Hoja yao ni fyucha is papoVijana wapo
Wanachokiangalia ni hoja ya kuandamana na sio chama gani wapo
So tegemea vijana wenye akili ccm watakuwepo
Cdm watakuwepo
Wasio nachama watakwepo pia
Ishu ni hoja gani
Acha ukabila wewe?Kwa huku Tanganyika, ACT hamna kitu, labda aandamane Nondo, na waha wenzie
Chadema inao?[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] hivi ACT wana vijana kweli ata wa kuandamana?
Sent from my Nokia C2 using JamiiForums mobile app
Sasa wanakatishwa vipi tamaa wakati tayari mmesema wapo barabarani wanaandamana???Kupitia thread hii ndipo utajifunza udhaifu wa wanasiasa wa upinzani Tanzania.
ACT wataanza kushambuliwa na wafuasi na shabiki wa vyama vingine vya upinzani kuhusu haya maandamano kuliko watakavyo shambuliwa na wafuasi wa chama tawala (CCM).
Hiyo yote ni kuwakatisha tamaa wasifanikiwe kupata umaarufu kuliko wao. Kwao bora CCM iendelee kukaa madarakani na kuvurunda vitu kuliko wenzao wawe juu yao kisiasa.
Kwa mshangao kesi kama hii hadi watu maarufu na wajuaji wakubwa wa JF utawakuta wanashangilia kukwamishana wapinzani.
Ufuasi wa vyama kwa msingi wa ukabila, udini na ukanda husababisha tatizo hili.
Ha ha aa wewe tuite njagu tu siku nikikubananisha sitojali kadi uliyonayo mfukoniKibali cha Manjagu hakuna!
Uko sahihi siasa za Tanzania zimetawaliwa na vijembe,dharau,kejeli ,udini,ukabila na ukanda.Huu ni udhaifu wa Siasa za Mfumo wa Vyama vingi Tanzania.Kupitia thread hii ndipo utajifunza udhaifu wa wanasiasa wa upinzani Tanzania.
ACT wataanza kushambuliwa na wafuasi na shabiki wa vyama vingine vya upinzani kuhusu haya maandamano kuliko watakavyo shambuliwa na wafuasi wa chama tawala (CCM).
Hiyo yote ni kuwakatisha tamaa wasifanikiwe kupata umaarufu kuliko wao. Kwao bora CCM iendelee kukaa madarakani na kuvurunda vitu kuliko wenzao wawe juu yao kisiasa.
Kwa mshangao kesi kama hii hadi watu maarufu na wajuaji wakubwa wa JF utawakuta wanashangilia kukwamishana wapinzani.
Ufuasi wa vyama kwa msingi wa ukabila, udini na ukanda husababisha tatizo hili.
😂😂😂Ha ha aa wewe tuite njagu tu siku nikikubananisha sitojali kadi uliyonayo mfukoni
Hili ndilo tatizo kubwa zaidi Tanzania kuliko hata ufisadi...Ingetakiwa woote tuandamane hayo ya kuangalia nan kaandaa maandamano ni ya baadae...Nnaamini tungeleta mshtuko mkubwa Serikalini lakin kwa kujigawa huku ndo tushapoteza kabiiiisaaaaa[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] hivi ACT wana vijana kweli ata wa kuandamana?
Sent from my Nokia C2 using JamiiForums mobile app
Uko sahihiACT kinapambana sana kuwa chama kikuu cha upinzani. Wakiendelea hivi chini ya miaka mitatu ijayo watakuwa wameshaipiku CHADEMA hasa hii ya sasa.
Maandamano yana nia nzuri sana sema mwamko wa Watanzania ndiyo zero....
View attachment 2591675
Mkuu leta updates hapo eneo la tukioUko sahihi
Nipo huku nanjilinji mkuu sipo huko DaslamMkuu leta updates hapo eneo la tukio
HahahahaKwa jinsi watanzania tulivyo, hapo uko kitandani umejifunika na duvet, unaandamana Kwa simu🤣🤣
Watanzania labda tutaandamana siku mafuriko yakiingia kwenye nyumba zetu, manake tutakuwa hatuna Kwa kujificha
Maandamano makubwa yameanza eneo la Fire Kariakoo yakiwa yameandaliwa na ACT-Wazalendo kushinikiza wezi wote walionaswa na Ripoti ya CAG waondolke maofisini kwenda magerezani.
Maandamano yanaongozwa na viongozi waandamizi wa chama hicho Cha upinzani na yataishia lango Kuu la Ikulu ya Magogoni ili yapokelewe na Rais Samia Suluhu Hassan.
Binafsi Niko mbele na bango langu. Hali ya hewa si rafiki sana hata kuandika ni taabu lakini umma unazidi kujitokeza kuwataja wezi wakamatwe. Karibuni.
ACT kinapambana sana kuwa chama kikuu cha upinzani. Wakiendelea hivi chini ya miaka mitatu ijayo watakuwa wameshaipiku CHADEMA hasa hii ya sasa.
Maandamano yana nia nzuri sana sema mwamko wa Watanzania ndiyo zero....
View attachment 2591675
Mkuu Kwanza elewa Upinzani wa Tz wa hovyo na viongozi wake hawaaminiki ,,toka nilijue hili sitokuja kupiga kura na Wala mwanafamilia yangu hatathubutuu. Wazazi wangu nilishawapora kadi za mpiga kura toka 2010.Kupitia thread hii ndipo utajifunza udhaifu wa wanasiasa wa upinzani Tanzania.
ACT wataanza kushambuliwa na wafuasi na shabiki wa vyama vingine vya upinzani kuhusu haya maandamano kuliko watakavyo shambuliwa na wafuasi wa chama tawala (CCM).
Hiyo yote ni kuwakatisha tamaa wasifanikiwe kupata umaarufu kuliko wao. Kwao bora CCM iendelee kukaa madarakani na kuvurunda vitu kuliko wenzao wawe juu yao kisiasa.
Kwa mshangao kesi kama hii hadi watu maarufu na wajuaji wakubwa wa JF utawakuta wanashangilia kukwamishana wapinzani.
Ufuasi wa vyama kwa msingi wa ukabila, udini na ukanda husababisha tatizo hili.
Hicho chama hakina mvuto.
Ingekua chama langu polisi wangealika wenzao toka Morogoro.
usije kukuta alieandika hapa anaandama na cm yake akiwa kitandani
Haha nikajua upo frontNipo huku nanjilinji mkuu sipo huko Daslam