DAR: Licha ya RC Makonda kusema atakayenunua Makontena yake atapata laana kali, Waziri Mpango aagiza yapigwe mnada

Laana ya aliyelaaniwa ina nguvu kweli? Mzimu wa Warioba unafanya kazi.
 
Hakuna aliye juu ya sheria kama alitumika kumg'oa nape safari hii amegonga mwamba atakwenda yeye na vitisho vyake!

Kitendo cha Dr. Mpango kijitokeza kujibu hadharani mambo ya magazetini yamenifanya nithibitishe ile shaka yangu kwamba hii ni sinema ili kuhadaa umma kwamba kila mtu analipa kodi. Hayo makontena hayana lolote la maana zaidi ya kutafuta political millage. Waziri mzima unajibu maelezo ya gazetini tena kwa maneno ya mwenzako aliyeko serekali!?

Huyo Makonda ndio amekuwa akijinasibu kila mtu afanye siasa kwenye jimbo/mkoa wake. Ilifikia mahali akasema hakuna waraka kwenye mkoa wake. Iweje leo akatolee vitisho nje ya mkoa wake na serekali ijitokeze hadharani kujibu matamko yake? Hilo movie wachezewe wenye upeo mdogo.
 
Na kama sio kichwa cha mwendawazimu basi vigogo wa Dawa za kulevya wana nguvu ya kutisha. RC tokea alipovianza adui ni wengi sana. Nimestuka Mhe. Waziri hadharani unarejerea vyombo vya Habari kuleta malumbano na mteule mwenzako?
 
Dr. Mpango ni akili kubwa sana.
Anajua matatizo yatakayokuja kumkuta baadae endapo atakiuka sheria na kutoa msamaha kwa mizigo inayotakiwa kulipia kodi. Kama makontena hayo yameingia kwa jina la mtu binafsi ni lazima yalipiwe kodi ili kuwa fundisho kwa wengine. Isije ikatokea mtu au kiongozi wa serikali au chama cha siasa siku moja akaingiza kontena la mabomu kwa kutumia jina binafsi. Sheria ifuate mkondo wake bila kusita.
Misamaha ya kodi inayotolewa ikinyume cha sheria imewagharimu mawaziri wengi wa Fedha hata baada ya awamu za wateuzi wao kuisha.

...Hongera sana DR. Mpango Umeona mbali sana
 
Kweli hata Mimi nashangaa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Amelaaniwa yeye aliyemupiga WARIOBA amabaye ni sawa na babu yake
Shame on him
 
Na kama sio kichwa cha mwendawazimu basi vigogo wa Dawa za kulevya wana nguvu ya kutisha. RC tokea alipovianza adui ni wengi sana. Nimestuka Mhe. Waziri hadharani unarejerea vyombo vya Habari kuleta malumbano na mteule mwenzako?

Kwa hyo waziri yeye asitekeleze wajibu wake alioapia kuutekeleza kisa kichwa kilichojaa ubongo wa madafu yeye ruksa kuropoka.acheni upunguani katika kilaza hawezi kushindana na phd, nepi alimwambia MANENO ALIYOONGEA NI YA KISAYANSI NA MTU MWENYE ELIMU YA KUUNGA UNGA HAWEZI KUMUELEWA sembuse, mfyuuuuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…