Dar es Salaam: Vijana wawili wafariki mikononi mwa polisi

Dar es Salaam: Vijana wawili wafariki mikononi mwa polisi

Ukiwapeleka mahakamani hao wanakaa jela kwa muda, mwenendo wa Kesi raia hawaendi kutowa ushahidi mahakamai na Mahakama haiwezi kumuhukumu mtu pasipo na ushahidi usio na Shaka ndio unakuta wanaachiwa wanaendelea kusumbuwa RAIA mtaani.

Sasa ukiona Polisi wanakamata na kuuwa huwa msipende kuwalaumu Polisi hayo ndio maamuzi Sahihi Kwa mtu aliyekataa kustaarabika.

Lakini tuweke akiba ya maneno mpaka tupate wasifu wa kweli wa hao vijana hapo mtaani au nje ya mtaa, maana kuna wengine Wana kazi zao kabisa kama cover lakini ni majambazi hatari na Polisi wanawajuwa vizuri, unapoona Polisi wanakamata na kuuwa elewa wanawajuwa vizuri hao watu.
Usiombe uingie mikononi mwa hawa vijana, halafu wa sasa hivi ni vijana vidogo sana 20-35 hivi ila matukio wanayofanya ukiambiwa utawashukuru Police.

Ndio sio halali na sawa kwa walichokifanya ila kama ni wahalifu, na type ile ile ya Panya road, acha Police wafanye kazi yao.
 
Siyo watu wote ambao wamekuwa wakiuawa na Polisi hawakupata malezi mazuri kutoka kwa wazazi au walezi wao.
Je, yule kijana mfanyabiashara wa madini aliyeuliwa kinyama na Mapolisi kule Mtwara alikuwa hakulelewa vizuri??? Hamza Mohamed wa tukio la pale Selander Bridge naye alikuwa na malezi mabaya???Je, na wale wafanyabiashara wa madini kutoka Mahenge Morogoro waliouliwa vibaya sana na Kamanda Abdallah Zombe pamoja na Kamanda Christopher Bageni nao walipata malezi mabaya kutoka kwa walezi wao????
Polisi wanatakiwa kuwa weledi ktk kazi zao na waache mauaji ya kiholela, vile vile wazazi na walezi nao watimize wajibu wao wa kufanya malezi mema.
Tanzania bila ya Mauaji ya kiholela Inawezekana, kila mtu atimize wajibu wake. Wote kwa pamoja, raia na Mapolisi Tutii Sheria Bila Shuruti. Aidha, Polisi Wana Wajibu mkubwa zaidi wa kutii Sheria bila shuruti ili kutoa mifano hai kwa vitendo kwa raia wa kawaida.
Hao vijana waliouwawa mtaani kwao raia wamefurahi sana kwa mambo walliyokuwa wanafanya, wamelipongeza jeshi la polisi kwa kuwaua, walistahili kifo
 
Ili tubadilike na maendeleo mengine yafuatane lazima utawala wa Sheria uheshimiwe.

Ni kweli walikua wameshindikana ila tukiruhusu Askari aamue yupi kashindikana na yupi hajashindikana tunajitengenezea mazingira hata siku wewe binafsi Askari anaweza akaamua wewe umeshindikana na akakuua.

Jeshi letu la polisi ni waelewa sana na asilimia nyingi ya Askari wanapenda kusuluhisha matatizo yetu Kwa amani na kupatana bila kutumia nguvu zao ambazo wanazo,nawapongeza Kwa hilo.

Ila tukiruhusu Askari aamue yeye binafsi yupi wa kumpoteza na yupi wa kumsamehe ukijumlisha na masuala binafsi(most criminals wanasumbua sana Askari,wanapewa ushauri na ultimatum ila wanakaidi) Itafika sehemu Askari wa kawaida tu anaamua Kwa maamuzi yake kukupoteza sababu ulimkera na kumsumbua na alikua anakutafuta Kwa muda mrefu. hata Kwa faida yetu ila tusiruhusu kila kitu watu Fulani waamue hatma yetu hasa ya UHAI wetu.
Sahihi
 
Ndio maana tunahitaji Private Investigators(PI) kusaidiana na polisi.
Ukiwapeleka mahakamani hao wanakaa jela kwa muda, mwenendo wa Kesi raia hawaendi kutowa ushahidi mahakamai na Mahakama haiwezi kumuhukumu mtu pasipo na ushahidi usio na Shaka ndio unakuta wanaachiwa wanaendelea kusumbuwa RAIA mtaani.

Sasa ukiona Polisi wanakamata na kuuwa huwa msipende kuwalaumu Polisi hayo ndio maamuzi Sahihi Kwa mtu aliyekataa kustaarabika.

Lakini tuweke akiba ya maneno mpaka tupate wasifu wa kweli wa hao vijana hapo mtaani au nje ya mtaa, maana kuna wengine Wana kazi zao kabisa kama cover lakini ni majambazi hatari na Polisi wanawajuwa vizuri, unapoona Polisi wanakamata na kuuwa elewa wanawajuwa vizuri hao watu.
 
Nimefuatilia nimepata hii, sijui ina ukweli gani?
Uchunguzi wa kina zaidi unahitajika ili kupata taarifa za upande wa pili.
Kama hawa ndio walishambuliwa na hao vibaka basi walichopata ndio stahiki kwao, hauwezi kuua na kuwapa watu ulemavu halafu siku ukikamatwa uchekewe kwa hili niko pamoja na polisi.
 
wengi humu hayo maeneo ya vingunguti hamyajui vizuri huo n ukanda wa gaza ..kuanzia buguruni sheli huku kushuka spenco kule mpaka vingunguti unakabwa sa nne asubuhi
Sasahivi tunawapiga chuma. adi waishe wote
 
Siyo watu wote ambao wamekuwa wakiuawa na Polisi hawakupata malezi mazuri kutoka kwa wazazi au walezi wao.
Je, yule kijana mfanyabiashara wa madini aliyeuliwa kinyama na Mapolisi kule Mtwara alikuwa hakulelewa vizuri??? Hamza Mohamed wa tukio la pale Selander Bridge naye alikuwa na malezi mabaya???Je, na wale wafanyabiashara wa madini kutoka Mahenge Morogoro waliouliwa vibaya sana na Kamanda Abdallah Zombe pamoja na Kamanda Christopher Bageni nao walipata malezi mabaya kutoka kwa walezi wao????
Polisi wanatakiwa kuwa weledi ktk kazi zao na waache mauaji ya kiholela, vile vile wazazi na walezi nao watimize wajibu wao wa kufanya malezi mema.
Tanzania bila ya Mauaji ya kiholela Inawezekana, kila mtu atimize wajibu wake. Wote kwa pamoja, raia na Mapolisi Tutii Sheria Bila Shuruti. Aidha, Polisi Wana Wajibu mkubwa zaidi wa kutii Sheria bila shuruti ili kutoa mifano hai kwa vitendo kwa raia wa kawaida.
HUJABAHATIKA KUZUNGUKWA NA HAWA VIJANA, ROHO UNAISHIKA MKONONI
 
Arusha ndo balaa, vijana wanapewa vilema na kuuawa sana.

Kuna siku kidogo nidakwe aisee nilikimbia kidogo nigongwe na gari[emoji1787]

Eti nimekosea kuvuka barabara kidogo anigonge na defender yake akataka anipakize, kidogo nijikojolee
[emoji23][emoji23][emoji23]kumbe wewe ni muoga hivyo,si ungepambana nao tu
 
Tupe CV ya hao vijana Kwanza hapo mtaani, kuna wakati Polisi wanafanya maamuzi Sahihi Kwa Amani na usalama wa wanazengo.

Usikute hao walishashindikana hapo mtaani kwao RAIA wanacelebrety vifo vyao.
Na ww umepewa PhD
 
Hiyo familia nayo ijiongeze dawa ya ubaya ni ubaya tu.
Sio kila kitu mtafundishwa shuleni.
 
Bora ukutane na vibaka wenye mapanga, kuliko polisi mwenye bunduki,
Kule mtwara, kuna kesi tena ya vigogo wakubwa tu, wameua kijana kwa sindano ya sumu, kisa tu milioni 30!
Ofisa, TRA, anazuia mzigo ili umpe rushwa, bila hivyo atakutsndika Kodi kubwa, Nesi hospitari usipompa kitu kidogo, hatoi huduma kwa mama mjamzito!
Sasa hv kila kitu ni shagharabagala!
Unyama wa polisi haujaanza Leo, kamanda zombe na kikosi chake,waliua wafanyabiashara wa madini mchana kweupeee! Wakasema, ni, majambszi, tunashukuru walioshiriki wamepata murder wanasubili kunyongwa!
 
Back
Top Bottom