DAR: Licha ya RC Makonda kusema atakayenunua Makontena yake atapata laana kali, Waziri Mpango aagiza yapigwe mnada

Hivi mtu akiteuliwa anatakiwa afanye kazi au awe kibaraka wa kujipendekeza kwa aliyemteua?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
[emoji23] [emoji23] [emoji22] uko sahihi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Clip ipo, mnamlisha maneno. Rais alitajwa kwa kutoa elimu bure siyo kwa kuonesha nia ya kujiuzuru

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Upo? Siku za karibu hujapiga safari, niko Tijuana mpakani Mwa Mexico na USA kesho narudi makazini kwangu
week mbili zilizopita nilikuwa Antwerp Belgium
mwez wa tisa nitakuwa Manila Philippines na Melbourne, Canberra Australia,pia baadae Auckland newzeland
Niko na shirika LA kikatoliki
 
Angeshugulika na madawa ya kulevya kabla ya hili tungemwelewa. Je alimpima mweshimiwa Mbowe kuona kama alikuwa na chembe za madawa? Tuna mbao kibao zinauzwa na kuibiwa kwenda China kwa nini tuletewe toka US? Angeomba vitabu vya Maths, Science na vingine tungeelewa. Viti na meza?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…