Uchaguzi 2020 Dar: Jeshi la Polisi lasitisha wito wake kwa Tundu Lissu, lamtaka aendelee na Kampeni zake

Uchaguzi 2020 Dar: Jeshi la Polisi lasitisha wito wake kwa Tundu Lissu, lamtaka aendelee na Kampeni zake

Kwanin unasema hivyo?Unaijua kesho yako wewe?
Siijui kesho yangu Ila naijua kesho ya taifa langu. Narudia.. Lissu hatakaa awe Raisi wa Jamhuri ya muungano wa Tanzania. Sio 2020 ni kamwe(NEVER), hatakaa awe Raisi wa nchi hii. Mkuu wabongo hampendi kuusikia ukweli Ila huo ndo ukweli. Tanzania haiwezi ongozwa na mtu type ya Lissu, system haiwezi kuruhusu amekosea sana kuhusisha wazungu kwenye mbio zake, nakuhakikishia hawezi kuwa Raisi wa nchi hii hata iweje. Kuna nyaraka zake za hatari zimeshanaswa tayari amekuwa declared threat kwa Jamhuri. Take it from me.
 
Tundu tutamuathibu kwenye sanduku la kura,hataamini atakapopata idadi ya kura za namba ya kiatu.
 
Sasa tutaacha lini kuwategemea kama kila tukitaka kujikwamua tuache kuwategemea, kina Lisu wanakuja na kauli kwamba hatuwezi kuishi bila wao mabeberu? Na huyo mtu kumbuka anataka kuwa rais lakini ana akili za nama hiyo,!
Ndio unaona sasa hadi hao beberu wake wamejitokeza hadharani kabisa wanampigania awe rais ili sasa rasmi tusifanye chochote bila wao kuamua!

Nakwambia hivi, oktoba hii Tutampiga yeye Lisu na huyo bebru wake,
Sasa tukitaka kuacha kuwategemea ndiyo tuwakejeli wakati bado tunahitaji sana misaada yao kwa sasa hivi?Ni sahihi kutukana wakunga ingali uzazi bado upo?
 

IMG_2832.jpg
 
Redi
Wananchi wenye busara wamewashauri polisi kuachana na Lisu kwakua uu uchaguzi amesha shindwa kwaiyo anatafuta pa kuangushia lawama.
Redio hutoa taarifa yoyote as long as inatumiwa na watu, we tumika tu na "machizi".
Wenzako wanadata, baada ya kikao na mabalozi, ripoti zinaenda.
Hakuna mtu ana tabu na ushindi wa mtu, tunataka free and fair election.
Usiibe kura, usitishe watu tuwe free.Busara za mabomu na vitisho, kajitawaze kiongozi.
 
Hujasikia ratiba ya mgombea wako lisu anampandisha visukari tu bado kidogo atamwita lisu kumkabidhi inchi siku nane mapumziko
Mnaongea story za vijiweni kujifurahisha, Lissu hatakaa awe Raisi wa Jamhuri ya muungano wa Tanzania. Sio 2020 ni kamwe(NEVER), hatakaa awe Raisi wa nchi hii. Mi nakwambia Mambo serious, nyie endeleeni kujitekenya na kucheka wenyewe pengine inawapa peace of mind.
 
If dem want to win the revoloution
Must win it, wit rasta!
Can't win no other way
Because if you win other way, you go fight again
If rasta win, den no more war
CCM (Babylon) your throne gone down, gone down.
Namshukuru Mungu kwasababu amewakataa.
 
Wapenzi, msijilipize kisasi, bali ipisheni ghadhabu ya Mungu; maana imeandikwa, Kisasi ni juu yangu mimi; mimi nitalipa, anena Bwana. Warumi 12:19

Naamini kwa moyo wangu wote kwamba Mungu anaenda kukupa nafasi ya kuongoza nchi yetu ya Tanzania. Hakuna aliyejua kuwa Daudi angeweza kumwangusha shujaa Goliathi, ila Mungu alimsaidia Daudi.

Kati ya mambo makubwa aliyofanya Daudi ni kutokulipa kisasi kwa watesi wake. NAKUPA ONYO KALI, Usije kulipa kisasi kwa watesi wako, Jitahidi utakapoingia madarakani umweshimu mzee Magufuli wala usiwaze kumtendea baya lolote. Hata ikiwezekana mwachie ndege moja ili awe anaenda nayo kwenye uwanja wa Chato. Usimnyanyase wala kumtenda vibaya.

Hata hao jesi la polisi usiwafanyie chochote kibaya, kwa ghadhabu, wewe tengeneza mfumo mzuri wa jeshi la polisi la kisasa ambalo halijihusishi na siasa wala ukandamizaji wa raia.

Maendeleo yana chama kwa mujibu wa JPM
Naunga mkono hoja Lissu nikama Madiba
 
Wapenzi, msijilipize kisasi, bali ipisheni ghadhabu ya Mungu; maana imeandikwa, Kisasi ni juu yangu mimi; mimi nitalipa, anena Bwana. Warumi 12:19

Naamini kwa moyo wangu wote kwamba Mungu anaenda kukupa nafasi ya kuongoza nchi yetu ya Tanzania. Hakuna aliyejua kuwa Daudi angeweza kumwangusha shujaa Goliathi, ila Mungu alimsaidia Daudi.

Kati ya mambo makubwa aliyofanya Daudi ni kutokulipa kisasi kwa watesi wake. NAKUPA ONYO KALI, Usije kulipa kisasi kwa watesi wako, Jitahidi utakapoingia madarakani umweshimu mzee Magufuli wala usiwaze kumtendea baya lolote. Hata ikiwezekana mwachie ndege moja ili awe anaenda nayo kwenye uwanja wa Chato. Usimnyanyase wala kumtenda vibaya.

Hata hao jesi la polisi usiwafanyie chochote kibaya, kwa ghadhabu, wewe tengeneza mfumo mzuri wa jeshi la polisi la kisasa ambalo halijihusishi na siasa wala ukandamizaji wa raia.

Maendeleo yana chama kwa mujibu wa JPM
Alishasema hatalipa kisasi kama wanavyofanya maCCM. mpe kura yako ili tuwe na uhuru wa kutosha.
 
Sasa tukitaka kuacha kuwategemea ndiyo tuwakejeli wakati bado tunahitaji sana misaada yao kwa sasa hivi?Ni sahihi kutukana wakunga ingali uzazi upo?
Nani katukana?

Sisi tunamsema huyu kibaraka anaetaka urais ambae wakati wenzake tunapigania kujitoa kwenye makucha yao yeye yuko busy kuturudisha nyuma.
 
Back
Top Bottom