Dar: Maandamano ya ACT Wazalendo kuelekea Ikulu kushinikiza waliotajwa wizi kwenye ripoti ya CAG kuchukuliwa hatua

Dar: Maandamano ya ACT Wazalendo kuelekea Ikulu kushinikiza waliotajwa wizi kwenye ripoti ya CAG kuchukuliwa hatua

Maandamano makubwa yameanza eneo la Fire Kariakoo yakiwa yameandaliwa na ACT-Wazalendo kushinikiza wezi wote walionaswa na Ripoti ya CAG waondolke maofisini kwenda magerezani.

Maandamano yanaongozwa na viongozi waandamizi wa chama hicho Cha upinzani na yataishia lango Kuu la Ikulu ya Magogoni ili yapokelewe na Rais Samia Suluhu Hassan.

Binafsi Niko mbele na bango langu. Hali ya hewa si rafiki sana hata kuandika ni taabu lakini umma unazidi kujitokeza kuwataja wezi wakamatwe. Karibuni.
Picha tafadhali.
 
Maandamano makubwa yameanza eneo la Fire Kariakoo yakiwa yameandaliwa na ACT-Wazalendo kushinikiza wezi wote walionaswa na Ripoti ya CAG waondolke maofisini kwenda magerezani.

Maandamano yanaongozwa na viongozi waandamizi wa chama hicho Cha upinzani na yataishia lango Kuu la Ikulu ya Magogoni ili yapokelewe na Rais Samia Suluhu Hassan.

Binafsi Niko mbele na bango langu. Hali ya hewa si rafiki sana hata kuandika ni taabu lakini umma unazidi kujitokeza kuwataja wezi wakamatwe. Karibuni.
Tuko pamoja.

CHADEMA wananiangusha sana ckuiz, yaani kauli Ile ya Mnyika alivyotoa ndo kimya Hadi Leo.

Kama Bado mnaandaa, wananchi tunaeaunga mkono act Kwa muda.
 
Wamekuibia nini?. Report ya CAG imeipatia CHADEMA hati Safi. Wewe unadai ni wezi. Tatizo tunaitetea CCM kwa kujificha kwenye mgongo wa upinzani, wakati upinzani hawapo bungeni wala halmashauri. Sasa wanaomuibia serikalini, bungeni na halmashauri unawaona wa maana. Tuna safari ndefu.
Mkuu kwani huoni au hujui kuwa CHADEMA na CCM wameungana sasaivi wote adui yao ni mmoja hayati Magufuli?
 
ACT kinapambana sana kuwa chama kikuu cha upinzani. Wakiendelea hivi chini ya miaka mitatu ijayo watakuwa wameshaipiku CHADEMA hasa hii ya sasa.

Maandamano yana nia nzuri sana sema mwamko wa Watanzania ndiyo zero....

View attachment 2591675
Kwa mchoro huu naona wamesahau kuweka point namba 10 itakua ni lock-up..๐Ÿคฃ
 
Kupitia thread hii ndipo utajifunza udhaifu wa wanasiasa wa upinzani Tanzania.
ACT wataanza kushambuliwa na wafuasi na shabiki wa vyama vingine vya upinzani kuhusu haya maandamano kuliko watakavyo shambuliwa na wafuasi wa chama tawala (CCM).

Hiyo yote ni kuwakatisha tamaa wasifanikiwe kupata umaarufu kuliko wao. Kwao bora CCM iendelee kukaa madarakani na kuvurunda vitu kuliko wenzao wawe juu yao kisiasa.

Kwa mshangao kesi kama hii hadi watu maarufu na wajuaji wakubwa wa JF utawakuta wanashangilia kukwamishana wapinzani.

Ufuasi wa vyama kwa misingi ya ukabila, udini na ukanda husababisha tatizo hili.
Selfishness ndo inatuponza ngozi nyeusi.

Wazungu hawapo hivyo, wanaangalia COURSE Si personal interest, wanaangalia big picture, maslah mapana ya nchi.
 
Yale hayana tishio la FFU, hivi unawajua FFU?๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ Waulize wazee wa kunji๐Ÿคฃ
Maandamano yameruhusiwa, mbona CDM wameandamana Hadi wamechokwa wenyewe bila bugudha?

Ukimya wa CDM ktk hili sababu wanazijua viongozi.
 
Wafanye media coverage ili kumobilize watu,itakua simple kujua wapo au wamefika maeneo gani ili kuliunga.
 
ACT kinapambana sana kuwa chama kikuu cha upinzani. Wakiendelea hivi chini ya miaka mitatu ijayo watakuwa wameshaipiku CHADEMA hasa hii ya sasa.

Maandamano yana nia nzuri sana sema mwamko wa Watanzania ndiyo zero....

View attachment 2591675
Siasa ni Sayansi Chifu.

Ukijagundua hiyo ni plan B ya chama kikongwe kilichotukuka nchini hutakaa upoteze muda kufatilia siasa za Bongo [emoji38]
 
Ze fyucha is papo
16432196-5DDE-4F09-AC90-85F9F95E716F.jpeg
 
Kwa jinsi watanzania tulivyo, hapo uko kitandani umejifunika na duvet, unaandamana Kwa simu[emoji1787][emoji1787]
Watanzania labda tutaandamana siku mafuriko yakiingia kwenye nyumba zetu, manake tutakuwa hatuna Kwa kujificha.
๐™‰๐™–๐™ฃ ๐™–๐™–๐™ฃ๐™™๐™–๐™ข๐™–๐™ฃ๐™š ๐™ž๐™ก๐™ž๐™๐™–๐™ก๐™ž ๐™๐™–๐™Ÿ๐™–๐™จ๐™๐™ž๐™—๐™– ๐™ซ๐™ฏ๐™ง ๐™ ๐™ฌ๐™–๐™ ๐™š ๐™ƒ๐™–๐™ฅ๐™– ๐™ฌ๐™–๐™–๐™ฃ๐™™๐™–๐™ข๐™–๐™ฃ๐™š ๐™ฌ๐™–๐™ค ๐™ ๐™ฌ๐™– ๐™ฌ๐™–๐™ค ๐™จ๐™ž ๐™ฌ๐™–๐™ฃ๐™–๐™จ๐™š๐™ข๐™–๐™œ๐™– ๐™ฃ๐™ฎ๐™ช๐™ ๐™ž ๐™๐™–๐™ฌ๐™–๐™ฃ๐™œ'๐™–๐™ฉ๐™–๐™ฃ๐™ž ,๐™จ๐™ž๐™จ๐™ž ๐™ฃ ๐™—๐™ž๐™ฃ๐™–๐™™๐™–๐™ข ๐™ฉ๐™ช๐™ ๐™ž๐™ก๐™š๐™ฉ๐™– ๐™ช๐™ ๐™–๐™ง๐™—๐™ช ๐™ฃ ๐™ฃ๐™ฎ๐™ช๐™ ๐™ž ๐™ฉ๐™ช๐™ฉ๐™–๐™ฃ๐™œ'๐™–๐™ฉ๐™ฌ๐™– ๐™—๐™ช๐™ง๐™š๐™š ๐™๐™ก๐™› ๐™ข๐™ช๐™ช๐™œ๐™ช๐™ฏ๐™–๐™Ÿ๐™ž ๐™–๐™ฃ๐™– ๐™๐™–๐™ก๐™ž ๐™ข๐™—๐™–๐™ฎ๐™– ๐™ฃ๐™ฎ๐™ช๐™ข๐™—๐™ฃ
 
Back
Top Bottom