Che mittoga
JF-Expert Member
- Mar 28, 2017
- 12,658
- 16,205
Lakini kule Moshi aliyeitwa si Mwenyekiti wa
Chana cha Democrasia.
Chana cha Democrasia.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yesi! Huyo kishaujua mziki anatafta sababu, wamwache atukaneeee, hafu uchaguzi ukiisha atukane tena hafu wamwonyeshe.Wananchi wenye busara wamewashauri polisi kuachana na Lisu kwakua uu uchaguzi amesha shindwa kwaiyo anatafuta pa kuangushia lawama.
Mweeh...unatia huruma hakikafake
Ktk hili hajashinda lissu! No airtime... hapewi mtu kiki!Huyu ndio T.Lissu. akili kubwa.
Wamebatilisha siyo kwa sababu wameona ni busara kufanya hivyo ila wabatilisha baada ya kugundua kuwa wamejichanganya kisheria na wito wao haukua na mashiko kisheria.Ni vyema saaa wamebatilisha au hilo nalo ni la kukaa tunaenda nalo siku zilizobaki hizi!!!!
fake wakati na video inaelezafake
Hapo angalao polisi wametambua walikuwa wakifanya makosa.Hiyo ndio busara inayohitajika kwa mustakabali mwema was taifa letu.Wito kwa vyombo vingine kuzingatia weledi katika majukumu yao.Magu urais ni wake hawezi kuhamgaikia kupoteza rasimali za bure!
Acha Lisu akomae ili angalau aje apate 20%
Ndio iko hivi. Amalize matusi yote ila dirisha likifungwa atukane tena....Yesi! Huyo kishaujua mziki anatafta sababu, wamwache atukaneeee, hafu uchaguzi ukiisha atukane tena hafu wamwonyeshe.
Kwa hiyo na lissu anatoa picha gani anaitwa ila anakaidi?Hapo angalao polisi wametambua walikuwa wakifanya makosa.Hiyo ndio busara inayohitajika kwa mustakabali mwema was taifa letu.Wito kwa vyombo vingine kuzingatia weledi katika majukumu yao.
Nakubaliana na wewe..kumfuata fuata huyo Lissu ni kumpa ujiko na 'ushujaa' usiostahili...the guy will not get more than 20;of the votes...Wananchi wenye busara wamewashauri polisi kuachana na Lisu kwakua uu uchaguzi amesha shindwa kwaiyo anatafuta pa kuangushia lawama.
mambosasa anasema Lisu aendelee na ratiba zake that means si lazima kwenda Kilimanjarokama nime elewa vizuri wito bado uko pale pale ila anatakiwa kuripoti mkoa wa kipolisi Kilimanjaro, na hii ni Zaidi ya ngonjera ya policcm
Panapo kosekana usawa,kwa upande Fulani tu,kunaleta tafsiri ya uonevu.Kumbuka Sheria Haina ubaguzi.msimamizi was Sheria anapoleta ubaguzi kwenye utekelezaji Sheria hiyo hugeuka kuwa fujo.Kwa hiyo na lissu anatoa picha gani anaitwa ila anakaidi?
Polisi wamelegea!
Ambacho hujagundua wewe ndio una kiwewe
Umeanza vizuri ila mwisho ukaharishaWananchi wenye busara wamewashauri polisi kuachana na Lisu kwakua uu uchaguzi amesha shindwa kwaiyo anatafuta pa kuangushia lawama.
Redio mbovu.Mmepaniki.Wananchi wenye busara wamewashauri polisi kuachana na Lisu kwakua uu uchaguzi amesha shindwa kwaiyo anatafuta pa kuangushia lawama.
Mmiliki wa tume.Wewe na nani?
Wewe na wapumbavu wenzako wa Lumumba?Polisi waachane na Lissu, tutamnyoosha wakati wa kupiga na kuhesabu kura