figganigga
JF-Expert Member
- Oct 17, 2010
- 25,724
- 55,906
Sala Wakuu,
Ni aibu kwa Dar, Tanga na Zanzibar kuwa na Mgao wa Maji Wakati kuna Bahari.
Nashauri Serikali itengeneze Maji ya Bahari ili kuondoa tatizo la maji Dar.
Maji ya Ruvu hayatoshi. Pwani peke yake kwa Takwimu za Serikali ina Viwanda 1036 na vyote vinatumia hayo Maji. Achinjilia mbali Hoteli za Dar.
Ni aibu kwa Nchi kiwanda kuzimwa kwa kukosa maji, au hoteli kukosa Maji.
Tanzania ni Tajiri. Itengeneze mtambo wa seawater reverse osmosis systems SWRO. Maji tutauza hadi Nchi jirani.
seawater reverse osmosis systems SWRO ni teknolojia ya kutengeneza maji ya bahari yaweze kutumika kunyweka.
Viwanda wapewe maji ya Bahari theni Dawasa ibaki na wananchi.
Uzuri, Mtambo hautumii umeme mwingi, hivyo tunaweza kutengeneza umeme wa upepeo baharini ukaendesha mtambo usiku na mchana.
Dar ndo Nchi, Dar kutegemea maji ya Chanzo kimoja ni shida. Anakuja adui anaangusha pale Missile moja, dar nzima inakosa maji.
Nchi kibao hazina vyanzo vya maji na maji hayakatiki kwa kutegemea Maji ya bahari tu.
Sehemu kama Kuwait, Saudi Arabia, Marekani, Carlsbad, San Diego, Singapore, Canary Islands, Caribbean, China, Japan wanategemea maji ya bahari na hautasikia uhaba wa maji.
Mungu atupe nini. Achana na Bandari ya Bagamoyo. Wape maji Dar. Au tuuze ndege moja tununue mtambo. Kupanga ni kuchagua
CC: Wizara ya maji
Ni aibu kwa Dar, Tanga na Zanzibar kuwa na Mgao wa Maji Wakati kuna Bahari.
Nashauri Serikali itengeneze Maji ya Bahari ili kuondoa tatizo la maji Dar.
Maji ya Ruvu hayatoshi. Pwani peke yake kwa Takwimu za Serikali ina Viwanda 1036 na vyote vinatumia hayo Maji. Achinjilia mbali Hoteli za Dar.
Ni aibu kwa Nchi kiwanda kuzimwa kwa kukosa maji, au hoteli kukosa Maji.
Tanzania ni Tajiri. Itengeneze mtambo wa seawater reverse osmosis systems SWRO. Maji tutauza hadi Nchi jirani.
seawater reverse osmosis systems SWRO ni teknolojia ya kutengeneza maji ya bahari yaweze kutumika kunyweka.
Viwanda wapewe maji ya Bahari theni Dawasa ibaki na wananchi.
Uzuri, Mtambo hautumii umeme mwingi, hivyo tunaweza kutengeneza umeme wa upepeo baharini ukaendesha mtambo usiku na mchana.
Dar ndo Nchi, Dar kutegemea maji ya Chanzo kimoja ni shida. Anakuja adui anaangusha pale Missile moja, dar nzima inakosa maji.
Nchi kibao hazina vyanzo vya maji na maji hayakatiki kwa kutegemea Maji ya bahari tu.
Sehemu kama Kuwait, Saudi Arabia, Marekani, Carlsbad, San Diego, Singapore, Canary Islands, Caribbean, China, Japan wanategemea maji ya bahari na hautasikia uhaba wa maji.
Mungu atupe nini. Achana na Bandari ya Bagamoyo. Wape maji Dar. Au tuuze ndege moja tununue mtambo. Kupanga ni kuchagua
CC: Wizara ya maji