correctHao ni waislam wale wahuni wahuni wa kwenye vijiwe vya kahawa wanaojua kusema Bismillah na inshaallah, kwanza katika maongezi ya kiislam ni haram kupiga makofi siyo mwenendo wa waislam kupiga makofi katika vikao vyao.
Na kwenye uislam nabii muhamad ndo alikua nabii wa mwisho dunian hatakuja nabii mwingne yoyote isipokua nabii issa pekee ndo atarud kwaajili ya kukamilisha dalili za kiama
Hao mashehe wana matatizo ya kimsingi.Mamia ya masheikh wamelaani watu wote wanamkashfu Nabii Mkuu Mheshimiwa Dr. Geor Davie wa Ngurumo ya Upako. Mashehe hao wanasema Nabii mkuu ni nabii wa kweli, nabii anaewapenda watu wote na anaewajali watu wote.
Mashehe hao wameitaja JamiiForums kuwa watu wanamtungia uzushi Nabii kwa kumuandika mambo ya uongo wakati Nabii mkuu hana tatizo lolote.
Mashehe hao wanasema wanamsubiri kwa hamu na wanamkaribisha kwa mikono miwili Nabii mkuu kwa mkoa wa Dar es Salaam aje kutoa huduma ya uponyaji na ukombozi.
Wasikilize hapa.
Imani dhaifu na nina uhakika sio Waislamu hao, wala hawajui wanalolifanya zaidi ya kuhongwaMashehe uchwara walioamua kumtumikia Binadamu mwenzao badala ya kumtumikia Mungu.
🤣🤣🤣mkuu umenifanya nicheke mpaka machozi,eti wezi wa majenereta.Wa hivyo tunawajua sana ni matapeli na hawana dini hao bali wachumia matumbo
Hao laki nyingi sana ukitaka wakusifie
Ndio waizi wa majenereta misikitini hao
Hii nchi hiii,tutaona Mengi!,kule watu Wana galagala kumpokea Raisi!,UDSM wanampa heshima kwamba kakuza uchumi,wakati kitaa hari ni tete!!sasa hii ndio komesha,mashekh wamsifu "nabii"wa kikristo!!??hata sijaelewa Kuna game gani hapa Propagandist wa ccm wanataka kucheza!!?Mamia ya masheikh wamelaani watu wote wanamkashfu Nabii Mkuu Mheshimiwa Dr. Geor Davie wa Ngurumo ya Upako. Mashehe hao wanasema Nabii mkuu ni nabii wa kweli, nabii anaewapenda watu wote na anaewajali watu wote.
Mashehe hao wameitaja JamiiForums kuwa watu wanamtungia uzushi Nabii kwa kumuandika mambo ya uongo wakati Nabii mkuu hana tatizo lolote.
Mashehe hao wanasema wanamsubiri kwa hamu na wanamkaribisha kwa mikono miwili Nabii mkuu kwa mkoa wa Dar es Salaam aje kutoa huduma ya uponyaji na ukombozi.
Wasikilize hapa.
Wanajidhalilisha na kudhalilisha Uislamu aisee , njaaa mbaya sana !!!!!!Kiasi gani wamelipwa? Ugumu wa maisha, umaskini umezidi Tanzania.
Nasikia nabii huyo wa Arusha hajambo mifukoni, imenikumbusha wale mashekhe, manabii na mitume waliokuwa kila siku wanaamkia kwa mwendazake ikulu kuvizia bahasha.Mamia ya masheikh wamelaani watu wote wanamkashfu Nabii Mkuu Mheshimiwa Dr. Geor Davie wa Ngurumo ya Upako. Mashehe hao wanasema Nabii mkuu ni nabii wa kweli, nabii anaewapenda watu wote na anaewajali watu wote.
Mashehe hao wameitaja JamiiForums kuwa watu wanamtungia uzushi Nabii kwa kumuandika mambo ya uongo wakati Nabii mkuu hana tatizo lolote.
Mashehe hao wanasema wanamsubiri kwa hamu na wanamkaribisha kwa mikono miwili Nabii mkuu kwa mkoa wa Dar es Salaam aje kutoa huduma ya uponyaji na ukombozi.
Wasikilize hapa.
waumini waislamu tu ndio wanijibu!Mamia ya masheikh wamelaani watu wote wanamkashfu Nabii Mkuu Mheshimiwa Dr. Geor Davie wa Ngurumo ya Upako. Mashehe hao wanasema Nabii mkuu ni nabii wa kweli, nabii anaewapenda watu wote na anaewajali watu wote.
Mashehe hao wameitaja JamiiForums kuwa watu wanamtungia uzushi Nabii kwa kumuandika mambo ya uongo wakati Nabii mkuu hana tatizo lolote.
Mashehe hao wanasema wanamsubiri kwa hamu na wanamkaribisha kwa mikono miwili Nabii mkuu kwa mkoa wa Dar es Salaam aje kutoa huduma ya uponyaji na ukombozi.
Wasikilize hapa.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]mkuu umenifanya nicheke mpaka machozi,eti wezi wa majenereta.
Ndio waliowatuma labdaBAKWATA KIMYAAA!!!!!!!!
Sasa mbona hukuacha nikasome ukaleta hapa?Kasome Kama unataka kujua
Sikukuletea wewe acha wengeSasa mbona hukuacha nikasome ukaleta hapa?