Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tayari sasa au sio?Nasubiri feedback ya mkulu wa nchi maana yule jamaa hasomeki kabisa usishangae akapita na mtu mmoja wapo kati yao.
imesomeka!!
[emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13][emoji23][emoji23][emoji23] kama walimu na wanafunzi wanakaliaga masofa na viti vya kuzunguruka, naomba nirudi shule au niende nikasomee ualimu na mimi
Sent using Jamii Forums mobile app
Ilitakiwa waanze kukalia wa Dar.... Wengine wangeiga uthubutu na ubunifu[emoji23] [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kama walimu na wanafunzi wanakaliaga masofa na viti vya kuzunguruka, naomba nirudi shule au niende nikasomee ualimu na mimi
Sent using Jamii Forums mobile app
Hii ni akili ya kimaskini sana. Yaani walimu hawapaswi kukalia viti vya kuzunguka?[emoji23][emoji23][emoji23] kama walimu na wanafunzi wanakaliaga masofa na viti vya kuzunguruka, naomba nirudi shule au niende nikasomee ualimu na mimi
Sent using Jamii Forums mobile app
Hayo masofa mbona mnayadiss mno[emoji23][emoji23][emoji23] kama walimu na wanafunzi wanakaliaga masofa na viti vya kuzunguruka, naomba nirudi shule au niende nikasomee ualimu na mimi
Sent using Jamii Forums mobile app
Sijui ni wanafunzi gani wa Kitanzania wanaokalia viti vya kuzunguuka na masofa.Nadhani hatujafika huko.Hizo ni samani za Makonda mkuu, jiongeze.Alidhani ataendelea kupiga kama alivyokuwa anapiga kwa Kikwete,imekula kwake,hizi ni zama zingine.Diaspora ingilieni kati la sivyo m change pesa mje kuyanunua makochi ya walimu ktk Malls zetu vinginevyo walimu wa Dar madawati yatawahusu...nawaza walimu wa Mikoani wangepata fursa hii sijui ingekuwaje
Sent using Jamii Forums mobile app