Mark my words. Next week kuanzia jumatatu tegemeeni mvua.Hii mikoa laana zimezidi za watu au shida ni nini? Ilipaswa kuwa baridi mwezi huu lakini joto kama lote tofauti na mikoa mingine. Hatujui lini winter(kipupwe) kitaanza 🤦🏾
Ina maana majira yamebadilika huku tu, mbona mikoa mingine sasa hivi kuna baridi?
Tubadilishane mkuu maana huku niliko saa hizi niko ndani madirisha nimefunga nimepiga jeans na soksi juu lkn bado baridi ni ya hatari...Hii mikoa laana zimezidi za watu au shida ni nini? Ilipaswa kuwa baridi mwezi huu lakini joto kama lote tofauti na mikoa mingine. Hatujui lini winter(kipupwe) kitaanza 🤦🏾
Ina maana majira yamebadilika huku tu, mbona mikoa mingine sasa hivi kuna baridi?
Maeneo mengi baridi halijakolea!Hii mikoa laana zimezidi za watu au shida ni nini? Ilipaswa kuwa baridi mwezi huu lakini joto kama lote tofauti na mikoa mingine. Hatujui lini winter(kipupwe) kitaanza 🤦🏾
Ina maana majira yamebadilika huku tu, mbona mikoa mingine sasa hivi kuna baridi?
Kawaida mwezi wa sita huwa ni nyuzi joto 25 ila sasa halijashuka ni nyuzi 29 mpaka 30 mchana joto usiku kiasi ndo kaubaridiAnayesema saizi Dar kuna joto ni mgeni aisee, atakua kaja juzi juzi.
Kuna watu wanakuambia hawasikii hili fukuto na joto wananishangaza.Mark my words. Next week kuanzia jumatatu tegemeeni mvua.
Hili joto na fukuto litakaribisha mawingi kupooza ardhi, walio mabondeni watakuwa na likizo ya kudumu hadi mwisho wa mwaka.
Tupande miti na kuboresha kwa kulinda njia za maji ili mafuriko yasilete maafa
Wanachekesha aiseeKuna watu wanakuambia hawasikii hili fukuto na joto wananishangaza.