DAR: Licha ya RC Makonda kusema atakayenunua Makontena yake atapata laana kali, Waziri Mpango aagiza yapigwe mnada

Pole kama umejua leo
 
Fuateni utaratibu, sio kujiamlia tu serikali ishashtuka kwenye msafara wa mamba kenge hawakosekani, hao wachangiaji wangefuata utaratibu mambo yangeenda shwari namna ya kuchangia misaada shule za serikali.
 
Kwani vifaa hivyo vya Makonda unadhani ndio vitamaliza shida ya vifaa kwenye mashule mpaka sheria ivunjwe?
Unadhani kila MTU akiwa na makontena bandarini anasema vifaa vya shule au hospitali Tandahimba basi TRA wanaweka sheria pembeni?
Kumbuka ambulance za mama Salma ilikuwaje? Alilipa kodi kwa mujibu Wa sheria na sio jambo geni.
Kwa Makonda mbona inakuwa issue kubwa?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sheria ingekuwa msumeno huyo Maknda angekuawa jela kwa kughushi vyeti

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu wa jiji alikurupuka bila kumshirikisha Mwenye nchi yake...anaonekana kuizoea ikulu hivyo anajiamulia tuu.
Ndio maana anasema Mara nitamwambia baba mtaona, Mara msinunue hayo makotema mtalaanika na vizazi vyenu.
Huyu jamaa amemzoea Rais kiasi cha kumchezea ndevu, na anamuaibisha kweli kiasi kwamba maneno mbovu mbovu yanasemwa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
nI
NINA HAKIKA 100% KAMA ANGEKUWA MWINGINE ANGESHAPANGULIWA KITAMBO.
NA HII ISSUE YA MAKONTENA ITAPITA TU KAMA ZINGINE!
 
Na
Hakuwa na nia njema kama usemavyo,kwa nini aandike jina lake binafsi kama vifaa ni vya msaada katika taasisi husika,viuzwe tu next time aagize kupitia jina la taasisi husika
Pia kumbuka hilo sio jina lake, meenye jina lake akija kidai mzigo wake itakuaje wa wahusika wa bandarini?.
 
Wasiwasi wangu vilivyokuja vilishachukuliwa vilivyopo nivingine, hili ninaliamini 78%.
Haiwezekani muda wote wawe wanasubiri kusamehewa kitu kisichosameheka na wasitafute plan b.
 
RC Makonda anastahili kuungwa mkono kwa kazi kubwa aliyoifanya na anayoifanya ya kutatua kero la viti kwa ajili ya wanafunzi na waalimu ndani ya mkoa wa Dar.

Amewatafuta wafadhili, amepata hivyo viti na meza kwa ajili ya waalimu na wanafunzi. Kwanini visiingie bure nchini?.
Serikali inapoomba misaada ya vifaa ama mashine toka nchi za nje, inalipia kodi misaada hiyo?, sasa kwanini RC Makonda alipe kodi wakati mzigo huo si wake binafsi bali ni kwa ajili ya mashule ya serikali ndani ya mkoa wake wa Dar?

Wanaosema mzigo huo ni wa Makonda, hivi kweli mnaamini kwamba Makonda ana njaa mpaka auze viti kama hivyo?.

Jamani hata kama watu wanamchukia RC Makonda kwa utendaji wake ama kwa sababu binafsi, lakini kwenye hili naona ni hekima kumuunga mkono. Kazi aliyoifanya RC Makonda kwenye hili suala limeokoa pesa nyingi za serikali ambazo zingetumika katika kununua ama kutengeneza viti na meza kwa ajili ya waalimu na wanafunzi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…