Dar es Salaam ni mkoa uliojaa masikini wengi wanaojificha kwenye kivuli cha miundombinu tu

Mkuu πŸ˜ŠπŸ€“

Unaita binadamu watoto wa MUNGU mafukara..

Maisha ni gwaride Kuna wa mwisho na wa kwanza ikisikika nyuma geuka wa mwisho anakuwa wa kwanza..
Haiondoi ukweli kwamba Kuna mafukara ,ndio maisha yenyewe hayo.

By the way wengi wa mafukara wa Dar wamejitakia watoke huko waje kupambana Mkoani.
 
Dsm cha bure ni salamu tuu , hadi k u ,uma inauzwa tena unaikuta safi kabisa , wee kazi kubwa nikuuilipia tuuu 3k , 4k , 5k 10k plus then unakisisimua kichwa cha chini
 
Hahaaa eti anahitaji msaada
 
You nailed it broo.

Binafsi sipapendi DSM kwa sababu ya kazia ya Hari ya hewa na Usafiri. Ila nje ya hayo mambo dar ni jiji la opportunity kila unachotaka kufanya DSM ni biashara tofauti ni mkoani Value chain ni ndogo sana.

Imagine mtu anauza miguu tu ya kuku na anauhakika wa kula kulipa kodi na mambo mengine madogo madogo.

Sijui vizuri kuhusu Mwanza ila nalipenda hili jiji.
 
Mkoa gani huo ulio ona pakishamba? Inakufaa nn ww kuishi mkoa wenye maghorofa mengi barabar nzuri na mahotel ya kila aina wakati ww umepanga chumba kimoja, unapanda daladala na unakula wali wa 2000 kwa mama ntilie.

Hapa hatuangaliaa sehemu ya kishamba au ya kishua tunaangalia sehemu ambayo vijana wanaweza kuventure na kutengeneza pesa.

Kwangu mm inategemea na ntu na ntu, na biashara unayo taka kufanya. Mfano kmaa weww ni mtu wa kilimo/ufugaji njoo mikoa kama Morogoro utaona fursa zaidi kuliko ukiwa huko Dar
 
Dar utapata Hela za kula tu na kupanga chumba,ila kutoboa ni msala,

Kunamwanangu alienda dar tangu mwaka 98 ,alikua akilud mkoa ni mtu wa pamba sana ila maokoto Hana ,ana nauli tu ya kuludi

Mungu mkubwa akastuka akaludi bush,saivi anamisauzi mitatu,aisi Moja ,ng'ombe 20,shamba la urith kama heka 70,watoto kwa mwaka wanasoma private ada jumla Yao kama milioni 4.5

Watu wa dar(mjini) hua wanaona aibu kulud bush maana hua wanawaona waliowaacha wamewazid mbali akilud mtupu atawaambia Nini

Ndio mana hua wanaludi kusalimia tu na kuludi mjini
 
Oya weeeee oyaaa tuache na Dar yetu sisi tunajua tunaishije huku hatuna hela ila hatulali njaa wala hatushindi njaa, hatuna pakulala ila tuna lala na kuamka vyema kabisa hatuna kazi ila uhakika wavibarua tunao, hatuna uhakika wa chakula cha buku mbili lakini ukakika wa miguu ya kuku na mihogo ya kwa mama Mwajuma haitushindi
 
nimenunua ardhi Dsm, nimenunua ardhi mikoa kama mitatu pia. usijifariji. popote ulipo inategemeana na ardhi unanunua wapi, ila kwenye ordinary people hapo dsm ardhi ni bei ndogo kuliko mikoa kama mwanza, arusha, mbeya, dodoma na kwengine.
Mkuu kwanini unafananisha Dar nje ya mji na Mikoani mijini kwanini usifananishe Dar mjini na Mikoani mjini kwa Dar nje ya mji na Mikoani vijijini, kama hiyo Mikoa uliyotaja unaongelea maeneo ya mjini basi na Dar ongelea maeneo ya mjini kati siyo nje ya mji, mfano kwa Mbeya ukitaja maeneo kama Isyesye au Forest Mpya basi na Dar utaje maeneo kama Mikocheni au Kawe
 
nimenunua ardhi Dsm, nimenunua ardhi mikoa kama mitatu pia. usijifariji. popote ulipo inategemeana na ardhi unanunua wapi, ila kwenye ordinary people hapo dsm ardhi ni bei ndogo kuliko mikoa kama mwanza, arusha, mbeya, dodoma na kwengine.

Ukapimwe mkojo aisee!! Unaongelea Dar ya wapi? Aisee amka usingizini usije ukakojoa kitandani.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…