Deeboyfrexh
JF-Expert Member
- Apr 3, 2015
- 3,417
- 5,579
Aliesema love is a situation between two fools 😂 nafikiri yupo sahihi!Kuchezea hisia za mtu huwa ni hatari Mimi simshangai neema kupenda ni kubaya Sana aisee hasa ukitendwa navunaye mpenda unaweza tenda kitu kibaya Sana, Mimi nikishaona hamna maelewano full udaganyifu kuliko nije nifanye kitu mbaya tuachane tu mazima na sirudii nyuma, ndio maana Bora kuwa na mtu wa hamu ikiisha pita na njia zako. Mimi silaumu anayeua kisa mapenzi. Love is a serious mental problem
Huwa mwanamke akifikia point hii hajali asee...Si kama yule wa magunia ya mkaa tu alivyojeruhiwa akaamua kumchoma Mke...
Ila tofauti ya hawa Wawili Yule wa Mkaa alitumia mbinu zote asijulikane.. Huyu Mwanamke kaamua kufanya wazi...
Ndipo unaweza kuelewa sasa Mwanamke akijeruhiwa inakuwaje...
Ndiyo Mapenzi...Kumbe ni hawara tu, yaani hawara kaua hawara... insanity!
Haa haa...be carefulNina neema ila ni muhayaa[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Hakuna mwanamke bora kama mchaga,muhaya,mnyakyusa,msukuma,
Makabila mengine basi tu
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Asee ni ukatili wa kutisha[emoji22]
Na k alimpa usiku haahaahaa ila wanawake bana!
Haya ndo malipo ya usaliti[emoji848]
[emoji23][emoji23][emoji23] nilitamani tu Tena na utoto ule ningekuwa neema Sasa hivi ila nilivokuwa nikasema kila mtu afanye atakacho no attachments at all.ukiona mkeo anakufumania ana kuvumilia be careful my friend wanawake sisi ni hatari mnoNa wewe ungemuua kweli, huwa niko makini sana na hasira zako [emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]hisia za mtu ziheshimiwe! Hili la msingi sana aisee...Ndiyo Mapenzi...
Hayaangalii hawara au asiye hawara..
Hisia za Mtu ziheshimiwe..
Ndiyo kama kilichotokea sasa..Mwanamke akilipa kisasi dunia huwa inatikisika kwanza
Kiukweli DarlingHiyo Aya ya Tatu umemaliza yote Witty..
[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1] dar wavulana nao wamezidMsengeee tena[emoji16][emoji16][emoji16][emoji1787][emoji1787][emoji23][emoji23]
Hakyanani [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Aliochakata vizuri.. Baadaye akapewa anachostahili..
Kurudiana na ex nikutafta majanga maana usaliti ni hatari lohWe demu unamringishia una mwanamke mwengine unataka umuoe wakati amejisacrifice kwa ajili yako!
Halafu siku anakualika na ulivyo boya unaenda kabisa kulala kwake [emoji23][emoji23][emoji23]
Kabisa... Kabisa.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]hisia za mtu ziheshimiwe! Hili la msingi sana aisee...
Hahaha asante studio. Tumekoma ndugu. Tumejifunzaa. Ila wanatoaga kwa wanaowapenda tu. Kwa wale wanaowatumia ndo huwa wanataka kuchuna tu. Dawa ni hakuna kutoaWanaume hawafadhiliki, mwanaume hapewi hela, mwanaume anapewa k na kuombwa hela....hata uwe na milioni na ye ana elfu kumi omba hela, tena legeza jicho beba elfu kumi yote.
kivipi ?Mke miaka 25.....bwana miaka 25,tatizo limeanzia hapa.
Huyu mwanaume ni mpumbavu wa mwisho sijapata ona[emoji848][emoji134]Aiseeee... huwa watu wanawezaje kuwachukulia wenzao for granted?
Seems huyu neema alivumilia mengi sana ikajenga hasira kali ndani yake. Ila kuuana miye hataa[emoji23][emoji23] kitimoto ya white house na kwa urassa zilivyo tamu kwakweli hapana. Ila zungu was so stuppid. Hafadhiliki aisee.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hakyanani [emoji23][emoji23][emoji23]
Kachakata halafu kafanywa mshkaki! Nawaogopa wanawake kuanzia saa hii, hapa nilipo...
Huyo msichana ni insane, sidhani kama alikuwa na akili zake timamu.
Ndio maana watu wanasema hata chadema chama cha kichaga ssio cha kukabidhi nchi. Kituwakabidhi nchi hii nchi haitafika mbali.Nanyi hamsikii, utaoaje mchaga? Yale Ni mauaji makatili linapokuja suala la pesa. Na Wala so mapenzi, wachaga hawana mapenzi, Ni pesa