[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Siku hizi hata mwanamke ukimkosea ukiona yupo kimyaa lazima upate wengeee[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28] tena wa machame aiseee inabdi uwataarifu na familia yako mapema.
Hakuna mwanamke bora kama mchaga,muhaya,mnyakyusa,msukuma,Wachaga wa Machame wamefanya tukio tena. Rip mwana tulimshauri sana juu ya wanawake wa kichaga akakaiidi. Ona sasa.
Then akammalizia na moto wa Petrol......alichomwa visu kwanza usiku wamelala
Zungu mwenyewe anaonekana msenge.Marehemu zunguView attachment 1856566
Vipi kama ungebahatika kuonana na Neema kabla ya tukio, ingewezekana kimasihara?! [emoji38][emoji38][emoji38][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji125][emoji125][emoji125][emoji377][emoji377][emoji377]Siku hizi hata mwanamke ukimkosea ukiona yupo kimyaa lazima upate wengeee[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28] tena wa machame aiseee inabdi uwataarifu na familia yako mapema.
Si kama yule wa magunia ya mkaa tu alivyojeruhiwa akaamua kumchoma Mke...Msijidai mna hasiraa sanaa kujeruhiwaa kivipii[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Majanga sanaaa... Ukute amekasirika kaamua akabebe mimba ya mwanaume mwingine akusingizie ni yako[emoji3][emoji3][emoji3][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Nimecheka...
Tena wenge si la kitoto.. Maana hujui anawaza nini.. Kila siku wanakuja na Visasi vipya..
Nina neema ila ni muhayaa[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Vipi kama ungebahatika kuonana na Neema kabla ya tukio, ingewezekana kimasihara?! [emoji38][emoji38][emoji38][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji125][emoji125][emoji125][emoji377][emoji377][emoji377]
Hiyo Aya ya Tatu umemaliza yote Witty..Hakuwa Ex huyu ni hawara yake...Mario hamis alikuwa anamchuna anakula hela, pombe na K yake kwa madai atamuoa, kumbe ana mwanamke mwingine na mtoto kashawatambulisha kwao
Sasa kwa kitendo hiki tu peke yake , kama mwanamke alikuwa anakupenda kiukweli ni lazima akuondoe duniani[emoji848]
Umpotezee muda, ule k buure, akuhonge pesa ake ( hela ya mwanamke ni ya kuiacha kama ilivyo maana hustle zao Mungu wao ndo anajua) halafu Mario ukatambulishe k ingine kwenu? Haahaa haa anaona bora mkose wote!
Kwanza kamfanyia huyo mwanamke mwingine kisasi ili amkose huyo mume na kamuua kwa mtindo huu huyo mwanaume kwa kuwa hana nguvu za kupigana nae na hana option nyingine [emoji848]
Aiseeee... huwa watu wanawezaje kuwachukulia wenzao for granted?Yani jamaa alikuwa anapewa hifadhi na demu wake kabisa kwao?!
Naongelea huyu wa kanda ya KaskaziniNina neema ila ni muhayaa[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Halafu analeta Ufwala...Yani jamaa alikuwa anapewa hifadhi na demu wake kabisa kwao?!
Nashangaa anaanza ku complicate mambo neema na grace kwake n vitu viwili tofauti ...Tumempa elimu anaanza kuleta ujuaji [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji4]Haahaaa [emoji16][emoji1787]
Mkuu mbona unamsuta sana
Mapenzi ni ufala saana, kuibiwa inauma, ila ukiiba unaona una haki.. Usikute binti nae alikuwa na mchepuko wake
Sisi tunajua utamu mnapata nyie tu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji2960][emoji2960]K ya mpenzi wako haina price Tag sababu after a long while anakuwa kama mke tu japo hamna legal binding!
You smash it whenever you feel like sababu mko kwenye relationship contract wala huwezi iita K ya bure.You are both enjoying the binding!
K za bure ni za mahawara zinazolokotwa njiani huko kwa offer za chips mayai!