Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
na watakaonunua makontena watasavaivu kwa Rehema za Allah.
Kwanini Bashite asinunue hata mawili anaishia kuyazuia na kutoa laana.Dk Mpango angeonesha njia kwa kununua angalau kontena moja kuthibitisha kwamba yeye haogopi vitisho vya kulaaniwa yeye na uzao wake.
Mwisho wa siku hizo fanicha zitaozea hapo bandarini wakose wote!
Kifo cha nyani kikikaribia miti yoootee...???Hakuna aliye juu ya sheria kama alitumika kumg'oa nape safari hii amegonga mwamba atakwenda yeye na vitisho vyake!
Pale alipo Bashite ndie mwenye LAANA..Kama kungekuwa na laana, Bashite asingekuwepo juu ya uso wa dunia mpaka sasa.
Nijukumu lake sasa kuanza kujipodoa.Haya sasa sistaduu kakutana na bonge la bwana
Alikuwa anajivunia matunguri sasa naona yamemgeuka sasaKama kungekuwa na laana, Bashite asingekuwepo juu ya uso wa dunia mpaka sasa.
Mbwa kala mbwaHakuna aliye juu ya sheria kama alitumika kumg'oa nape safari hii amegonga mwamba atakwenda yeye na vitisho vyake!
Kwisha khabari zakeHaya sasa sistaduu kakutana na bonge la bwana
Wacha kuijtutumua wewe kijakazi wa BashiteHakuna aliye juu ya sheria kama alitumika kumg'oa nape safari hii amegonga mwamba atakwenda yeye na vitisho vyake!
Mkuu ni kweli..kule IG ukimsoma huwezi kujua kama huyu ni mvamia studio, mtekaji na muuwaji.Hii series hii inaonyesha magu kashamchoka Bashite na ndio maana wateuliwa wa magu hawatishiki kwa sasa, na napata uhakika sasa kuwa ni kweli Bashite akili zake hazipo sawasawa maana mara ya kwanza aliyakana hayo makontena kuwa sio yake akaja tena akisema kuwa ni yake na anaomba msamaha wa kodi na sasa anawalaani wanaoyapiga mnada wakati ni yeye mwenyewe mwazo aliyakana kuwa sio yake
Alafu ukimkuta kule insta anavyopost mambo ya kilokole huwezi mshtukia kuwa ni shetani mkubwa huyu
Sent using Jamii Forums mobile app
Aaah wapi wewe,ukimuona ngedere mitaa ya posta ujue anafugwawateule wanaminyana mteuaji anausoma tu mchezo filipo anaweza kunjinjwa son
Hawezi fika hapa na akifika tegemea shombo tu.