DAR: Licha ya RC Makonda kusema atakayenunua Makontena yake atapata laana kali, Waziri Mpango aagiza yapigwe mnada

Kaazi Kweli kweli..Alipovamia Clouds na mitutu ungeandika hizi nyaraka pia ningekuelewa! Hivi mnafikiri Mpango alienda bandarini na kuongea yale from nowhere?

Mpango sio Nape..
 
[emoji23][emoji23][emoji23] I was just giving an easy way out. Makonda should get creative now to acquire the merchandise, people got money, he got friends i think, or else everybody is waiting for him to fall face flat on the floor. Either way he gotta be creative.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kiboko yenu mzee wa msoga.mlikamata Mali za mkewe.akawanyoosha.sijui na yeye alifata hyo sheria mnayosemaa

Sent using Jamii Forums mobile app
Mimi siongei ushabiki mkuu, wala situmii hisia, makonda kakosea 100%, kapiga shortcut, Sheria ikianza kumhukumu unalalamika nini, unajua iliwekwa kuzuia nini, ukitaka kujibu usitumie hisia nipe logic mkuu, mi siongei ushabiki.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Maelezo yako yote yamekaa kisiasa zaidi.Ukisoma kwa makini utagundua hilo na wala haliitaji elimu.Nikuulize ni nchi gani iliyofanikiwa bila kufuata sheria za nchi ikiwa pamoja na katiba iliweza kuendelea.?.Mpango yuko sahihi kabisa maana anafuata sheria zilizotungwa na bunge na mkuu wa mkoa anafuata sheria ili kuweza kutawala mkoa wake;Kwanza tukumbushane kwa mala ya kwanza yalipoulizwa kwamba makontena ni ya nani majibu yalitoka yapi alipoulizwa makonda.Kwa jibu alilolitoa linaonyesha dhahiri sio kusudio unalolitoa sasa hivi kwamba ni kwa ajili ya vifaa vya shule na walimu.Kama ni zawadi kutoka marekani sheria inasemaje ya maadili ya umma.Majibu unayo ila kufanya watanzania kwa kuwaita masikini na wajinga kitu ambacho sio sahihi.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hiyo ndiyo serikali..hakuna double standard hapa. Safi sn Mh. Mpango
 
Sheria si mnatunga wenyewe na kuzipitisha kwa kusema ndioooo!!Sasa hapo unashangaa nini?!

Alafu jiulize ni kwanini mwanzoni aliakana alafu baadae akayakubali?

We jua tu hilo ni dili limebumbuluka.
Sio hivyo tuu, kwanini yaje kwa jina lake?? Na sio walengwa?? Alisha zowea deal sasa ime buma

Sent using Jamii Forums mobile app
 

He should understand now how much people hates him. Siku akitumbuliwa watu watapiga vigelegele. I, being one of them. Kabebwa vya kutosha akiepuka hili basi Tz sio ya kuishi hata kwa kujaribu tena!
 
He should understand now how much people hates him. Siku akitumbuliwa watu watapiga vigelegele. I, being one of them. Kabebwa vya kutosha akiepuka hili basi Tz sio ya kuishi hata kwa kujaribu tena!
Ila ukija kukuta yameshatolewa kwa msamaha wa raisi usijinyonge [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sheria ni za Ccm walitunga wao nakuitia ndio hadi hapa tulipofika wametufikisha wao
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…