Dr am 4 real PhD
JF-Expert Member
- Jun 30, 2016
- 11,640
- 24,066
Sawa mkuu 😊Haiwezekan mkuu maana nimesafiri mkoani kufuata mambo flan flan ()
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sawa mkuu 😊Haiwezekan mkuu maana nimesafiri mkoani kufuata mambo flan flan ()
Mkuu 😊🤓Pls,tunazungumzia mafukara wewe sio fukara
Haiondoi ukweli kwamba Kuna mafukara ,ndio maisha yenyewe hayo.Mkuu 😊🤓
Unaita binadamu watoto wa MUNGU mafukara..
Maisha ni gwaride Kuna wa mwisho na wa kwanza ikisikika nyuma geuka wa mwisho anakuwa wa kwanza..
Unaweza ukapewa mke bureeee kisa unakaaa dar es salaam😂😂😂😂🤣🤣Nyie watu wa jijini meshamchapia mwana nini maana omo kama yote........ 😎
🤣🤣😂😂Haiondoi ukweli kwamba Kuna mafukara ,ndio maisha yenyewe hayo.
By the way wengi wa mafukara wa Dar wamejitakia watoke huko waje kupambana Mkoani.
Hahaaa eti anahitaji msaadaukipita kwenye vituo vya mwendokasi, watu wamenyong'onyeaaa wameshika tama, wamevunjika moyo unaona kabisa huyu anahitaji msaada hana furaha. ndio maana mnajazana kwenye makanisa ya kina mwamposa kuomba miujiza everyday,na hamnawahi kuipata. hivi tangu mwamposa aanze kuwauzia mafuta hawa watu, umasikini si ungekuwa umeisha Dar es salaam kama sio nabii wa uongo yule? angalia tu, wameona makanisa ya uongo ndio kimbilio kwenda kupunguza stress. fanyeni kazi au njooni mikoani mtafute mtaji mkirudi huko na mitaji mizuri mtafanya biashara kubwa na mtatoka haraka.
You nailed it broo.Dar ndio sehemu pekee mtu anakuja kwa nauli ya kupewa na anaishi. Uko Dodoma kwenu nani aje vijijini Godegode, Kibakwe au Chololo bila connection na atoboe?
Dar mtu anakuja analala kwenye maboksi anaweka juhudi anapiga hatua kidogo kidogo. Mtu anaamka asubuhi hajui kazi ataipata wapi na atafanya nini ila ana uhakika wa kazi. Dar kila siku ni msimu, hakuna bidhaa utakosa hata iwe bei ghali. Nachingwea unapata maembe mwaka mzima? Sasa mtengeneza juisi Nachingwea kama hakuna msimu huwa anafanya nini vibarua au.
Labda kwa wafanyakazi wa serikali. Mwalimu wa Dar anaweza zidiwa na mwalimu wa Morogoro kama wote wana akili sawa za kujiongeza. Ila fundi ujenzi au mshona viatu sahau
Mkoa gani huo ulio ona pakishamba? Inakufaa nn ww kuishi mkoa wenye maghorofa mengi barabar nzuri na mahotel ya kila aina wakati ww umepanga chumba kimoja, unapanda daladala na unakula wali wa 2000 kwa mama ntilie.Yaan takriban nusu muongo Sasa sijasafir kwenda mkoa nilienda mkoa sio Siri naona pa kishamba sanaaaa pamekaa kishamba hakuna mzunguko wa pesa kabisa ukiwa police au mwalimu wa primary Au secondary unajiona umetusua maisha...
Dar ndio DUBAI ya Tanzania NDIO Washington DC ama New York City ndio Johannesburg ndio Amsterdam ya Tanzania dar es salaam [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787]TANZANIA [emoji1241][emoji1241][emoji1241] [emoji1241] maisha ni rahisi MNO kutoboa kuliko sehemu yeyote TANZANIA
1. POPULATION ina fevor kutokana na population kua Caucasoid in nature.......
2. Government makao makuu haina ubishi dar ndio Tanzania na Dar es salaam TANZANIA [emoji1241][emoji1241][emoji1241]
3. Financially [emoji383][emoji857] haina ubishi kua Tanzania dar es salaam TANZANIA NDIO mkoa pekee unao changia Kwa kiwango kikubwa Pato la taifa Kwa kukusanya mapato....
4. Fursa nyingi sana sema tu watu wengi hawajui ndio maana Kuna mapolice , ma doctor na WALIMU wengi WALIO acha ajira na wapo hapa mjini dar es salaam
5. Ni ndoto za watu wengi wa mikoani kuishi Dar es salaam TANZANIA [emoji1241][emoji1241] na mtu akifa bila kufika dar es salaam lazima ajilaumu [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji23][emoji23][emoji23]
Mkuu yapo mengi mkuu [emoji4][emoji851][emoji851][emoji851]
Mkuu kwanini unafananisha Dar nje ya mji na Mikoani mijini kwanini usifananishe Dar mjini na Mikoani mjini kwa Dar nje ya mji na Mikoani vijijini, kama hiyo Mikoa uliyotaja unaongelea maeneo ya mjini basi na Dar ongelea maeneo ya mjini kati siyo nje ya mji, mfano kwa Mbeya ukitaja maeneo kama Isyesye au Forest Mpya basi na Dar utaje maeneo kama Mikocheni au Kawenimenunua ardhi Dsm, nimenunua ardhi mikoa kama mitatu pia. usijifariji. popote ulipo inategemeana na ardhi unanunua wapi, ila kwenye ordinary people hapo dsm ardhi ni bei ndogo kuliko mikoa kama mwanza, arusha, mbeya, dodoma na kwengine.
Ila Dar Mji wa aina yake [emoji1]Dar ndo mkoa pekee ambapo kwenye familia unapikwa ugali tu halafu kila mtu anakuja na kisamaki chake
Sent from my SM-A037F using JamiiForums mobile app
nimenunua ardhi Dsm, nimenunua ardhi mikoa kama mitatu pia. usijifariji. popote ulipo inategemeana na ardhi unanunua wapi, ila kwenye ordinary people hapo dsm ardhi ni bei ndogo kuliko mikoa kama mwanza, arusha, mbeya, dodoma na kwengine.
Dar ishawalemaza wanakuwa km wapo ndani ya box hawataki kuskia chochote nje ya boxKaka siku ukienda kanda ya ziwa huko geita na kahama hutarudia tena kuongelea ujinga wa milon 80!
Watu wanafanya mining wanapata mamilioni wewe unazungumzia million 80!
wewe mbuzi si ukute hapo unaishi nyumba ya kupanga tena ya kwangu.Ukapimwe mkojo aisee!! Unaongelea Dar ya wapi? Aisee amka usingizini usije ukakojoa kitandani.
Yeap dar njaa kubwa demu unamla kwa kumnunulia miogo tu na miguu ya kuku.Dar ukiwa na uwakika wa kidebe cha unga tu dem ana hamia kwako bila kumuomba ila sio huku mikoani huwezi pata dem kisa msosi sababu misosi imezagaa tu