Leak
JF-Expert Member
- Feb 22, 2012
- 52,916
- 43,505
Kwa hili nampongeza sana Zitto kwa katika wote at least yeye na chama chake wameonekana kuwa serious kidogo hasa kutokana nareport ya CAG!
Hongera Zitto
Lakini pamoja na juhudi hizi sioni kabisa hao wezi wakichukuliwa hatua kwakuwa mchukua hatua anawaogopa sana hao wezi….kiufupi Samia anawaogopa hao mnao waita wezi
Hongera Zitto
Lakini pamoja na juhudi hizi sioni kabisa hao wezi wakichukuliwa hatua kwakuwa mchukua hatua anawaogopa sana hao wezi….kiufupi Samia anawaogopa hao mnao waita wezi