe
Mkuu unazidi kujichanganya...Jielimishe kwa kusoma comments au uliza wakazi wa Pwani.Kivipi ndugu? Huoni majira yamebadilika mwezi wa 6 huwa baridi ila mpaka sasa fukuto na joto liko
dah mi naona joto kali nikiwa nje natoka jasho balaa..usiku feni nawasha full
wewe ndio usipagawe. Tanzania ipo kwenye tropics, na kwenye tropics hatu-experience all 4 seasons, bali ni wet and dry seasons tu. RUDI SHULE!Unabisha? Ww unachanganya winter na snow ndo maana unabisha. Southern hemisphere winter starts June to August. Na northern ndo kuanzia disemba. Usipagawe siku nyingine.