Dar es Salaam nzima haijawahi kutokea Baa yenye sifa na mvuto kama Kwa Macheni

Ukiwa mjanja hadi buku unakula mzigo fresh na sometimes unaulizwa vipi na uwani utaingia? Ukisema ndio unageuziwa vipara viwili umalizane navyo [emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] khaaaaaah
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] khaaaaaah
 
Hahaha 🀣🀣🀣 Kweli mkuu, macheni imeondoka na watu wengi sana. Tulionusurika wengi wetu tulichinja mbuzi na kufanya sherehe.

Maana mshikemshike wa miaka ile ulikuwa sio wa kitoto.
Usinilize Mkuu nimezika Rafiki zangu wa Kiume 11 waliokuwa Wakilewa hapo na Rafiki zangu wa Kike 5 na Wote ni kwa Dally Kimoko Gitaa / UKIMWI Kipindi hicho hiyo Baa ikiwa ndiyo Talk of the Town hasa.
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kumbe ushoga uko tangu zaman, sasa hizi kelele za nn?? As if n jambo jipyaa au geni??

Khaaaaah
 
Usinilize Mkuu nimezika Rafiki zangu wa Kiume 11 waliokuwa Wakilewa hapo na Rafiki zangu wa Kike 5 na Wote ni kwa Dally Kimoko Gitaa / UKIMWI Kipindi hicho hiyo Baa ikiwa ndiyo Talk of the Town hasa.
Dah pole sana mkuu kwa kupoteza vichwa 16 mfululizo. Tatizo la vijana wengi wa enzi zile walikuwa hawashauriki. Ukimshauri mtu asisahau kutumia kinga anapokuwa uvunguni, utasikia anakwambia kuwa yeye hawezi kula ndizi au pipi na ganda lake.

Au akijua jamaa yenu mmoja kaondoka na hiyo dally kimoko unasikia anakwambia ajali kazini au nzia kufia kwenye kidonda sio kesi.

Sasa siku ikifika upande wake ndo anaanza kutia huruma na kuwapa watu mzigo wasioweza kuubeba.
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kumbe ushoga uko tangu zaman, sasa hizi kelele za nn?? As if n jambo jipyaa au geni??

Khaaaaah
Ushoga ulikuwepo, sema ulikuwa haujasambaa sana kama miaka hii. Miaka hiyo mashoga walikuwa wanaonekana zaidi maeneo kama hayo.
Sasa miaka hii wapo kila mahali, hawajifichi tena Bar kama miaka ile.
 
Dah Nakumbuka hata marehemu alipatia ngwengwe kwa macheni
R.I.P Jackson M
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…