DAR: Licha ya RC Makonda kusema atakayenunua Makontena yake atapata laana kali, Waziri Mpango aagiza yapigwe mnada

DAR: Licha ya RC Makonda kusema atakayenunua Makontena yake atapata laana kali, Waziri Mpango aagiza yapigwe mnada

Jaman naomba sana msimuhusishe Mhe. Rais Magufuli na Sakata la Makontena ya Paul Makonda.

Sheria ni msumeno hivyo utekelezaji wa Sheria hauangalii wewe ni nani na unacheo kipi kwenye jamii.

Note: Kodi ni lazima kila mtu alipiye anapopata huduma au anapotoa huduma.

Binafsi sina shaka na maamuzi ya Wazir aliyoyafanya vile vile tukumbuke kuwa ili nchi iweze kupiga hatua ni lazima Usimamizi na Utekelezaji wa Sheria utumike vizur kwa manufaa ya Umma na siyo vinginevyo.



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Uungwana ni vitendo...Majuto ni mjukuu!!!!

Kumekuwepo na sakata la muda ninaoweza kusema ni mrefu juu ya uingizwaji wa makontena yenye vifaa mbalimbali vya kusaidia maendeleo jijini Dar.

Nampongeza mkuu wa mkoa kwa initiative zake kwa ajili ya kuhakikisha jiji la Dar linaboreka.

Hakuna doubt kwamba katika awamu hii mambo yote ni lazima yafuate taratibu zilizopo bila kujali ni mambo ya namna gani au ni ya nani.

Sakata la haya makontena limeanza kitambo sana ....limegusa wengi na mengi lakini kwa umuhimu limekugusa mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam ambaye ni hardworking na inovative na influential.

Kwa sasa inaonekana kuna mkwamo kuhusu procedures vs intention za kuingizwa kwa Makontena haya.

Kwa sasa najionea 'stance' kati ya mamlaka za Serikali zinazotakiwa kufanya kazi kwa umoja....yaani breach of collective responsibilities!

Kuondoa utata,mkwamo na matokeo mabaya ni muhimu kufanya majadiliano ya kina na kuombana/kupeana misamaha ili mambo yasonge mbele kwa mustakabali wa wanaDAR na Taifa kwa ujumla.

Mheshimiwa RC nenda TRA ukaoombe msamaha ikibidi au kuweka sawa procedures ili kufikia suluhisho.

CIAO!!
Makonda hawezii kwenda TRA maana anaona ukuu wa mkoa ni Mungu wa Dsm na hajui kwamba nafasi za professional na kuteua ni tofautii
Ndio maana ALIYEKUWA kamishena wa TRA HARRY KITILYA usikii kesi yake tenaaaaa hadi leoo
Lkn yeye dola ikiamua kukushughilikia sijui atajifichia wapiii
 
Hivi Magufuli si ndo anashtumiwa kumbeba Makonda?
Tuna ushahidi wa kutosha wa marais waliofanya madudu ya kuwabeba ndugu na marafiki kwenye mizigo yao pale bandarini, je Magufuli angekuwa anambeba Makonda ,si angetuma memo tu?? Kwamba hayo makontena yaachiwe Mara moja?

Ninahisi Magufuli hajawahi kumbeba Makonda, ila hapendi kushinikizwa kuchukua hatua,

Naanza kupata mwanga wa mambo mbali mbali

Magufuli hajawahi kumbeba Makonda, si ambebe hata kwa hili??

Au kambeba kaona habebeki? Au kambeba kaona amechoka, au hajawahi kumbeba kabisa
Hata sasa anambeba mbona makonda kamtukuna waziri wa fedha naye anamwangalia tu
 
Hivi Magufuli si ndo anashtumiwa kumbeba Makonda?
Tuna ushahidi wa kutosha wa marais waliofanya madudu ya kuwabeba ndugu na marafiki kwenye mizigo yao pale bandarini, je Magufuli angekuwa anambeba Makonda ,si angetuma memo tu?? Kwamba hayo makontena yaachiwe Mara moja?

Ninahisi Magufuli hajawahi kumbeba Makonda, ila hapendi kushinikizwa kuchukua hatua,

Naanza kupata mwanga wa mambo mbali mbali

Magufuli hajawahi kumbeba Makonda, si ambebe hata kwa hili??

Au kambeba kaona habebeki? Au kambeba kaona amechoka, au hajawahi kumbeba kabisa
Jibu ni hajawahi kumbeba kabisa ila hapendi kufundishwa what to do! Actually yuko sahihi! He is the one responsible for everything in this Country. Tukifa na njaa ni yeye, tukitajirika kama Nchi ni yeye, Tukiwa wezi ni yeye, na hata tukiogopa rushwa ni heye. Yaani ni kila kitu. Sasa ukiamua kumfundisha fanya hivi or fanya vile basi wewe utakiwa wa ajabu maana hakuna mtu atakaekufahamu hata mambo yakienda hovyo.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Haya tunasubiri kodi ya makontena, wauze kiti kimoja kimoja na meza ndo laana haeapati
 
Either you are missing a point or intentionally trying to fool folks. Hivi nyie wazushi wachache ndo wa kulalamika mnavunjwa moyo? Umetaja Norwich kwahiyo I'm assuming una affiliation na UK. Hivi hukumwona Penny Mourdant akikabidhi mabilioni kwa Magufuli couple of weeks ago? Yes, kama nchi wahisani hazitafsiri ukwepakodi wa Bashite ni kuwaamgusha, who the hell are you vibaraka wa Makonda kutuzuga?

Makonda ni mkwepa kodi. Period. Na kama ambavyo charities UK zinapaswa kuijulisha HMRC kwa minajili ya tax exemption, so was huyo mtu aliyefoji jina na cheti cha kidato cha nne.

Anayevunjwa moyo ni Waziri Mpango, kwa sababu hata asingetolea ufafanuzi kuhusu suala hilo, Bashite alishayakana makontena hayo kisha sijui akawashwa na nini, akadai hakuna wa kuyazuwia, yet sasa yanapigwa mnada.

Huu ni mwanzo wa mwisho wa Bashite, na nyie wapambe wake mjiandae kisaikolojia

Sent using Jamii Forums mobile app
Mh
 
Jaman naomba sana msimuhusishe Mhe. Rais Magufuli na Sakata la Makontena ya Paul Makonda.

Sheria ni msumeno hivyo utekelezaji wa Sheria hauangalii wewe ni nani na unacheo kipi kwenye jamii.

Note: Kodi ni lazima kila mtu alipiye anapopata huduma au anapotoa huduma.

Binafsi sina shaka na maamuzi ya Wazir aliyoyafanya vile vile tukumbuke kuwa ili nchi iweze kupiga hatua ni lazima Usimamizi na Utekelezaji wa Sheria utumike vizur kwa manufaa ya Umma na siyo vinginevyo.



Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu,hii ina maana pia kuwa wakati anavamia kule mahala usiku alikuwa anatimiza wajibu wa kisheria? this man has always been spared, agree with me! start with fake certificates, the Clauds' Saga ... and now, contena issue! spared, spared, spared ...
Despite being very innovative that can not risque one kwa kutenda kosa la kijinai au hata la kimaadili tu!
 
Back
Top Bottom