Pale wanajenga kituo kikuu cha biashara Tanzania ni majengo makubwa sana la biashara ambapo itakuwa haona haja kwenda KariakooPale Ubungo siyo kwamba tumeondoka moja kwa moja. Biashara zinaendelea
Unataka kunambia stand ya mkoa ilikuwa Mnazi Mmoja na Kisutu au sijakuelewa vizuri?Nakumbuka wakati Stand inahamishwa kutoka Mnazi Mmoja na Kisutu kwenda Ubungo watu walilalamika na kulia sana, ilikua bado kidogo waandamane.
Wakapiga sana simu redio Tumaini kulalamikia hatua hiyo wakidai Ubungo ni Mbali sana😃😃😅.
Sasa hivi Jiji limefunguka sana, kikubwa ni kuwepo kwa utaratibu mzuri wa usafiri kutoka pande hizo hadi Mbezi.
Huko tuendako Stand itahamishiea Moro na Dodoma na bado watu watawahi na kusafiri kama kawaida.
Hii ni taarifa rasmi au inasemekana?Pale wanajenga kituo kikuu cha biashara Tanzania ni majengo makubwa sana la biashara ambapo itakuwa haona haja kwenda Kariakoo
Yeah, ndipo zilipokuaUnataka kunambia stand ya mkoa ilikuwa Mnazi Mmoja na Kisutu au sijakuelewa vizuri?
Walihamia Ubungo mwaka gani, nataka nihusianishe kumbukumbu zangu vizuriYeah, ndipo zilipokua
Ilikua ni kati ya mwaka 1997 au 1998Walihamia Ubungo mwaka gani, nataka nihusianishe kumbukumbu zangu vizuri
Mbali na wapi?Safi, ila mbali.
Mwendokasi wanatoka jangwani wanaamia ubungoKwahiyo lile daraja la ubungu kutoka kituo cha mwendokasi kuingia ubungo stand linakuwa useless? Maana idadi ya watu wataolitumia itakuwa ndogo sana ukilinganisha na uwezo wa daraja lenyewe.
Ndio hivyo mzee, pamoja na manzese msufini kabla hapajawa manzese darajaniUnataka kunambia stand ya mkoa ilikuwa Mnazi Mmoja na Kisutu au sijakuelewa vizuri?
Ni muda kipindi hicho na miaka 3Ilikua ni kati ya mwaka 1997 au 1998
Ndio maana makanisa yanakosa mvuto wa kiroho[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] imagine na wewe ni mchungaji[emoji12][emoji12]Ni muda kipindi hicho na miaka 3
🤣🤣🤣Ndio maana makanisa yanakosa mvuto wa kiroho[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] imagine na wewe ni mchungaji[emoji12][emoji12]
Niliwahi kusikia hii.. kwamba pale panajengwa upya... kwamba watabomoa kuanzia ubungo plaza wajenge kituo cha biashara chenye stendi kuu ya mwendokasiMwendokasi wanatoka jangwani wanaamia ubungo
Hapo ndani(ubungo stand) inajengwa bonge la business centre/China mallKwahiyo lile daraja la ubungu kutoka kituo cha mwendokasi kuingia ubungo stand linakuwa useless? Maana idadi ya watu wataolitumia itakuwa ndogo sana ukilinganisha na uwezo wa daraja lenyewe.
Daaah...aisee. Ndiyo maana ulikua unaona manyota nyota tu hapa na kila ukijaribu kupiga Picha Stand ya mkoa inakaaje Kisutu na Mnazi mmoja haikuingii akilini😀😀😀.Ni muda kipindi hicho na miaka 3