Chizi Maarifa
JF-Expert Member
- Jul 29, 2013
- 10,931
- 24,816
Ulimletea nani?Sikukuletea wewe acha wenge
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ulimletea nani?Sikukuletea wewe acha wenge
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji119][emoji119]Ndio ajira zilizobaki.
Dada yakoUlimletea nani?
Mashehena wamchongo ukiwaangalia usoni utadhani wako serious kumbe ubwa bwa tuMamia ya masheikh wamelaani watu wote wanamkashfu Nabii Mkuu Mheshimiwa Dr. Geor Davie wa Ngurumo ya Upako. Mashehe hao wanasema Nabii mkuu ni nabii wa kweli, nabii anaewapenda watu wote na anaewajali watu wote.
Mashehe hao wameitaja JamiiForums kuwa watu wanamtungia uzushi Nabii kwa kumuandika mambo ya uongo wakati Nabii mkuu hana tatizo lolote.
Mashehe hao wanasema wanamsubiri kwa hamu na wanamkaribisha kwa mikono miwili Nabii mkuu kwa mkoa wa Dar es Salaam aje kutoa huduma ya uponyaji na ukombozi.
Wasikilize hapa.
Sijawahi kuona Wala kusikia mashekh wanapiga makofiMashehena wamchongo ukiwaangalia usoni utadhani wako serious kumbe ubwa bwa tu
Sheikh punje anamwambia mwenzake, hebu nisaidie mwenzangu...Sijawahi kuona Wala kusikia mashekh wanapiga makofi
Njaa haina dini. Wengi wakiona, wakipewa pesa, hawatumii tena akili.Wanajidhalilisha na kudhalilisha Uislamu aisee , njaaa mbaya sana !!!!!!
Very serious. Vijana mjiongeze, Chagua kuwa chawa (kusifia upuuzi wowote),kuanzisha chama cha siasa matumaini hewa mkizipiga pesa zote za nchi wewe na washkaji.)Jamaa yuko serious na Kazi zake 😂 😂 😂 😂
Mamia ya masheikh wamelaani watu wote wanamkashfu Nabii Mkuu Mheshimiwa Dr. Geor Davie wa Ngurumo ya Upako. Mashehe hao wanasema Nabii mkuu ni nabii wa kweli, nabii anaewapenda watu wote na anaewajali watu wote.
Mashehe hao wameitaja JamiiForums kuwa watu wanamtungia uzushi Nabii kwa kumuandika mambo ya uongo wakati Nabii mkuu hana tatizo lolote.
Mashehe hao wanasema wanamsubiri kwa hamu na wanamkaribisha kwa mikono miwili Nabii mkuu kwa mkoa wa Dar es Salaam aje kutoa huduma ya uponyaji na ukombozi.
Wasikilize hapa.
Mamia ya masheikh wamelaani watu wote wanamkashfu Nabii Mkuu Mheshimiwa Dr. Geor Davie wa Ngurumo ya Upako. Mashehe hao wanasema Nabii mkuu ni nabii wa kweli, nabii anaewapenda watu wote na anaewajali watu wote.
Mashehe hao wameitaja JamiiForums kuwa watu wanamtungia uzushi Nabii kwa kumuandika mambo ya uongo wakati Nabii mkuu hana tatizo lolote.
Mashehe hao wanasema wanamsubiri kwa hamu na wanamkaribisha kwa mikono miwili Nabii mkuu kwa mkoa wa Dar es Salaam aje kutoa huduma ya uponyaji na ukombozi.
Wasikilize hapa.
Mamia ya masheikh wamelaani watu wote wanamkashfu Nabii Mkuu Mheshimiwa Dr. Geor Davie wa Ngurumo ya Upako. Mashehe hao wanasema Nabii mkuu ni nabii wa kweli, nabii anaewapenda watu wote na anaewajali watu wote.
Mashehe hao wameitaja JamiiForums kuwa watu wanamtungia uzushi Nabii kwa kumuandika mambo ya uongo wakati Nabii mkuu hana tatizo lolote.
Mashehe hao wanasema wanamsubiri kwa hamu na wanamkaribisha kwa mikono miwili Nabii mkuu kwa mkoa wa Dar es Salaam aje kutoa huduma ya uponyaji na ukombozi.
Wasikilize hapa.
Ooh Safi sana ..... Maana ninyi mmekuwa mashoga sana siku hizi. Tabia zake zote umebeba. Muangalie yeye tushamwambia asije pata mimba. Wewe kubeba mimba tunajua huwezi sema huwa mnaharibiwa sana hata kukaa tu mnakuwa hamuwezi.Dada yako
Sisomi comment ndefu ya kipuuziOoh Safi sana ..... Maana ninyi mmekuwa mashoga sana siku hizi. Tabia zake zote umebeba. Muangalie yeye tushamwambia asije pata mimba. Wewe kubeba mimba tunajua huwezi sema huwa mnaharibiwa sana hata kukaa tu mnakuwa hamuwezi.
Hao mashehe? Au Mashehena!Tunawaita mashehe ubwabwa kwa jina lingne
Ila wangeunga mkono hao wapingaji wangekua mashehe kamili au sio.Kwa hiyo mtu akivaa kanzu na kofia tu ni sheh hakuna sheh atakaekubali kufanya ujinga huo.