Dar: Kuanzia Novemba 30 Mbezi Luis Terminal itaanza kutumika rasmi

Daladala za Mbezi zipo 24 hours
 
This is called Poor planning indeed Kwanini Wataalam wasiwe na mipango ya muda mrefu? Tukiweza kuweka mipango ya miaka 100 na kuendelea kwenye hii miundombinu itakuwa na manufaa makubwa otherwise tunapiga Marktime
Kwa dar wameshafeli au kuchelewa sana...Binafsi Ubungo nilikuwa naona ni kama sehemu ambayo mabasi yanalazwa tu kwa ajili ya safari ya siku ijayo na wala sio stendi. Na ile pesa yao yakuingiia ndio nilikuwa hata sielewi ilikuwa inaenda kutumika wapi.
 
Sasa Nyumba Zetu za Kifuru,Malamba Mawili, Kingazi Zitapata wapangaji..
Mkuu huko maramba mawili,kifuru na kingazi vyumba vinacheza kwenye bei gani kwa sasa?
 
Jinsi ya kufika pale Mbezi itakuwa shida kubwa kwa ajili msongamano wa magari na foleni. Wangesubiri ile barabara ya njia 6 imalizike ndio matumizi ya kituo kipya yaanze.

Vv
 
Umenena vyema Mkuu. Pata baridi ukimaliza Lipia
 
Kwa mtu anaekaa Mbagala na ana safari ya kwenda Morogoro, itamgharimu pesa nyngi zaidi kutoka Mbagala kwenda stand kuu endapo atatumia bodaboda ili awahi kuliko hata kutoka Dar kwenda Moro.
 
Sasa ni muda muafaka watuletee na Kariakoo yetu hapo Kimara. Watu wa posta waone tunavyotaabika kutoka mbezi hadi kariakoo[emoji35][emoji35]
 
Kwahiyo lile daraja la ubungu kutoka kituo cha mwendokasi kuingia ubungo stand linakuwa useless? Maana idadi ya watu wataolitumia itakuwa ndogo sana ukilinganisha na uwezo wa daraja lenyewe.
Pale Ubungo siyo kwamba tumeondoka moja kwa moja. Biashara zinaendelea
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…