Dar: Hafla ya BAWACHA Mikocheni yazingirwa na Polisi, wapewa dakika 30 tu

Hapa siyo mahala pake kwa maana mama yahuko hapa. Pili mahakama ziko pelekeni kesi mahakamani.
 
Hama nchi, nye nye nye mob, actions zero. Hameni basi
 
Ningeishangaa intellejensia ya Polisi Kanda Maalumu kama ingeruhusu jana kile walichokiita "Chakula cha usiku cha BAWACHA"

Wanatishia usalama wa Taifa kwa kauli za ajabu ajabu, wanamsakama na kumbeza Rais SSH hadharani.

Hawastahili tena kuachiwa uhuru wa kukutana.

KUIJENGA nchi unaweza tumia damu na muda mrefu ILA kauli moja tu ya kwenye majukwaa au mtandao wa kijamii inatosha kabisa KUIBOMOA nchi.

Bila kujali umaarufu wala hadhi ya fulani Nchi lazima ilindwe kwa nguvu zote, mahatarisho yazimwe na waasi wafutwe.
 
Kwani kupeleka Polisi kuwalinda ingegharimu nini? Wakati mwingine watawala wanawapa wapinzani umaarufu wa bure.
 

Siasa za Chadema ni siasa zembe. Mtu anayetaka nchi isitawalike sio wa kumchekea hata kidogo. Mkulima wa mahindi amchekeae nyani, huvuna mabua! Hata USA wanajua walichokivuna January 6, 2021 baada ya kuingia mtego wa kumchekea nyani.
 
Hivi polisi wanakuwaga na akili saa zingine??!! Yani unaamuru watu wale, wanywe, wazungumze mambo yao kwa dakika 30 tu kisha watawanyike!!
 
Kulikuwa na RPC akiitwa Tibaigana. Huyu Wapinzani wakitaka kuandamana anaita viongozi wao na kukaa mezani kuchora njia watakazopitia kisha siku ya maandamano hutoa askari wayalinde maandamano yafike Jangwani au Mnazi 1 wahutubie muda waliokubaliana ukiisha watawanyike kwa amani.

RPC waliofuatia walikuwa wanatumia mabomu na vurungu na maji ya washawasha kuzuia maandamano. Matokeo ni vurugu mtindo mmoja. Watu kama Lipumba alinjwa mkono. Kuongoza ni kutumia tu hekima na maarifa. Watu wanapofurukutwa ndani, wanata kusema, JK alisema, "Waacheni waseme kwa kuwa kwa njia watapumulia nje hilo fukuto ndani yao kisha wataenda nyumbani kulala. Vilio vya chura gavimzuii ng'ombe kunywa maji"

You can kill a rat in the kitchen silently by using a poisoned carrot or by using a big rungu. Although the choice is yours, but check the consequences.
 
Barakoa mbona hawajavaa Hawa vibaraka wa mabeberu??

Kila siku si wanatishia wananchi juu ya Corona..mbona wao hawachukui tahadhari?
 
Na wao ndo wamemlazimisha kufanya hivyo. Alidhani ni wastaarabu

Naye havimtoshi hivyo viatu alivyovalishwa na Katiba! Amekuwa sehemu ya top brass kwa miaka zaidi ya mitano na bado alikuwa hajui kuwa sio wastaarabu?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…