Dar: Maji ya Bahari yafanyiwe Desalination tuyanywe

Dar: Maji ya Bahari yafanyiwe Desalination tuyanywe

figganigga

JF-Expert Member
Joined
Oct 17, 2010
Posts
25,724
Reaction score
55,906
Sala Wakuu,

Ni aibu kwa Dar, Tanga na Zanzibar kuwa na Mgao wa Maji Wakati kuna Bahari.

Nashauri Serikali itengeneze Maji ya Bahari ili kuondoa tatizo la maji Dar.

Maji ya Ruvu hayatoshi. Pwani peke yake kwa Takwimu za Serikali ina Viwanda 1036 na vyote vinatumia hayo Maji. Achinjilia mbali Hoteli za Dar.

Ni aibu kwa Nchi kiwanda kuzimwa kwa kukosa maji, au hoteli kukosa Maji.

Tanzania ni Tajiri. Itengeneze mtambo wa seawater reverse osmosis systems SWRO. Maji tutauza hadi Nchi jirani.

seawater reverse osmosis systems SWRO ni teknolojia ya kutengeneza maji ya bahari yaweze kutumika kunyweka.

Viwanda wapewe maji ya Bahari theni Dawasa ibaki na wananchi.

Uzuri, Mtambo hautumii umeme mwingi, hivyo tunaweza kutengeneza umeme wa upepeo baharini ukaendesha mtambo usiku na mchana.

Dar ndo Nchi, Dar kutegemea maji ya Chanzo kimoja ni shida. Anakuja adui anaangusha pale Missile moja, dar nzima inakosa maji.

Nchi kibao hazina vyanzo vya maji na maji hayakatiki kwa kutegemea Maji ya bahari tu.

Sehemu kama Kuwait, Saudi Arabia, Marekani, Carlsbad, San Diego, Singapore, Canary Islands, Caribbean, China, Japan wanategemea maji ya bahari na hautasikia uhaba wa maji.

Mungu atupe nini. Achana na Bandari ya Bagamoyo. Wape maji Dar. Au tuuze ndege moja tununue mtambo. Kupanga ni kuchagua
desali6 (1).jpg

CC: Wizara ya maji
 
Sala Wakuu,

Ni aibu kwa Dar, Tanga na Zanzibar kuwa na Mgao wa Maji Wakati kuna Bahari.

Nashauri Serikali itengeneze Maji ya Bahari ili kuondoa tatizo la maji Dar.

Maji ya Ruvu hayatoshi. Pwani peke yake kwa Takwimu za Serikali ina Viwanda 1036 na vyote vinatumia hayo Maji. Achinjilia mbali Hoteli za Dar.

Ni aibu kwa Nchi kiwanda kuzimwa kwa kukosa maji, au hoteli kukosa Maji.

Tanzania ni Tajiri. Itengeneze mtambo wa seawater reverse osmosis systems SWRO. Maji tutauza hadi Nchi jirani.

seawater reverse osmosis systems SWRO ni teknolojia ya kutengeneza maji ya bahari yaweze kutumika kunyweka.

Viwanda wapewe maji ya Bahari theni Dawasa ibaki na wananchi.

Uzuri, Mtambo hautumii umeme mwingi, hivyo tunaweza kutengeneza umeme wa upepeo baharini ukaendesha mtambo usiku na mchana.

Dar ndo Nchi, Dar kutegemea maji ya Chanzo kimoja ni shida. Anakuja adui anaangusha pale Missile moja, dar nzima inakosa maji.

Nchi kibao hazina vyanzo vya maji na maji hayakatiki kwa kutegemea Maji ya bahari tu.

Sehemu kama Kuwait, Saudi Arabia, Marekani, Carlsbad, San Diego, Singapore, Canary Islands, Caribbean, China, Japan wanategemea maji ya bahari na hautasikia uhaba wa maji.

Mungu atupe nini. Achana na Bandari ya Bagamoyo. Wape maji Dar
Kwa umeme upi? Huu wa Makamba ambao unakatika bila taarifa!
 
Kwa umeme upi? Huu wa Makamba ambao unakatika bila taarifa!
Mbona unaendesha treni? Isitoshe Yanatengenezwa matenki, then supply inaanzia hapo. Fuatilia wenzetu wanavyofanya.
 
Sala Wakuu,

Ni aibu kwa Dar, Tanga na Zanzibar kuwa na Mgao wa Maji Wakati kuna Bahari.

Nashauri Serikali itengeneze Maji ya Bahari ili kuondoa tatizo la maji Dar.

Maji ya Ruvu hayatoshi. Pwani peke yake kwa Takwimu za Serikali ina Viwanda 1036 na vyote vinatumia hayo Maji. Achinjilia mbali Hoteli za Dar.

Ni aibu kwa Nchi kiwanda kuzimwa kwa kukosa maji, au hoteli kukosa Maji.

Tanzania ni Tajiri. Itengeneze mtambo wa seawater reverse osmosis systems SWRO. Maji tutauza hadi Nchi jirani.

seawater reverse osmosis systems SWRO ni teknolojia ya kutengeneza maji ya bahari yaweze kutumika kunyweka.

Viwanda wapewe maji ya Bahari theni Dawasa ibaki na wananchi.

Uzuri, Mtambo hautumii umeme mwingi, hivyo tunaweza kutengeneza umeme wa upepeo baharini ukaendesha mtambo usiku na mchana.

Dar ndo Nchi, Dar kutegemea maji ya Chanzo kimoja ni shida. Anakuja adui anaangusha pale Missile moja, dar nzima inakosa maji.

Nchi kibao hazina vyanzo vya maji na maji hayakatiki kwa kutegemea Maji ya bahari tu.

Sehemu kama Kuwait, Saudi Arabia, Marekani, Carlsbad, San Diego, Singapore, Canary Islands, Caribbean, China, Japan wanategemea maji ya bahari na hautasikia uhaba wa maji.

Mungu atupe nini. Achana na Bandari ya Bagamoyo. Wape maji Dar
Nikweli hii high-tech ipo Saudi Arabia na baadhi ya mataifa ya kiarabu lkn kwetu ni ndoto mkuu, inasemekana ni moja kati ya technology ghali sana duniani... hatuwezi lipa kwa bili zetu hizi, haswa ukichukulia zaidi ya 60++% ya wakaazi wa DSM ni "WAKORA" wa maji....
 
Sala Wakuu,

Ni aibu kwa Dar, Tanga na Zanzibar kuwa na Mgao wa Maji Wakati kuna Bahari.

Nashauri Serikali itengeneze Maji ya Bahari ili kuondoa tatizo la maji Dar.

Maji ya Ruvu hayatoshi. Pwani peke yake kwa Takwimu za Serikali ina Viwanda 1036 na vyote vinatumia hayo Maji. Achinjilia mbali Hoteli za Dar.

Ni aibu kwa Nchi kiwanda kuzimwa kwa kukosa maji, au hoteli kukosa Maji.

Tanzania ni Tajiri. Itengeneze mtambo wa seawater reverse osmosis systems SWRO. Maji tutauza hadi Nchi jirani.

seawater reverse osmosis systems SWRO ni teknolojia ya kutengeneza maji ya bahari yaweze kutumika kunyweka.

Viwanda wapewe maji ya Bahari theni Dawasa ibaki na wananchi.

Uzuri, Mtambo hautumii umeme mwingi, hivyo tunaweza kutengeneza umeme wa upepeo baharini ukaendesha mtambo usiku na mchana.

Dar ndo Nchi, Dar kutegemea maji ya Chanzo kimoja ni shida. Anakuja adui anaangusha pale Missile moja, dar nzima inakosa maji.

Nchi kibao hazina vyanzo vya maji na maji hayakatiki kwa kutegemea Maji ya bahari tu.

Sehemu kama Kuwait, Saudi Arabia, Marekani, Carlsbad, San Diego, Singapore, Canary Islands, Caribbean, China, Japan wanategemea maji ya bahari na hautasikia uhaba wa maji.

Mungu atupe nini. Achana na Bandari ya Bagamoyo. Wape maji Dar
Kwa kweli mku kama unayo hiyo technologia, tusaidie basi uende kwa mku wa mkoa anafikika kirahisi, alafu akupe mtu wake muongozane kwenda DAWASCO shida iishe . Wape hiyo idea then tutafurahi ukirudisha majibu humu JF tukupongeze.

Ukienda wewe kama wewe DAWASCO hawawezi kusikiliza hata huwezi kumuona mkrugenzi wao.
 
Sala Wakuu,

Ni aibu kwa Dar, Tanga na Zanzibar kuwa na Mgao wa Maji Wakati kuna Bahari.

Nashauri Serikali itengeneze Maji ya Bahari ili kuondoa tatizo la maji Dar.

Maji ya Ruvu hayatoshi. Pwani peke yake kwa Takwimu za Serikali ina Viwanda 1036 na vyote vinatumia hayo Maji. Achinjilia mbali Hoteli za Dar.

Ni aibu kwa Nchi kiwanda kuzimwa kwa kukosa maji, au hoteli kukosa Maji.

Tanzania ni Tajiri. Itengeneze mtambo wa seawater reverse osmosis systems SWRO. Maji tutauza hadi Nchi jirani.

seawater reverse osmosis systems SWRO ni teknolojia ya kutengeneza maji ya bahari yaweze kutumika kunyweka.

Viwanda wapewe maji ya Bahari theni Dawasa ibaki na wananchi.

Uzuri, Mtambo hautumii umeme mwingi, hivyo tunaweza kutengeneza umeme wa upepeo baharini ukaendesha mtambo usiku na mchana.

Dar ndo Nchi, Dar kutegemea maji ya Chanzo kimoja ni shida. Anakuja adui anaangusha pale Missile moja, dar nzima inakosa maji.

Nchi kibao hazina vyanzo vya maji na maji hayakatiki kwa kutegemea Maji ya bahari tu.

Sehemu kama Kuwait, Saudi Arabia, Marekani, Carlsbad, San Diego, Singapore, Canary Islands, Caribbean, China, Japan wanategemea maji ya bahari na hautasikia uhaba wa maji.

Mungu atupe nini. Achana na Bandari ya Bagamoyo. Wape maji Dar
Wazo zuri. Na muda ndio huu wafanye kweli kama hivyo itakua ni maendeleo zaidi na mahitaji yana ongezeka zaidi ni wakati sahihi. Changamoto hutuletea utambuzi wa fursa mpya.
 
Nikweli hii high-tech ipo Saudi Arabia na baadhi ya mataifa ya kiarabu lkn kwetu ni ndoto mkuu, inasemekana ni moja kati ya technology ghali sana duniani... hatuwezi lipa kwa bili zetu hizi, haswa ukichukulia zaidi ya 60++% ya wakaazi wa DSM ni "WAKORA" wa maji....
Jama kasema haya maji yatatumika viwandani alafu wananchi wa kawaida tubaki na yale ya kwetu DAWASCO kama kawaida
 
viwanda vya maji vilivyopo pwani/dsm vimekuwa vikifanya desalination

nawaza DAWASCO wakijaribu fanya, gharama ya maji kwa lita za ujazo tutazimudu?
Desalination ni kweli inahitaji uwekezaji mkubwa wa awali kwa kuwa serikali inatakiwa itoe huduma kwa wananchi wake inatakiwa itafute pesa kama inavyofanya kwa miradi mingine mikubwa na iwekeze kwenye huduma hiyo na isitegemee kupata faida kubwa au kukusanya mapato kwa muda mfupi ili wananchi waweze kupata huduma ya maji kwa uhakikika na hivyo kuchochea shughuli zingine za uwekezaji na huku ndiko ikusanye kodi
 
Back
Top Bottom