Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hathari = AthariKuzuia mikutano ni upuuzi na ujuha ,mikutano ina hathari gani? Kwani wanapanga kupindua nchi au kufanya ugaidi?
CCM ni ileile, hakuna kitakacbobadilika!!!!!Tayari utawala wa awamu ya sita unarudi kulekule walipofeli utawala wa awamu ya tano, yaani kushindwa kuvumilia hata haki ya kukusanyika Katika ukumbi.
Mwanzo mzuri wa rais, hawa ni kutokuwachekea...Hii ni baada ya Polisi kuruhusu Bawacha wakutane kwa dk 30 tu huku polisi nao wakitaka kuwemo ndani ya ukumbi ili kusikia yanayozungumzwa , kabla ya ruhusa hiyo zimepigwa danadana kuanzia polisi kinondoni , DC hadi RC wakipiga danadana huku kila mmoja akijitoa asionekane kuruhusu jambo hilo .
Ikumbukwe kwamba BAWACHA waliandaa hafla yao ya halali Mikocheni na kupeleka taarifa kwa DED kama sheria zinavyoelekeza , jambo ambalo limeiogopesha Mamlaka ya Tanzania .
Bawacha wamegoma kuendesha kongamano lao chini ya pingu za polisi .
View attachment 1838235
UPDATES
============
Video : Mwamba Mbowe awasili kwenye hafla hiyo huku akipenya katikati ya mitutu ya bunduki
View attachment 1838305
MAMA ANAUPIGA MWINGI SANA🤣🤣🤣🤣🤣Na hiki ndicho kilichotokea. Polisi wenye silaha wamezingira ukumbi wa Hekima Garden, Mikocheni kuzuia hafla ya chakula cha jioni iliyoandiwa na Baraza la wanawake la Chadema (BAWACHA)....
Machafuko???Kama hawataki machafuku, Rais na CCM wafuate katiba na kutenda haki , mbona rahisi tu
Kapigwa jiwe na coronaMnalia masikini na wapigwe tu
Hivi kweli mliamini atakuwa tofauti? Mkiambiwa CCM ni ile Ile muwe mnaelewa. Na bado mtaendelea kumlaumu jiwemama anafeli kwa haraka sana
Mama ako anakumbuka majukumu yako?Hao kina mama wanatelekeza familia zao wanakimbilia siasa usiku ;
Ipo haja ya kuwakumbusha majukumu yao ya kifamilia.
Unapoeleza siasa za matukio huwa mnamaanisha nini sasa?Kila jambo liendelealo hapa duniani ni tukio haijalishi nani kafanya au anategemea kufanya.Wazee wa SIASA za matukio tena....
Kuna wakati mnawalaumu tu POLISI..
Muuza uyoWewe jamaa hunaga hata pointi Wala akili,
Unaweza kuandika Aya ndeeefu halafu ujinga mtupu.
Hapa ndugu umeandika ujinga tu.
Mikusanyiko ya CCM,wakikusanyika CDM Ni hatari.
Wewe Jamaa wewe mtupu kabisa kichwani.
Hata kama mnataka kuwabana Chadema tumieni akili,hivi mnadharaulika.
Rais huyu ni muungwana na muelewa kwa ufupi Mbowe anamkosea heshima.RBC najua uko kazini hapo UFIPA....
Unaweza kumlaumu MAMA vile upendavyo....ila hata ingekuwa ni wewe....kwa hizi nchi zetu za kiafrika....ungepachikwa majina tu...
Cite...Aiseee.. Cute mana ake nini!!!!!!!!🤔
Wewe itakuwa unableed kupitia nyumaIntelinjensia imara ya Jeshi la Polisi Tanzania haiwezi kuwaacha bila kuwasimamia. Hamna tofauti na magaidi.
Kapigwa jiwe na corona
#MWAMBA TUVUSHEMbowe anaogopeka alivyokuja tu Police wakakimbia wote