Ketoka
JF-Expert Member
- Sep 23, 2015
- 1,117
- 1,966
Mkuu ipo wazi kama sio kujitengenezea maadui wa madawa ya kulevya,makonda angekuwa ameisha tumbuliwaBora hata nisingesoma wala kucoment Uzi huu wa kiwango cha vumbi
.
Basi tuseme kila mtu aweke sababu ambazo zinapelekea mpaka sasa Makonda hutumbuliwi,asilimia 98 watasema madawa ya kulevya sio kitu kingine..akitumbuliwa sasa hivi maisha yake yatakuwa hatarini
Sent using Jamii Forums mobile app