DAR: Licha ya RC Makonda kusema atakayenunua Makontena yake atapata laana kali, Waziri Mpango aagiza yapigwe mnada

Yaani mlivyofurumuka kwa wingi, ni kama nyoka aliyemwagiwa mafuta ya taa kwenye shimo lake..

Mnatia KINYAA
 
wengi wa wanaoponda ni bavicha wanaingiza siasa na chuki
Huyo mpango kama anafuata sheria kweli mbona amekalia mabilioni ya vat refund ya wafanya biashara ambayo yapo kisheria
 
Team; kuna uchaguzi wa marudio na soon goli litafungwa kwa mkono; hizi drama zinazoendelea moja n kuwafanya watu wadisciscus zaid sakata hili.

Tunatolewa kwenye agenda hapa ya uchaguzi! Ili kelele za wapinzani kwenye kampeni zisiwe na Kiki pamoja na figisu za goli la mkono.

Mwaka jana kwenye bajeti Makonda alikuja na movie ya kutotoa kwenye agenda tukaishia kujadili watoto walio telekezwa afta bajeti movie ikaishia hapo!

Hiyo n spinning movie! Sterling ni Makonda, co actor mpango na dotto.

Na ili kuinogesha movie wakina musiba nao wameongezwa! Tunapigwa matukio na mtengeneza matukio!

Another Makonda job, Sheriff in town!
 
Kenyatta alitwita watanzania maiti sisi hata hisia na nchi yetu na rasilimali na kodi zetu. Hatuna uchungu nazo tuwachie maiti tulale sisi


Ndukiiiii πŸƒβ€β™‚οΈπŸƒβ€β™‚οΈπŸƒβ€β™‚οΈ
 
Kenyatta alitwita watanzania maiti sisi hata hisia na nchi yetu na rasilimali na kodi zetu. Hatuna uchungu nazo tuwachie maiti tulale sisi


Ndukiiiii πŸƒβ€β™‚οΈπŸƒβ€β™‚οΈπŸƒβ€β™‚οΈ
Kuongoza wabongo raha sana
 
Inawezekana umetumia jicho lako la tatu kuona mbali zaidi, ila pia inawezekana usiwe sahihi kwa sababu matukio lazima yatokee na kwa nyenzo zilizopo sasa za kupashana habari ni kubwa kitekinolojia, hivyo bhasi kwa sababu ya kasumba yetu sisi wanadamu ya kupenda kusikia na kusambaza habari/taarifa tunazo zipenda/zinazo tuvutia bhasi kila habari itakayo endana na mapenzi yetu itasambaa na kushika hatamu zaidi.

Ila si kweli kuwa wanataka kututoa kwenye usikivu na umakini wa kufuatilia kinacho endelea km unavyodai
 
Naunga mkono hoja, sio kila anayefeli darasa la 7 ni mjinga, au kila anayepata division zero form four ni zero. Jamaa ni genius!.
  1. Amefukuzwa shule darasa la nne pale Kolomije, kwa jina la DAB aka manage kujiunga Nyanza, akaendelea hadi darasa la 7!.
  2. Akafeli darasa la 7, lakini aka manage kujiunga shule ya sekondari ya serikali ya Pamba.
  3. Akafeli kwa kupata Div 0, akatumia cheti cha mtu na kujiunga Nyegezi fisheries, akapata certificate. Ni genius pekee anaweza kupata zero form four na kuhitimu cheti.
  4. Akatumia cheti cha Nyegezi kujiunga Diploma ya Mbegani na akahitimu!. Ni genius pekee anaweza kupata zero, kisha kuhitimu diploma!.
  5. Akajiunga Degree Muccobs na kuhitimu Degree. Ni genius pekee ndiye mwenye uwezo wa kupata zero form four na kuhitimu Degree!.
  6. Ndiye mkuu wa wakuu wa mikoa kwa kuongoza kwa ubunifu na mafanikio.
  7. Ukitofautiana nae, unakwenda na maji. Nape alitofautiana naye, akamwaga unga.
  8. Mchungaji Gwajima alitofautiana naye, sasa sadaka hazitoshi!.
  9. Ruge alitofautiana naye, sasa Clouds inachechemea.
  10. Sasa Waziri Mpango, A Ph.D holder, amemtingishia kiberiti, tusubirie!'
P
 
Mkuu huko kwenu simiyu bado ni ufahari kutumia simu ya gharama huku maisha hayaelewek? Mm nimeridhika na hii tecno af imepasuka kioo na imekufa mic

Sent using Jamii Forums mobile app
Mbona umetoa signature kama umeridhika?. Iache tuendelee kuiona hiyo tecno W4....yaan nmecheka balaa mnajifanya wajanja kumbe mnatumia vitecno pumbavu kabisa ndio maana mnatusumbua humu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu hivi umeamini kwamba kweli Makonda hakusoma? Hebu jiongeze kidogo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…