Kitendo cha Dr. Mpango kijitokeza kujibu hadharani mambo ya magazetini yamenifanya nithibitishe ile shaka yangu kwamba hii ni sinema ili kuhadaa umma kwamba kila mtu analipa kodi. Hayo makontena hayana lolote la maana zaidi ya kutafuta political millage. Waziri mzima unajibu maelezo ya gazetini tena kwa maneno ya mwenzako aliyeko serekali!?
Huyo Makonda ndio amekuwa akijinasibu kila mtu afanye siasa kwenye jimbo/mkoa wake. Ilifikia mahali akasema hakuna waraka kwenye mkoa wake. Iweje leo akatolee vitisho nje ya mkoa wake na serekali ijitokeze hadharani kujibu matamko yake? Hilo movie wachezewe wenye upeo mdogo.