Uchaguzi 2020 Dar: Jeshi la Polisi lasitisha wito wake kwa Tundu Lissu, lamtaka aendelee na Kampeni zake

walioko JF ndo walipo uraiani unakwama wapi we mbibi, huoni mpaka saa hii ball possession Lisu 90 Magu 10 na bado
 
#KASUMBA itakuabisha..who are you? kura unaoga ww tu? bahati nzur syo JF tu nenda twiter,FB...na hao amongst wapiga kura ..Tuombe zawadi ya uhai kutoka kwa Mungu..Midomo itakaa wazi,
Mlisema haponi,
Mlisema hatarudi,
Mlisema
hatapita mchujo wa chadema,
mlisema NEC itamCancel,
Mlisema hataweza kuleta ushindani kwenye kampeni...
AME WAprove WRONG...!!
 
Anamyesa hasa mpaka magufuli ameshindwa kampeni siku nane atakuwa off nimegundua kwa nn polis wanamtinga lisu kwa sababu magu amesulender kampeni
Kampeni za Magu ni za timing! Hataki kupoteza muda na rasimali nyingi wakati urais ni wake.
 
Wewe kawaambia nzi wa kijani,hakuna dhuluma,wala kuibiwa kura uchaguzi huu
...ccm wamezoea vya kunyonga mwaka huu hamna.wabane makalio kuzuia presha
 
Wewe ni msemaji wa nani? Unadhani kura utapiga wewe peke yako?
Au mmewekeza kwenye wizi wa kura kwa kuwa tume na polisi ni vibaraka wa ccm?
Kumbuka siku ya kufa nyani miti huteleza
 
Tarehe kumi na moja ndio atafanya mkutano kinondoni Biafra napo kama atakuwa fit mzee hoi spana za lisu zimemuongezea magonjwa
Magu urais ni wake hawezi kuhamgaikia kupoteza rasimali za bure!

Acha Lisu akomae ili angalau aje apate 20%
 
Weeeh, lazima uchunguzi ufanyike.
1. Kina nani walimuua kamanda Alfonce Mawazo.
2. Wapi alipo Ben Saanane, Azory Gwanda.
Lazima kila jiwe ligeuzwe. Ukipatikana na kosa sheria ichukue mkondo wake.
Bila kusahau waliomuua Chacha Wangwe.
 
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Usalama wamemwambia Magu acha kuhangaika tulia tulii! Huyu kibaraka hawezi kuwa rais
 


Kaka yangu wewe siyo Mungu, jaribu kuweka akiba ya maneno na mtazamo, ili usijekufa na heart attack bure. Mungu anaweza kufanya lolote mahali popote na kwa mtu yeyote. Hakuna mwenye kujua kesho itatokea nini, huo mtazamo kuwa fulani hawezi kufanya hili na lile siyo sahihi. Nakuonya mapema wewe siyo Mungu.
 
Naunga mkono, Lissu akiingia madarakani amheshimu na amsitiri rais Magufuli.

Watanzania hatuko tayari kuona marais wastaafu wakidhalilishwa ila tunataka kuona maovu yao yakirekebishwa kwa nguvu zote!
 
Nani katukana?

Sisi tunamsema huyu kibaraka anaetaka urais ambae wakati wenzake tunapigania kujitoa kwenye makucha yao yeye yuko busy kuturudisha nyuma.
No!Usihame kwenye mada kinyemela na kilaghai mkuu!Mada ambayo mimi na wewe tunaijadili hapa sasa hivi ni juu ya ninyi kuwakejeli wazungu kuwa ni mabeberu ilihali bado tunahitaji misaada yao kwa sasa.Hatujadili juu ya Lissu!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…