Dar es Salaam na Pwani joto bado kali hakuna kipupwe tofauti na mikoa mingine. Shida ni nini?

Dar es Salaam na Pwani joto bado kali hakuna kipupwe tofauti na mikoa mingine. Shida ni nini?

Hii mikoa laana zimezidi za watu au shida ni nini? Ilipaswa kuwa baridi mwezi huu lakini joto kama lote tofauti na mikoa mingine. Hatujui lini winter(kipupwe) kitaanza 🤦🏾

Ina maana majira yamebadilika huku tu, mbona mikoa mingine sasa hivi kuna baridi?
Mark my words. Next week kuanzia jumatatu tegemeeni mvua.

Hili joto na fukuto litakaribisha mawingi kupooza ardhi, walio mabondeni watakuwa na likizo ya kudumu hadi mwisho wa mwaka.

Tupande miti na kuboresha kwa kulinda njia za maji ili mafuriko yasilete maafa
 
Hii mikoa laana zimezidi za watu au shida ni nini? Ilipaswa kuwa baridi mwezi huu lakini joto kama lote tofauti na mikoa mingine. Hatujui lini winter(kipupwe) kitaanza 🤦🏾

Ina maana majira yamebadilika huku tu, mbona mikoa mingine sasa hivi kuna baridi?
Tubadilishane mkuu maana huku niliko saa hizi niko ndani madirisha nimefunga nimepiga jeans na soksi juu lkn bado baridi ni ya hatari...
 
Hii mikoa laana zimezidi za watu au shida ni nini? Ilipaswa kuwa baridi mwezi huu lakini joto kama lote tofauti na mikoa mingine. Hatujui lini winter(kipupwe) kitaanza 🤦🏾

Ina maana majira yamebadilika huku tu, mbona mikoa mingine sasa hivi kuna baridi?
Maeneo mengi baridi halijakolea!
 
Joto lipo la kawaida sana mimi wiki ya pili hii siwashi vileta upepo na ninalala kwa raha....
Ila mchana jua ni kali sana
 
Anayesema saizi Dar kuna joto ni mgeni aisee, atakua kaja juzi juzi.
 
Anayesema saizi Dar kuna joto ni mgeni aisee, atakua kaja juzi juzi.
Kawaida mwezi wa sita huwa ni nyuzi joto 25 ila sasa halijashuka ni nyuzi 29 mpaka 30 mchana joto usiku kiasi ndo kaubaridi
 
Mark my words. Next week kuanzia jumatatu tegemeeni mvua.

Hili joto na fukuto litakaribisha mawingi kupooza ardhi, walio mabondeni watakuwa na likizo ya kudumu hadi mwisho wa mwaka.

Tupande miti na kuboresha kwa kulinda njia za maji ili mafuriko yasilete maafa
Kuna watu wanakuambia hawasikii hili fukuto na joto wananishangaza.
 
Back
Top Bottom