Dar: Hafla ya BAWACHA Mikocheni yazingirwa na Polisi, wapewa dakika 30 tu

Dar: Hafla ya BAWACHA Mikocheni yazingirwa na Polisi, wapewa dakika 30 tu

Hii ni baada ya Polisi kuruhusu Bawacha wakutane kwa dk 30 tu huku polisi nao wakitaka kuwemo ndani ya ukumbi ili kusikia yanayozungumzwa , kabla ya ruhusa hiyo zimepigwa danadana kuanzia polisi kinondoni , DC hadi RC wakipiga danadana huku kila mmoja akijitoa asionekane kuruhusu jambo hilo .

Ikumbukwe kwamba BAWACHA waliandaa hafla yao ya halali Mikocheni na kupeleka taarifa kwa DED kama sheria zinavyoelekeza , jambo ambalo limeiogopesha Mamlaka ya Tanzania .

Bawacha wamegoma kuendesha kongamano lao chini ya pingu za polisi .

View attachment 1838235


UPDATES
============

Video : Mwamba Mbowe awasili kwenye hafla hiyo huku akipenya katikati ya mitutu ya bunduki

View attachment 1838305
Ccm haijawahi kuwa mahala salama kiushindani
 
Jana Lissu alisema Mwendazake amekufa lakini waliokua wakimsaidia kutesa na kuumiza watu hawajafa. Bado wapo. Wanaweza kuwa wameficha makucha tu kwa muda lakini wakishamsoma mama, watarudi tu.

Na hiki ndicho kilichotokea. Polisi wenye silaha wamezingira ukumbi wa Hekima Garden, Mikocheni kuzuia hafla ya chakula cha jioni iliyoandiwa na Baraza la wanawake la Chadema (BAWACHA).

Iko hivi, Bawacha wameandaa hafla ya kuwakutanisha wanawake wa Chadema kubadilishana mawazo na kuzungumza mambo yao kama akina mama.

Wakaandika barua kwa Mkurugenzi kumpa taarifa. Lakini Mkurugenzi akasema wapeleke maombi yao kwa DC. Wakapeleka barua kwa DC Gondwe. Katika hali ya kushangaza Gondwe eti nae akaagiza barua ipelekwe kwa RC. Yani danadana zisizo na ulazima wowote. Yani akina mama kukaa na kula kuku zao hadi RC atoe ruhusa?

Anyway, barua ikapelekwa kwa RC lakini Makalla akaingia mitini. Hataki kujibu. Baada ya kusumbuliwa sana akaagiza waende kwa RPC Kinondoni. RPC kaagiza waende kwa OCD Oysterbay. OCD akaruhusu hafla ifanyike kwa masharti yafuatayo;

1. Pasiwepo na mziki.
2. Pasiwepo na pombe.
3. Hafla ifanyike kwa dakika 30 tu.
4. Askari waingie ukumbini kusikiliza wanachojadili.
5. Wakimaliza kula watawanyike haraka.

Wanawake wa BAWACHA wamegomea masharti hayo, wanataka wawe huru kufanya mambo yao.

#MyTake;
Mama kemea hawa watu watakuharibia sasa hivi. Hawa akina mama ni wanawake wenzako. Wameamua kukaa, kula na kujadili mambo yao. Kwanini wananyanyaswa? Mwendazake aliwabagua watu kwa vyama vyao. Wapinzani wakawa mistreated kama vile magaidi. Wakapigwa, wakateswa na kunyanyaswa bila sababu.

Wewe ulianza vizuri kwa kuliunganisha taifa. Ukaahidi kuganga makovu yetu. Ukasema tusahau yaliyopita na tufute machozi. Lakini badala ya kutufuta machozi, mbona watu wako wameanza kutuletea machozi tena? Tafadhali wakemee. Jana tumefanya kongamano zuri la Katiba, na dunia imekupongeza kwa sababu polisi hawakutusumbua. Lakini leo hawa akina mama wanasumbuliwa? What happened?
Mkuu kwa taarifa yako ni kwamba hapo hakuna kisichojulikana kwa mkuu wa nchi.

Huyo rpc,Ded,Dc na woote hao kwenye listi yako wanajua na wanatekeleza maagizo kutoka kwenye nguzo kuuu
 
mama anafeli kwa haraka sana
CCM Ni chama kioga na dhaifu Sana hapa duniani.
Hawajiamini,
Wanahofu,
Wanawivu,
Na akila aina ya mashaka.
Unawezaje kuwaogopa wanawake waliopendeza kiasi hicho wakiwa wananukia ma pafyumu hawana fimbo,mapanga,bastola,Bunduki,Wala mambonu ya kurusha kwa mkono.
Unawazuia hata wasinywe pombe Wala wasicheze hata mziki.
Aisee kazi tunayo.
 
Wazee wa SIASA za matukio tena....

Kuna wakati mnawalaumu tu POLISI....

Kuna kitu leo nishee hapa....

Hivi mnajua kuwa KUIJENGA NCHI NA KUISIMAMISHA NI KAZI SANA ZAIDI YA KUIBOMOA?!!!

Nchi inasimamiwa na Serikali iliyoko madarakani....

Na Serikali yoyote ile duniani Ni lazima IOGOPE machafuko/mapinduzi kwa FAIDA YA NCHI ,watu wake na VIONGOZI WA HIYO SERIKALI....

Sasa huwa tunawalaumu sana Polisi wa hizi nchi zetu za Afrika wakati mwingine KIHISIA TU.....

Hebu tufikiri hivi.....

Ni juzi tu mh.Mbowe AMENG'AKA MNO.....aliyoyaongea jukwaani ni "alarming point" kwa SERIKALI yoyote hata ingekuwa ni ya CHADEMA....

Baada ya "kung'aka kwake" yakafuata matamko ndani na nje ya nchi....haswa kutoka kwa mh.Tundu Lissu kuwa ,kuhusu KATIBA MPYA ni lazima ipatikane kwa HERI AMA KWA SHARI ....so put yourself in that position....would you let things going without putting your nose on it?!!!

TUTAFAKARI JAMA.....

POLISI WAKO SAHIHI NANYI BAWACHA....2 months ago ,BAWACHA from LAKE ZONE wanted to demonstrate in Dodoma against Speaker's decision on "Covid-19 members of parliament's" before cancelling their gathering following Police's ban.....

Jamani jama ,NCHI HA ZIENDESHWI KILIBERALI eti tu kwa kuwa Kuna UHURU WA VYAMA VYA UPINZANI...UHURU WA KUKUSANYIKA.....

#KaziIendelee
Wewe jamaa hunaga hata pointi Wala akili,
Unaweza kuandika Aya ndeeefu halafu ujinga mtupu.
Hapa ndugu umeandika ujinga tu.
Mikusanyiko ya CCM,wakikusanyika CDM Ni hatari.
Wewe Jamaa wewe mtupu kabisa kichwani.
Hata kama mnataka kuwabana Chadema tumieni akili,hivi mnadharaulika.
 
Potelea maporomokoni.

Yaani mtu mumtukane tu awaangalie eti kwa kuwa mlidhani ni mcha Mungu?? Never on earth.

Miongoni mwa mafundisho ya mwanzo kabisa mtu anayopaswa kuyapata ni namna ya kutunza heshima yake.

Kuna msanii aliimba "utanipa heshma yangu au nitaichkua kwa nguvu"

Yaani nyinyi watu hamtaki kabisa kuongozwa kistaarabu. Mnataka muongozwe kama mapunda. Sasa si mnaleta undezi?? Hatutaki kuskia vilio pale mambo yakipamba moto
Kama kuna mtu kakutukana unamshitaki yeye ni sio kunyima watu milioni 60 uhuru wao wa kukusanyika wapendavyo.

Hawezi kushitaki kwani amekosolewa na sio kutukanwa.
 
Jana Lissu alisema Mwendazake amekufa lakini waliokua wakimsaidia kutesa na kuumiza watu hawajafa. Bado wapo. Wanaweza kuwa wameficha makucha tu kwa muda lakini wakishamsoma mama, watarudi tu.

Na hiki ndicho kilichotokea. Polisi wenye silaha wamezingira ukumbi wa Hekima Garden, Mikocheni kuzuia hafla ya chakula cha jioni iliyoandiwa na Baraza la wanawake la Chadema (BAWACHA).

Iko hivi, Bawacha wameandaa hafla ya kuwakutanisha wanawake wa Chadema kubadilishana mawazo na kuzungumza mambo yao kama akina mama.

Wakaandika barua kwa Mkurugenzi kumpa taarifa. Lakini Mkurugenzi akasema wapeleke maombi yao kwa DC. Wakapeleka barua kwa DC Gondwe. Katika hali ya kushangaza Gondwe eti nae akaagiza barua ipelekwe kwa RC. Yani danadana zisizo na ulazima wowote. Yani akina mama kukaa na kula kuku zao hadi RC atoe ruhusa?

Anyway, barua ikapelekwa kwa RC lakini Makalla akaingia mitini. Hataki kujibu. Baada ya kusumbuliwa sana akaagiza waende kwa RPC Kinondoni. RPC kaagiza waende kwa OCD Oysterbay. OCD akaruhusu hafla ifanyike kwa masharti yafuatayo;

1. Pasiwepo na mziki.
2. Pasiwepo na pombe.
3. Hafla ifanyike kwa dakika 30 tu.
4. Askari waingie ukumbini kusikiliza wanachojadili.
5. Wakimaliza kula watawanyike haraka.

Wanawake wa BAWACHA wamegomea masharti hayo, wanataka wawe huru kufanya mambo yao.

#MyTake;
Mama kemea hawa watu watakuharibia sasa hivi. Hawa akina mama ni wanawake wenzako. Wameamua kukaa, kula na kujadili mambo yao. Kwanini wananyanyaswa? Mwendazake aliwabagua watu kwa vyama vyao. Wapinzani wakawa mistreated kama vile magaidi. Wakapigwa, wakateswa na kunyanyaswa bila sababu.

Wewe ulianza vizuri kwa kuliunganisha taifa. Ukaahidi kuganga makovu yetu. Ukasema tusahau yaliyopita na tufute machozi. Lakini badala ya kutufuta machozi, mbona watu wako wameanza kutuletea machozi tena? Tafadhali wakemee. Jana tumefanya kongamano zuri la Katiba, na dunia imekupongeza kwa sababu polisi hawakutusumbua. Lakini leo hawa akina mama wanasumbuliwa? What happened?
Mkipewa fursa, mnatukana mno, ata mm siwezi ruhusubujinga kama huo, Magu ndiyo alikuwa kiboko yenu.
Rip Magu
 
Jana Lissu alisema Mwendazake amekufa lakini waliokua wakimsaidia kutesa na kuumiza watu hawajafa. Bado wapo. Wanaweza kuwa wameficha makucha tu kwa muda lakini wakishamsoma mama, watarudi tu.

Na hiki ndicho kilichotokea. Polisi wenye silaha wamezingira ukumbi wa Hekima Garden, Mikocheni kuzuia hafla ya chakula cha jioni iliyoandiwa na Baraza la wanawake la Chadema (BAWACHA).

Iko hivi, Bawacha wameandaa hafla ya kuwakutanisha wanawake wa Chadema kubadilishana mawazo na kuzungumza mambo yao kama akina mama.

Wakaandika barua kwa Mkurugenzi kumpa taarifa. Lakini Mkurugenzi akasema wapeleke maombi yao kwa DC. Wakapeleka barua kwa DC Gondwe. Katika hali ya kushangaza Gondwe eti nae akaagiza barua ipelekwe kwa RC. Yani danadana zisizo na ulazima wowote. Yani akina mama kukaa na kula kuku zao hadi RC atoe ruhusa?

Anyway, barua ikapelekwa kwa RC lakini Makalla akaingia mitini. Hataki kujibu. Baada ya kusumbuliwa sana akaagiza waende kwa RPC Kinondoni. RPC kaagiza waende kwa OCD Oysterbay. OCD akaruhusu hafla ifanyike kwa masharti yafuatayo;

1. Pasiwepo na mziki.
2. Pasiwepo na pombe.
3. Hafla ifanyike kwa dakika 30 tu.
4. Askari waingie ukumbini kusikiliza wanachojadili.
5. Wakimaliza kula watawanyike haraka.

Wanawake wa BAWACHA wamegomea masharti hayo, wanataka wawe huru kufanya mambo yao.

#MyTake;
Mama kemea hawa watu watakuharibia sasa hivi. Hawa akina mama ni wanawake wenzako. Wameamua kukaa, kula na kujadili mambo yao. Kwanini wananyanyaswa? Mwendazake aliwabagua watu kwa vyama vyao. Wapinzani wakawa mistreated kama vile magaidi. Wakapigwa, wakateswa na kunyanyaswa bila sababu.

Wewe ulianza vizuri kwa kuliunganisha taifa. Ukaahidi kuganga makovu yetu. Ukasema tusahau yaliyopita na tufute machozi. Lakini badala ya kutufuta machozi, mbona watu wako wameanza kutuletea machozi tena? Tafadhali wakemee. Jana tumefanya kongamano zuri la Katiba, na dunia imekupongeza kwa sababu polisi hawakutusumbua. Lakini leo hawa akina mama wanasumbuliwa? What happened?
Asee, namna watendaji na viongozi wanavyorushiana mpira!!
Kila mmoja anaogopa kuharibu kazi yake.
 
Hii ni baada ya Polisi kuruhusu Bawacha wakutane kwa dk 30 tu huku polisi nao wakitaka kuwemo ndani ya ukumbi ili kusikia yanayozungumzwa , kabla ya ruhusa hiyo zimepigwa danadana kuanzia polisi kinondoni , DC hadi RC wakipiga danadana huku kila mmoja akijitoa asionekane kuruhusu jambo hilo .

Ikumbukwe kwamba BAWACHA waliandaa hafla yao ya halali Mikocheni na kupeleka taarifa kwa DED kama sheria zinavyoelekeza , jambo ambalo limeiogopesha Mamlaka ya Tanzania .

Bawacha wamegoma kuendesha kongamano lao chini ya pingu za polisi .

View attachment 1838235


UPDATES
============

Video : Mwamba Mbowe awasili kwenye hafla hiyo huku akipenya katikati ya mitutu ya bunduki

View attachment 1838305
Intelinjensia imara ya Jeshi la Polisi Tanzania haiwezi kuwaacha bila kuwasimamia. Hamna tofauti na magaidi.
 
Ooohooo mpiga nzumari wa "hamelini"....naona unademkia tu RAMLI zisizopo.....

Mama ni mkarimu mno....
Mkarimu wa kuvunja katiba?Unaelewa kuwa mikutano ya hadhara ya kisiasa aliyopiga marufuku ni haki ya kikatiba ya vyama vya siasa pamoja na wananchi?
Huoni MBOWE ameshinda kesi na zile 300M karudishiwa?!!


Huoni UAMSHO wako nje wanajilia "ubweche" baada ya MARAIS WAWILI kupita wakiwaacha ndani?!!

Huoni Singh Seth Yuko nje kwa PLEA BARGAIN?!!!

Huoni Mdude Nyagali yuko nje uraiani anakula maparachichi tu Sasa?!!

Huoni JOBLESS 8000 wameajiriwa TAMISEMI(ELIMU&AFYA)?!!

Huoni HESLB wameongeza "BOOM" kutoka buku 8 mpaka la "kumi "?!!!

Huoni ametufutia TOZO YA RETENTION FEE 6% kwa wanufaika HESLB?!!

Huoni.......
Huoni.......
Huoni......
Huoni......

MAMA ANAUPIGA MWINGI

MAMA NI NYOTA YA MCHEZO NDANI TU YA MUDA MFUPI....

#KaziIendelee
#SSHKipenziChaWatanzaniaWengi
#SSHMkarimuMsikivuMwenyeHuruma
Kwanza unaelewa tofauti ya executive na judiciary?Unaelewa kuwa akina mdude kuwa nje na hela za chadema kurudi ni masuala ya judiciary hayo ambayo hayahusiani kabisa na Rais?
 
Nyamaza huna hoja msomali wewe au unataka tukuanike mshenzi wewe?
Hivi wasomali wamekukosea nini? Hujui kuwa wasomali nao ni raia wa Tanzania ama umeamua kujitoa ufahamu. Kinaya kweli kweli,yaani unapigania haki huku ukiendeleza ubaguzi. Hakuna namna mama aendelee kuwaminya tu mpaka mtokwe na mavi. Wahafidhina nyie!!!
 
Hii ni baada ya Polisi kuruhusu Bawacha wakutane kwa dk 30 tu huku polisi nao wakitaka kuwemo ndani ya ukumbi ili kusikia yanayozungumzwa , kabla ya ruhusa hiyo zimepigwa danadana kuanzia polisi kinondoni , DC hadi RC wakipiga danadana huku kila mmoja akijitoa asionekane kuruhusu jambo hilo .

Ikumbukwe kwamba BAWACHA waliandaa hafla yao ya halali Mikocheni na kupeleka taarifa kwa DED kama sheria zinavyoelekeza , jambo ambalo limeiogopesha Mamlaka ya Tanzania .

Bawacha wamegoma kuendesha kongamano lao chini ya pingu za polisi .

View attachment 1838235


UPDATES
============

Video : Mwamba Mbowe awasili kwenye hafla hiyo huku akipenya katikati ya mitutu ya bunduki

View attachment 1838305
Mmmhh... Mbona wanaimba kwaya ya kanisani??
 
Polisi hawana kosa hapo.., wanatimiza kazi yao ya kuhakikisha amani na utulivu....
 
Jamani si anaupiga mwingi huyu? Yaani nchi hii hakuna mtetezi watu kila mtu analinda chake tu.....mama akiwapiga za uso sisiemu, upande mwingine unaona mama ni mpenda haki, akiwapa za uso wao,nawao wanaanzs kuponda 🤣🤣🤣
 
Jamani si anaupiga mwingi huyu? Yaani nchi hii hakuna mtetezi watu kila mtu analinda chake tu.....mama akiwapiga za uso sisiemu, upande mwingine unaona mama ni mpenda haki, akiwapa za uso wao,nawao wanaanzs kuponda 🤣🤣🤣
Hhahahhhhaaa....
 
Back
Top Bottom