Blackcornshman
JF-Expert Member
- Aug 25, 2016
- 6,514
- 15,701
Blahblah nyingi,vimeingia kwa jina lako lipa kodi,period.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na pia nilimuona Mh Waziri akiapa kwamba, lazima sheria isimamiwe vilivyo na hata kama kuna lakujibu, basi yeye ndie atakae kwenda kuulizwa.Hilo limeshafanyika kazi ipo kwa mpango
Mpango anaamani kwa dhati kabisa ya moyo wake kuwa samani hizo kuukuu ni za Makonda,hivyo basi azilipie ushuru.
Mpango kwa chuki yake kaenda kuyashindilia yauzwe,badala ya kuyataifisha basi yapelekwe shule za serikali nchi nzima
Pale aliposema walimu tunawapenda ni kuwa usipate umaarufu kupitia walimuJana nilimsikiliza waziri wa fedha kwa makini, na nilimtazama jinsi alivyokua akiongea huku sura yake ikitetema kwa ghadabu. Na kwajinsi alivyokua akitweta na kutoa sauti ya mtetemo huku alisisitiza kwa kamishna wa TRA, kuhusu sheria kufuata mkondo wake........
Pale nilijiridhisha kwamba, huyu Paul Makonda hayupo salama tena. Yaani kabisa nilijiridhisha kwamba RC huyo tayari amelikoroga, na tayari amekalia kuti kavu
Sent using Jamii Forums mobile app
Huoni kuwa waziri ana baraka kutoka kwa baba kwenye hili?Na pia nilimuona Mh Waziri akiapa kwamba, lazima sheria isimamiwe vilivyo na hata kama kuna lakujibu, basi yeye ndie atakae kwenda kuulizwa.
Ukweli ni kwamba, sina hakika kama RC huyu ataimaliza 2018
Sent using Jamii Forums mobile app
Na alipo sisitiza kwamba serikali inatoa zaidi ya 20 billion kila mwezi kwaajili ya mpango wa elimu bure, pale alikua anasisitiza kwamba "walimu wasi kubali ulaghai wa mtu RC, na wakadhani kwamba Serikali haiwapendi kama RC anavyo jipambanua".Pale aliposema walimu tunawapenda ni kuwa usipate umaarufu kupitia walimu
Think big mate Dar tu kuna kura millioni nane. 2020 ni uchaguziNa alipo sisitiza kwamba serikali inatoa zaidi ya 20 billion kila mwezi kwaajili ya mpango wa elimu bure, pale alikua anasisitiza kwamba "walimu wasi kubali ulaghai wa mtu RC, na wakadhani kwamba Serikali haiwapendi kama RC anavyo jipambanua".
Nilimuona mzee alisisitiza kwamba vifaa vile vya "hotel" viuzwe na asitokee mtu mmoja akawalaghai kwa maneno ya laana "hiyo laana inatoka wapi...!!??"
Sent using Jamii Forums mobile app
Tukiangalia interval kati ya kuanzia kipindi cha mgogoro wa makontena yale, na Mpango kuja kufanya maamuzi magumu namna hii......Huoni kuwa waziri ana Baraja kutoka kwa baba kwenye hili?
Naibu rais anashindwa kumvaa waziri wa fedha anabaki kulaani kanisaniUkweli ni kwamba hii issue imemkalia RC vibaya. Kwasababu sote tunakumbuka RC huyu aliwahi kukana kuto kuyatambua makontena yale, na alienda mbali zaidi kwa kusema kwamba hata yeye pia alizisoma habari zile kuhusu makontena 20 kwenye vyombo vya habari.
Chaajabu, RC huyo akaja kuandika barua kwa kamishna wa TRC ya kuomba msamaha wa kodi kwa makontena yale 20 alio yakana mbele ya waandishi wa habari, na mbaya ni kwamba alikwenda mbali zaidi kwa kuwatishia kuwashtaki TRA kwa Mh Rais.
Sent using Jamii Forums mobile app
Naam. Ni kama mlima na kichuguu.Cheti feki hawezi kushindana na Dr.
Tena ya kama 100 tonnesCha kujiuliza hivi kwanini Magu amekaa kimya MTU anaonekana kukwepa kodi Mara akatae sio yake?
Nadhani kuna siri nzito kati ya rais na Bashite
Mate futa hiyo nimerekebisha[emoji12] [emoji12] [emoji12]
[emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125]
Sent using Jamii Forums mobile app
Hapa tunapaswa kufikiri nje ya Box, kwamba nini kimemkata RC ndimi hadi ameamua kukimbilia kanisani ili akapate huruma....!!??Naibu rais smashindwa kumvaa waziri wa fedha anabaki kulaani kanisani
Dah kweli ni zauso pua kuvuja damuNa alipo sisitiza kwamba serikali inatoa zaidi ya 20 billion kila mwezi kwaajili ya mpango wa elimu bure, pale alikua anasisitiza kwamba "walimu wasi kubali ulaghai wa mtu RC, na wakadhani kwamba Serikali haiwapendi kama RC anavyo jipambanua".
Nilimuona mzee alisisitiza kwamba vifaa vile vya "hotel" viuzwe na asitokee mtu mmoja akawalaghai kwa maneno ya laana "hiyo laana inatoka wapi...!!??"
Sent using Jamii Forums mobile app