Dar es Salaam: Nyumba yapigwa mnada kwa kushindwa kulipa milioni 7

Ttzo upo mbali na Uislamu sahihi

Mnashadidia sana Uislamu wa mitandao ambao sio sahihi
 
Weka picha mkuu...muhimu sanaa 😀😄
 
Yeye alipewa Mkopo akaenda kutolea Fungu la Kumi
 
Riba ni 1 million Kwa mwaka ndani ya miaka mitatu deni limefika 17 million how?
Hilo kwakweli sio halisi lakini hatujui mkataba unasemaje.

Pengine ni milioni Moja kwa mwaka wa kwanza ambao unatakiwa urejeshe pesa yoote.Ikizihapo % inaongezeka kila mwezi.

Hawa wahuni wanaokopesha mikopo wanakuja na Maneno matamu lakini wanaficha vitu ndani ya mkataba ambavyo utakuja kushtuka pale unapodhani umemaliza deni harafu wanakwambia bado hichi na hichi.
 
Kwa nilivyosoma naona km kanisa halihusiki Moja Kwa moja!
Lkn pia kanisa halikumtuma akakope
 
Nina miaka 15 sijaingia kanisani. Huyu ni muumini, mtoa fungu la kumi kwa uhakika. Lakini leo ataishi kama mtumwa kwa kukosa makazi, kisa mkopo wa kutoka kanisani.
Sijaona km kanisa linahusika Moja Kwa moja
Ila ninachoona hapa ni dhuluma tu
 
Ttzo upo mbali na Uislamu sahihi

Mnashadidia sana Uislamu wa mitandao ambao sio sahihi
Kama wewe ambavyo unashadadia u-kristo usio sahihi!
U-kristo sahihi watu hawafanyi hivi!
Ss umeelewa, sio Kila anaejiita mchungaji, mkristo ana kanisa ni sahihi wengine wenzio tu km unavyoona huko kwenu!
Kwahiyo usijumuishe
 
Afisa mikopo nae katoaje pesa wakati mtu hana biashara
Lakini masharti yakikazwa pia wabongo utawasikia "mikopo hatupewi, masharti magumu"

Yakilegezwa ndio hivyo sasa. Namaanisha itabidi kila mmoja abebe jukumu lake. Responsibility. Ni wajibu wao kujua watalipaje na riba zina mahesabu gani. Ujinga kutojua ndio kosa lao hapa, na tokeo lake mateso yamejidhihiri.

Tukirudi kwenye wakopeshaji ukavaa viatu vyao. Ivi unajua kati ya 6M za mwanzo walilamba rejesho la laki tano tu😳. Na miaka inasonga tu. Huwaonei huruma biashara yao itaendaje?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…